Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,884
WANAUME; JINSI YA KUMFANYA BINTI YAKO ASIWE MALAYA.
Anaandika, Robert Heriel
Wanawake wengi siku hizi 80% ni Malaya, umalaya ni kitendo cha mwanamke kufanya tendo la ndoa na Mwanaume zaidi ya mmoja. Umalaya upo WA Aina nyingi lakini maarufu ni ule umalaya Kwa ajili ya pesa ambao huitwa UKAHABA.
Mwanamke atavumilia matusi yote lakini kamwe hatopenda Umuite MALAYA. Thamani ya mwanamke ipo katika kujitunza, maumivu apatayo mwanamke pale unapomuita Malaya ni makali, yanafanana na maumivu ya mwanaume anapoitwa Shoga, na anapoambiwa Hana nguvu za kiume.
Zipo sababu za wanawake wengi WA siku hizi kujiingiza kwenye Umalaya, kwa uchache sababu hizo;
1. Asili
Zipo koo ambazo zina damu ya Umalaya.
Yaani Kama Bibi wa Bibi alikuwa kiruka njia, mama naye halikadhalika, hapo binti naye lazima awe Malaya.
Ndio maana Vijana wanashauriwa kabla ya kuoa wanapaswa waangalie ukoo anaoenda kuolea, atazame tabia za Mama Mkwe wake.
Hili Vijana wengi WA siku hizi watapinga, lakini huo ndio ukweli, na vijana WA siku hizi wapo katika vita ya kutokubali ukweli. Lakini mwisho WA siku ukweli unawashinda.
2. Tamaa!
Tamaa ni moja ya sababu inayofanya kina Dada wawe Malaya, wengi husingizia umasikini lakini umasikini haujawahi kumfanya mtu awe Malaya. Wapo wanawake ni masikini lakini hawajajiingiza kwenye umalaya, wanajiheshimu na wameridhika na hali zao.
Hata Sisi wanaume tunapotongoza na kuwadanganya wanawake tunatumia Tamaa zao kupata tunachokitaka.
Ndio maana wanaume wata-fake maisha ilimradi wapate wakitakacho Kwa mwanamke.
Wanawake wanawalaumu bure wanaume kuwa ni waongo lakini wanasahau Uongo mara nyingi unanguvu Kwa mtu mwenye Tamaa Mbaya.
Hivyo kijana anapotafuta Mke WA kuoa Kama anataka kujiepusha na kuoa Mke Malaya basi ataangalia mambo hayo mawili, nayo ni;
1. Asili ya mwanamke huyo
2. Tamaa yake.
Namna ya kumfanya Binti Yako asiwe Malaya:
1. Oa na Zaa mwanamke mwenye asili ya kujitunza.
Mara nyingi tabia za binti hutoka Kwa Mama yake. Hivyo njia ya awali ya kumuandaa binti yako ni kumchagua mke asiye na Asili ya umalaya.
Ukiona kibinti kinapenda mambo ya ngono kupitiliza, jua sio kosa lake.
Alafu mara nyingi wazazi wanajua kabisa huyu kanirithi
2. Mfundishe Kujikubali na kujiamini.
Wanawake wengi Malaya wanatabia ya kutojiamini,
Baba ndiye anauwezo WA kumfanya Binti yake ajiamini na ajikubali.
Mfundishe binti yako Ajue yeye ni wathamani, yeye ni mzuri na anastahili kuheshimika, na ili aheshimike basi itampasa ajitunze kimwili, kihisia, kiroho na kiakili.
Wanawake wengi Malaya wanaathari mbaya za kisaikolojia, kihisia, na kiroho.
Mfundishe Binti kujiamini pasipo hata kusifiwa na mtu mwingine. Hii itamfanya wakati akitongozwa asione ajabu yoyote pale anapodanganywa na kusifiwa na Mwanaume.
Wanawake wengi hawajiamini na hiyo huwapelekea kwenye umalaya baada tuu ya kupata kujiamini Kwa kusifiwa.
