safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,169
- 15,851
Nbijui kwanaz malaya ni nani mzee babaHujajibu maswali niliyo kuuliza.
Nbijui kwanaz malaya ni nani mzee babaHujajibu maswali niliyo kuuliza.
Mwanamke yoyote anayeolewa pasipo bikira hivo simpoNbijui kwanaz malaya ni nani mzee baba
Hauko serious. Jibu maswali niliyo kuuliza,usipoteze muda.Nbijui kwanaz malaya ni nani mzee baba
Ni Imani yako ...Mimi sio mwongo,..kazini nilipo wasichana mapepe' ndio Wana ndoa hao watulivu...wengine bado wsnasubiri wengine ni Single Mother!Muongo ,mwanamke aliye tulia na asiye na mambo mengi ana 95% ya kuolewa. Mwanaume anapotaka kuoa anakuwaga makini sana, kutafuta mwanamke aliye tulia sababu wanaume tunatafuta mwanamke atakekufanya utulie na uwe na amani ndani na nje ya nyumba ili utafute hela vizuri.
Sasa wadanganye wadanki danki kisha wakutane na rungu la kipepe ,mimba then single mother.
Labda wanaume wa kazini kwenu, ila siku zote mwanaume ili aweze kutulia na akili yake iconcetrate kutafuta hela kwa ajili ya mahitaji ya familia yake anahitaji utulivu wa akili, ndani na nje ya nyumba na anahitaji amani ndani na nje ya nyumba, so hivi vitu vinapatikana kwa mwanamke aliyetulia.Ni Imani yako ...Mimi sio mwongo,..kazini nilipo wasichana mapepe' ndio Wana ndoa hao watulivu...wengine bado wsnasubiri wengine ni Single Mother!
Hata hivyo utulivu ni relative!
Ha ha ha ila kwa research nlofanya vichechende vinapata wanaume waliotulia na wanawapenda kweli shida wao sasa utawekwa roho juu na kumuacha huwezi yaniiMnyazi Mungu akuweke sana udugu wangu Dmkali
huo ndo ukweli, wanaume wanapenda malaya, aivo nna udugu wangu mwenyewe Zainab malaya wa mburahati anaolewa kutwa mara 3, mie nipo tu kama yatima niliesuswa, Poooh malaya nimefungwa kuolewa... Aivo naenda kisarawe kwa bibi angu kambaulaya malaya wa TANU mwenye ndoa 7 akanifungue!
Poooh ukweli ndo huu udugu wangu Dmkali malaya ndo wanaolewa, sisi watulivu tumekalia Salamaleko Mnyanzi Mungu atusaidie.
Aivo ulikua hujui Udugu wangu? Vichekesho hawazingatiwi kurogwa nyota zao zimiachwa zinaangaza kama panga la kuzimu poooh! ukiwa mzuri unafifishwa kama upepo wa kiama, Mnyazi Mungu atusaidieHa ha ha ila kwa research nlofanya vichechende vinapata wanaume waliotulia na wanawapenda kweli shida wao sasa utawekwa roho juu na kumuacha huwezi yanii
Tena fasta! Na vinajua kulenga balaa hadi wengine wanabaki midomo wazi, lakini ndo kinaolewa sasaHa ha ha ila kwa research nlofanya vichechende vinapata wanaume waliotulia na wanawapenda kweli shida wao sasa utawekwa roho juu na kumuacha huwezi yanii
Ha ha ha ha dahAivo ulikua hujui Udugu wangu? Vichekesho hawazingatiwi kurogwa nyota zao zimiachwa zinaangaza kama panga la kuzimu poooh! ukiwa mzuri unafifishwa kama upepo wa kiama, Mnyazi Mungu atusaidie
HahahHa ha ha ha dah
Hahahaha maraya wa manerumambo acha ubabaifu mwafulaaaaPooh!!! wanibake niivae nuksi za majini ya hapa na pale. Sitaki mie kama wanaweza wapande daladala za mwanarumango watanikuta nimijaa kwenye pishi kwa bibi yangu kambaulaya waje na nia nzuri la sivyo kitawakuta kitu chekundu.. Poooh! Mnyazi Mungu anisaidie nifanikiwe
Hivi unajua yanatisha haya mambo?Umesema huyo malaya anatoa hadi tigo siku za hatari?? Aisee acha nizeekee kwetu na mbususu yangu tu hapana.
Hajambo udugu wangu pooh, nmitoka kuogeshwa mfedhafedha mwari wangu juma4 akiniona nimiripuka atangaze ndowaHahahaha maraya wa manerumambo acha ubabaifu mwafulaaaa
Vipi kambaulaya? Hajambo?