Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 975
Hujajibu swali langu. Hiyo ndege umeiona wapi ndani ya Tanzania?
Umeanza kuweweseka sasa, lini umetumia terminal 3 wewe? Unafikiri maigizo unayofanya wewe G Sam kila mtu anafanya? Msikilize pilot mwishoni alipohojiwa. Au lugha ndio tatizo?