- Thread starter
- #161
Ameshindwa hata kuwaza wale wanafunzi Malaya vyuoni huwa siyo wasomi?๐๐๐ Mwambie huyooo
Hajawahi kuona profesa kapigishwa got na household
Ameshindwa hata kuwaza wale wanafunzi Malaya vyuoni huwa siyo wasomi?๐๐๐ Mwambie huyooo
Kwako anaweza kuwa mke lakini kwa mwingine ni mke wa nje, kweli dunia duara .Ndo mana akaitwa mke,, kunatofaut kubwa kat ya mke na mwanamke wa nje,,
Pia Malaya si lazima ajipange barabara, wengi wanaoa Malaya bila kujua.Ameshindwa hata kuwaza wale wanafunzi Malaya vyuoni huwa siyo wasomi?
Hajawahi kuona profesa kapigishwa got na household
Muongo ,mwanamke aliye tulia na asiye na mambo mengi ana 95% ya kuolewa. Mwanaume anapotaka kuoa anakuwaga makini sana, kutafuta mwanamke aliye tulia sababu wanaume tunatafuta mwanamke atakekufanya utulie na uwe na amani ndani na nje ya nyumba ili utafute hela vizuri.Kuna ukweli kwaambali katika hili ...ila mleta mada hajjieleza vizuri!
Kimsingi mwamamke amabaye anajichanganya yupo kwenye uwezekano mkubwa wa kuolewa kuliko mtulivu!
Dada anayetoka nyumbani....anna nafasi zaidi ya kuolewa. Pia no budi awe mchangamfu ...mwongeaji,asiyeeogopa wanaume na mwepesi keleza hisia zake...huyu ni rahisi Sana kuwateka wanaume kuliko mtu mtulivu na mpole anayeshinda nyumbani.
Utamaduni was kutulia nyumbani na kufuatwa na wachumba unapotea kwa Kasi saana! Mika ile watu walikuwa wanaolewa kwa kufuata jina la ukoo au familia....Leo hii watu wanakutana Bar,Daladala au sokoni!
Ni bahati mbaya Sana tuna mapaokeo(baadhi) wakimuona binti kachangamka,anakweenda Disko,Barb,club anahesabika ni umalaya!
Umalaya ni wake wanaouza mwili....na Kama wanaolewa Basi wanaolewa na Wanaume Malaya au waliokata tamaa!
Hakuna Mwanaume mwenye akili timamu akaoa Mwanamke Malaya.Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.
Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.
Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.
Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.
Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.
UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.
Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Nawe unashabikia huo utopolo! Amuoe huyo malaya๐๐๐ Mwambie huyooo
Kama hazina uhusiano,nakupa kazi utenganishe akili na nyege. Ukiweza kufanya hivyo naacha kutumia hii ID.Bahati mbaya nyege na akili hazina uhusiano
Hii pia si kweli. Nikikuuliza ni ipi nafasi ya akili katika kuchagua kufanya au kutokufanya ?Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!
Ukweli ni kuwa wanao oana huwa wanafanana. Malaya huoa malaya mwenzake,mshirikina huoa mshirikina mwenzake au mfano wake.Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.
Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.
Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.
Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.
Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.
UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.
Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Kwahiyo kama tunatamaa,ndiyo inakuwaje ? Sasa kazi ya akili kwako ni nini ?Wanaume wote tunatamaa
Kila mtu ana taste yakeNawe unashabikia huo utopolo! Amuoe huyo malaya
Eeh ni kweli kwangu mie no thanksKila mtu ana taste yake
Mwanamke mtundu unamjuaje ? Kabla ya kumuoa au baada ya kumuoa au kwa kuambiwa na wanao mjua ?Unstakiwa useme tunapenda wanawake watundu kitandani.
Mimi binafsi huo ukweli sijauona,samahani unaweza kunionyesha huo ukweli baada ya wewe kutulia na ukatafakari hilo ?Huu ndio ukweli, na ukitulia ukitafakari utagundua kuna ukweli mkubwa mno katika hiki ulichoandika.
Ukifuatilia kwa umakini kutafuta definition ya malaya,watakaobaki salama ni wachache sana...Pia Malaya si lazima ajipange barabara, wengi wanaoa Malaya bila kujua.
Ila wanabadilika wakishaolewa maisha yanasonga
Mleta mada ungekuja na kautafiti ka hata watu 100 from a population hoja zako zingeweza kuwa na mashikoKimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.
Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.
Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.
Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.
Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.
UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.
Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Mwanamke malaya ni nani ?Mwanamke mtundu unamjuaje ? Kabla ya kumuoa au baada ya kumuoa au kwa kuambiwa na wanao mjua ?
Maana yake kama ni kabla hapa hutoki katika hili yaani na muhusila lazima uwe mzinifu ndiyo umpate mzinifu mwenzako.
Nini maana yake,mtoa mada alitakiwa mada yake aipe jina hili "Wanaume Malaya hupenda kuwaoa Wanawake Malaya".
Ukikua utauona.Mimi binafsi huo ukweli sijauona,samahani unaweza kunionyesha huo ukweli baada ya wewe kutulia na ukatafakari hilo ?
Hujajibu maswali niliyo kuuliza.Mwanamke malaya ni nani ?
Na ni kwa mujibu wa marejeo gani unatafsiri mwanamke malaya ?
๐๐๐