Ukweli mchungu: Wanaume hupenda mwanamke malaya kuliko mtulivu. Ndiyo maana malaya wana bahati ya kuolewa mapema kuzidi wengine

Ameshindwa hata kuwaza wale wanafunzi Malaya vyuoni huwa siyo wasomi?
Hajawahi kuona profesa kapigishwa got na household
Pia Malaya si lazima ajipange barabara, wengi wanaoa Malaya bila kujua.
Ila wanabadilika wakishaolewa maisha yanasonga
 
Kuna ukweli kwaambali katika hili ...ila mleta mada hajjieleza vizuri!
Kimsingi mwamamke amabaye anajichanganya yupo kwenye uwezekano mkubwa wa kuolewa kuliko mtulivu!
Dada anayetoka nyumbani....anna nafasi zaidi ya kuolewa. Pia no budi awe mchangamfu ...mwongeaji,asiyeeogopa wanaume na mwepesi keleza hisia zake...huyu ni rahisi Sana kuwateka wanaume kuliko mtu mtulivu na mpole anayeshinda nyumbani.
Utamaduni was kutulia nyumbani na kufuatwa na wachumba unapotea kwa Kasi saana! Mika ile watu walikuwa wanaolewa kwa kufuata jina la ukoo au familia....Leo hii watu wanakutana Bar,Daladala au sokoni!
Ni bahati mbaya Sana tuna mapaokeo(baadhi) wakimuona binti kachangamka,anakweenda Disko,Barb,club anahesabika ni umalaya!
Umalaya ni wake wanaouza mwili....na Kama wanaolewa Basi wanaolewa na Wanaume Malaya au waliokata tamaa!
Muongo ,mwanamke aliye tulia na asiye na mambo mengi ana 95% ya kuolewa. Mwanaume anapotaka kuoa anakuwaga makini sana, kutafuta mwanamke aliye tulia sababu wanaume tunatafuta mwanamke atakekufanya utulie na uwe na amani ndani na nje ya nyumba ili utafute hela vizuri.

Sasa wadanganye wadanki danki kisha wakutane na rungu la kipepe ,mimba then single mother.
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Hakuna Mwanaume mwenye akili timamu akaoa Mwanamke Malaya.

HII SIYO KWELI.
 
Bahati mbaya nyege na akili hazina uhusiano
Kama hazina uhusiano,nakupa kazi utenganishe akili na nyege. Ukiweza kufanya hivyo naacha kutumia hii ID.

Pili,mfano wa kitambi na pesa huu si sawa na nyege na akili. Sababu nyege ni hisia na kitambi ni maumbile ? Vipi ulinganishe vitu visivyo fanana ?
 
Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!
Hii pia si kweli. Nikikuuliza ni ipi nafasi ya akili katika kuchagua kufanya au kutokufanya ?

Unao uzungumzia wewe ni uzembe na kuzembea. Si kila linalo kubana ulifanye lazima upime maslahi na hasara. Hapa ndipo kuna uhusiano kati ya nyege na akili. Huwezi kuitenganisha nyege na akili,labda uwe huijui akili ni nini na nyege hujui nyege ni nini ?
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Ukweli ni kuwa wanao oana huwa wanafanana. Malaya huoa malaya mwenzake,mshirikina huoa mshirikina mwenzake au mfano wake.
 
Wanaume wote tunatamaa
Kwahiyo kama tunatamaa,ndiyo inakuwaje ? Sasa kazi ya akili kwako ni nini ?

Ukiona unaweza kufanya jambo fulani basi kaa ukijua unauwezo wa kuacha kulifanya pia. Kwa minajili hii huna hoja ya kutetea huu ujinga zaidi ya uzembe na kujiendekeza. Ndiyo maana sisi Waswahili huwa tunasema hivi "Tamaa mbele mauti nyuma" . Una maana sana huu msemo.
 
Unstakiwa useme tunapenda wanawake watundu kitandani.
Mwanamke mtundu unamjuaje ? Kabla ya kumuoa au baada ya kumuoa au kwa kuambiwa na wanao mjua ?

Maana yake kama ni kabla hapa hutoki katika hili yaani na muhusila lazima uwe mzinifu ndiyo umpate mzinifu mwenzako.

Nini maana yake,mtoa mada alitakiwa mada yake aipe jina hili "Wanaume Malaya hupenda kuwaoa Wanawake Malaya".
 
Huu ndio ukweli, na ukitulia ukitafakari utagundua kuna ukweli mkubwa mno katika hiki ulichoandika.
Mimi binafsi huo ukweli sijauona,samahani unaweza kunionyesha huo ukweli baada ya wewe kutulia na ukatafakari hilo ?
 
Pia Malaya si lazima ajipange barabara, wengi wanaoa Malaya bila kujua.
Ila wanabadilika wakishaolewa maisha yanasonga
Ukifuatilia kwa umakini kutafuta definition ya malaya,watakaobaki salama ni wachache sana...
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Mleta mada ungekuja na kautafiti ka hata watu 100 from a population hoja zako zingeweza kuwa na mashiko

Lakini umeandika kwa hisia na kugeneralize mambo sana na sijafanikiwa bado kung'amua nia na dhumuni la bandiko lako ni kushawishi wanawake wasijitunze ili waolewe au ?

Vinginevyo japo najua utashambuliwa lakini naamini una uhuru wa maoni na tunalazimika kuheshimu maoni yako ushauri wangu ni rudi fanya kautafiti kadogo kisha rudi na majibu hapa kwa ajili ya mjadala mwingine
 
Mwanamke mtundu unamjuaje ? Kabla ya kumuoa au baada ya kumuoa au kwa kuambiwa na wanao mjua ?

Maana yake kama ni kabla hapa hutoki katika hili yaani na muhusila lazima uwe mzinifu ndiyo umpate mzinifu mwenzako.

Nini maana yake,mtoa mada alitakiwa mada yake aipe jina hili "Wanaume Malaya hupenda kuwaoa Wanawake Malaya".
Mwanamke malaya ni nani ?

Na ni kwa mujibu wa marejeo gani unatafsiri mwanamke malaya ?
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Back
Top Bottom