Mfundishe Binti Yako ajikubali, ajione yeye ni Bora, asiendekeze maoni ya wengine kuwa wanamuonaje.
Nadra Sana kumkuta Mwanamke anayejikubali na kujiamini akiwa Malaya.
Kujiamini sio Kutukana watu au kutembea Kwa manjonjo bali ni mtazamo wa ndani kumhusu yeye mwenyewe.
3. Mjengee Binti yako uwezo wa kujitegemea na kujiongoza
Ondoa kasumba Kwa binti yako kuwa yeye ni mwanamke hivyo anapaswa amtegemee mwanaume. Ondoa kabisa hiyo mindset.
Mfundishe binti yako kujitegemea na kujiongoza, awe na mtazamo Bora kuwa kujitegemea na kujiongoza ndio namna Bora ya kuwa Mke mwema na Msaidizi Kwa mume wake atakayemuoa. Hiyo itamfanya kukutana na Mwanaume sahihi.
Lakini akiwa na mtazamo wa kumtegemea na kuongozwa na Mwanaume itamfanya kuwa Malaya na kumuweka katika Mazingira hatarishi ya kulaghaiwa na kunyanyaswa; pia hatari ya kumpata mwanaume asiye sahihi.
Mjengee binti yako uwezo wa kutopewa pesa na mtu asiye ndugu yake, asiye Baba yake, na asiye Mume wake.
Mwambie jasho la mtu haliliwi, labda mtu huyo awe Baba au Mume wake.
Mjengee fikra binti yako kuwa kuchukua pesa ya mtu asiye mume wake ni kufanya Ukahaba. Pia ni aibu kwake na anashusha thamani yake Kama Mwanamke.
4. Mjengee binti yako uwezo wa kudharau umalaya, na watu wa hovyo.
Mfanye binti yako kuwa mbaguzi, kuwa na Dharau, mfundishe tabia ya kuwa sio kila mtu anatakiwa kuwa karibu yake, sio kila mtu anatakiwa kumzoea,
Awe na uwezo wa kudharau umalaya hiyo itamfanya automatically asiwe na urafiki wala ukaribu au mazoea na Wanawake wenye Mtazamo wa kimalaya Malaya.
Hii itamfanya aonekane anadharau hilo asilijali. Kwani tayari ulishamjengea tabia ya kujijali yeye mwenyewe(kufikiria zaidi yeye anataka nini na sio wengine wanataka nini)
5. Asiwe na mazoea ya kijinga na Wanaume.
Kwa vile ushamfundisha kujikubali na kujiamini kamwe hawezi kuwa na mazoea ya kijinga na wanaume. Hatapenda sifa kutoka Kwa watu wengine zaidi ya mume wake.
Mara zote wanawake wasiojiamini na kujikubali ndio hupenda kusifiwa wapitapo barabarani,
Mazoea ya kijinga na sifa za kijinga jinga zimewafanya wanawake wengi Kuliwa kimasikhara na kujikuta katika Mkondo WA umalaya.
Mazoea ni pamoja na utani na masikhara yasiyo na tija.
6. Mfundishe Kula Kwa jasho lake au la mume wake( asipende vya Bure)
Siku zote mtu yeyote apendaye vya bure Hana thamani!
Wanawake wengi wamejikuta wakidharauliwa Kwa sababu ya Kupenda burebure.
Moja ya sifa kuu za Umalaya ni Kupenda vitu vya burebure!
Mfanye binti yako ajisikie vibaya Kula kitu au kutumia kitu ambacho hajakitolea jasho, hajakifanyia kazi.
Kuwa mwanamke haimaanishi upewe vitu burebure,kasumba hiyo IPO Kwa Wanawake Malaya au koo au jamii zenye umalaya.
Siku zote mtego hutumia vitu vya burebure Kama chambo Kwa wenye Tamaa(umalaya).
Mfundishe binti yako, hata mtu yeyote ambembeleze vipi kuchukua kitu cha Bure akatae, ikiwezekana alipie kitu hicho achukue. Huyo ndio Uanamke.
Mwambie Binti yako, ni aibu mtu msiye na mahusiano ya kimume na Mke, au Baba, au ndugu kukupa kitu burebure, tena hata ndugu yako hapaswi kukupa kitu burebure ikawa ni mazoea.
Kupewa burebure maana yake mtu huyo anafanya jaribio la kushusha Heshima yako na kukufanya uwe waburebure.
Wanawake wengi Malaya wamejikuta katika Mkondo huo Kwa Kupenda burebure kunakoletwa na Tamaa.
Mfundishe binti yako kuwa, hakuna kitu cha Bure Duniani, kila kitu lazima mtu akilipie.
Mfundishe Utu binti yako, na kamwe Burebure sio utu.
7. Mfundishe Binti yako Usafi.
Usafi sio wa nguo au Mazingira. Hata kuwa na Mwanaume mmoja huo pia ni Usafi.
Hakuna Malaya msafi hata angeoga na kujipaka marashi anukie Kama Waridi.
Mfanye binti yako aone ni uchafu usioelezeka kulala na wanaume zaidi ya mmoja.
Mwambie Binti Yako yeye sio dampo la kila mwanaume kutupia uchafu wake, kutiwa unajisi.
8. Mfundishe Binti yako kutumia Akili zaidi kuliko Hisia.
Hii itamsaidia kuwajua wanaume waongo wanaotaka kumchezea.
Kumbuka ulishamfundisha kujiamini na kujikubali, hivyo hata hitaji shinikizo la nje kumfanya ajione anathamani Bali yeye mwenyewe atajiona wathamani.
Kutumia Akili kutamuepusha na hisia za kijinga ambazo wanaume wengi tunaziamsha Kwa wanawake Kwa kuwaahidi vitu vizuri ambavyo kimsingi ni ulaghai tuu.
Nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Anaandika, Robert Heriel
Wanawake wengi siku hizi 80% ni Malaya, umalaya ni kitendo cha mwanamke kufanya tendo la ndoa na Mwanaume zaidi ya mmoja. Umalaya upo WA Aina nyingi lakini maarufu ni ule umalaya Kwa ajili ya pesa ambao huitwa UKAHABA.
Mwanamke atavumilia matusi yote lakini kamwe hatopenda Umuite MALAYA. Thamani ya mwanamke ipo katika kujitunza, maumivu apatayo mwanamke pale unapomuita Malaya ni makali, yanafanana na maumivu ya mwanaume anapoitwa Shoga, na anapoambiwa Hana nguvu za kiume.
Zipo sababu za wanawake wengi WA siku hizi kujiingiza kwenye Umalaya, kwa uchache sababu hizo;
1. Asili
Zipo koo ambazo zina damu ya Umalaya.
Yaani Kama Bibi wa Bibi alikuwa kiruka njia, mama naye halikadhalika, hapo binti naye lazima awe Malaya.
Ndio maana Vijana wanashauriwa kabla ya kuoa wanapaswa waangalie ukoo anaoenda kuolea, atazame tabia za Mama Mkwe wake.
Hili Vijana wengi WA siku hizi watapinga, lakini huo ndio ukweli, na vijana WA siku hizi wapo katika vita ya kutokubali ukweli. Lakini mwisho WA siku ukweli unawashinda.
2. Tamaa!
Tamaa ni moja ya sababu inayofanya kina Dada wawe Malaya, wengi husingizia umasikini lakini umasikini haujawahi kumfanya mtu awe Malaya. Wapo wanawake ni masikini lakini hawajajiingiza kwenye umalaya, wanajiheshimu na wameridhika na hali zao.
Hata Sisi wanaume tunapotongoza na kuwadanganya wanawake tunatumia Tamaa zao kupata tunachokitaka.
Ndio maana wanaume wata-fake maisha ilimradi wapate wakitakacho Kwa mwanamke.
Wanawake wanawalaumu bure wanaume kuwa ni waongo lakini wanasahau Uongo mara nyingi unanguvu Kwa mtu mwenye Tamaa Mbaya.
Hivyo kijana anapotafuta Mke WA kuoa Kama anataka kujiepusha na kuoa Mke Malaya basi ataangalia mambo hayo mawili, nayo ni;
1. Asili ya mwanamke huyo
2. Tamaa yake.
Namna ya kumfanya Binti Yako asiwe Malaya:
1. Oa na Zaa mwanamke mwenye asili ya kujitunza.
Mara nyingi tabia za binti hutoka Kwa Mama yake. Hivyo njia ya awali ya kumuandaa binti yako ni kumchagua mke asiye na Asili ya umalaya.
Ukiona kibinti kinapenda mambo ya ngono kupitiliza, jua sio kosa lake.
Alafu mara nyingi wazazi wanajua kabisa huyu kanirithi
2. Mfundishe Kujikubali na kujiamini.
Wanawake wengi Malaya wanatabia ya kutojiamini,
Baba ndiye anauwezo WA kumfanya Binti yake ajiamini na ajikubali.
Mfundishe binti yako Ajue yeye ni wathamani, yeye ni mzuri na anastahili kuheshimika, na ili aheshimike basi itampasa ajitunze kimwili, kihisia, kiroho na kiakili.
Wanawake wengi Malaya wanaathari mbaya za kisaikolojia, kihisia, na kiroho.
Mfundishe Binti kujiamini pasipo hata kusifiwa na mtu mwingine. Hii itamfanya wakati akitongozwa asione ajabu yoyote pale anapodanganywa na kusifiwa na Mwanaume.
Wanawake wengi hawajiamini na hiyo huwapelekea kwenye umalaya baada tuu ya kupata kujiamini Kwa kusifiwa.
Mfundishe Binti Yako ajikubali, ajione yeye ni Bora, asiendekeze maoni ya wengine kuwa wanamuonaje.
Nadra Sana kumkuta Mwanamke anayejikubali na kujiamini akiwa Malaya.
Kujiamini sio Kutukana watu au kutembea Kwa manjonjo bali ni mtazamo wa ndani kumhusu yeye mwenyewe.
3. Mjengee Binti yako uwezo wa kujitegemea na kujiongoza
Ondoa kasumba Kwa binti yako kuwa yeye ni mwanamke hivyo anapaswa amtegemee mwanaume. Ondoa kabisa hiyo mindset.
Mfundishe binti yako kujitegemea na kujiongoza, awe na mtazamo Bora kuwa kujitegemea na kujiongoza ndio namna Bora ya kuwa Mke mwema na Msaidizi Kwa mume wake atakayemuoa. Hiyo itamfanya kukutana na Mwanaume sahihi.
Lakini akiwa na mtazamo wa kumtegemea na kuongozwa na Mwanaume itamfanya kuwa Malaya na kumuweka katika Mazingira hatarishi ya kulaghaiwa na kunyanyaswa; pia hatari ya kumpata mwanaume asiye sahihi.
Mjengee binti yako uwezo wa kutopewa pesa na mtu asiye ndugu yake, asiye Baba yake, na asiye Mume wake.
Mwambie jasho la mtu haliliwi, labda mtu huyo awe Baba au Mume wake.
Mjengee fikra binti yako kuwa kuchukua pesa ya mtu asiye mume wake ni kufanya Ukahaba. Pia ni aibu kwake na anashusha thamani yake Kama Mwanamke.
4. Mjengee binti yako uwezo wa kudharau umalaya, na watu wa hovyo.
Mfanye binti yako kuwa mbaguzi, kuwa na Dharau, mfundishe tabia ya kuwa sio kila mtu anatakiwa kuwa karibu yake, sio kila mtu anatakiwa kumzoea,
Awe na uwezo wa kudharau umalaya hiyo itamfanya automatically asiwe na urafiki wala ukaribu au mazoea na Wanawake wenye Mtazamo wa kimalaya Malaya.
Hii itamfanya aonekane anadharau hilo asilijali. Kwani tayari ulishamjengea tabia ya kujijali yeye mwenyewe(kufikiria zaidi yeye anataka nini na sio wengine wanataka nini)
5. Asiwe na mazoea ya kijinga na Wanaume.
Kwa vile ushamfundisha kujikubali na kujiamini kamwe hawezi kuwa na mazoea ya kijinga na wanaume. Hatapenda sifa kutoka Kwa watu wengine zaidi ya mume wake.
Mara zote wanawake wasiojiamini na kujikubali ndio hupenda kusifiwa wapitapo barabarani,
Mazoea ya kijinga na sifa za kijinga jinga zimewafanya wanawake wengi Kuliwa kimasikhara na kujikuta katika Mkondo WA umalaya.
Mazoea ni pamoja na utani na masikhara yasiyo na tija.
6. Mfundishe Kula Kwa jasho lake au la mume wake( asipende vya Bure)
Siku zote mtu yeyote apendaye vya bure Hana thamani!
Wanawake wengi wamejikuta wakidharauliwa Kwa sababu ya Kupenda burebure.
Moja ya sifa kuu za Umalaya ni Kupenda vitu vya burebure!
Mfanye binti yako ajisikie vibaya Kula kitu au kutumia kitu ambacho hajakitolea jasho, hajakifanyia kazi.
Kuwa mwanamke haimaanishi upewe vitu burebure,kasumba hiyo IPO Kwa Wanawake Malaya au koo au jamii zenye umalaya.
Siku zote mtego hutumia vitu vya burebure Kama chambo Kwa wenye Tamaa(umalaya).
Mfundishe binti yako, hata mtu yeyote ambembeleze vipi kuchukua kitu cha Bure akatae, ikiwezekana alipie kitu hicho achukue. Huyo ndio Uanamke.
Mwambie Binti yako, ni aibu mtu msiye na mahusiano ya kimume na Mke, au Baba, au ndugu kukupa kitu burebure, tena hata ndugu yako hapaswi kukupa kitu burebure ikawa ni mazoea.
Kupewa burebure maana yake mtu huyo anafanya jaribio la kushusha Heshima yako na kukufanya uwe waburebure.
Wanawake wengi Malaya wamejikuta katika Mkondo huo Kwa Kupenda burebure kunakoletwa na Tamaa.
Mfundishe binti yako kuwa, hakuna kitu cha Bure Duniani, kila kitu lazima mtu akilipie.
Mfundishe Utu binti yako, na kamwe Burebure sio utu.
7. Mfundishe Binti yako Usafi.
Usafi sio wa nguo au Mazingira. Hata kuwa na Mwanaume mmoja huo pia ni Usafi.
Hakuna Malaya msafi hata angeoga na kujipaka marashi anukie Kama Waridi.
Mfanye binti yako aone ni uchafu usioelezeka kulala na wanaume zaidi ya mmoja.
Mwambie Binti Yako yeye sio dampo la kila mwanaume kutupia uchafu wake, kutiwa unajisi.
8. Mfundishe Binti yako kutumia Akili zaidi kuliko Hisia.
Hii itamsaidia kuwajua wanaume waongo wanaotaka kumchezea.
Kumbuka ulishamfundisha kujiamini na kujikubali, hivyo hata hitaji shinikizo la nje kumfanya ajione anathamani Bali yeye mwenyewe atajiona wathamani.
Kutumia Akili kutamuepusha na hisia za kijinga ambazo wanaume wengi tunaziamsha Kwa wanawake Kwa kuwaahidi vitu vizuri ambavyo kimsingi ni ulaghai tuu.
Nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam