regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 52
Ni kweli kabisa akirudi aangalie namna ya kujenga uwezo yeye kama change agent.
Hii ni changamoto kuuubwa tunapoazimisha miaka 50 tangu uhuru. Jamani Sinusitis ni ugonjwa wa kawaida sana. Kwa lugha nyepesi ni kwamba kamasi zinakuwa zimeingiliwa na bacteria/virusi. Mara nyingi hao vijidudu hushambulia kwenye chanzo cha hifadhi ya hizo kamasi (sinus)ambazo ziko kulia na kushoto kwa pua sambamba na matundu ya pua. Unaweza ukatibiwa kwa kupewa antibiotics au kwa kupasuliwa ili kuondoa kabisa "sinus" yote iliyoathirika ili inayotengenezwa isichanganyike na yenye vijidudu. Hizo "sinus" ni mfano wa visahani ambavyo viko viwili yaani kulia na kushoto kwa pua.
Kama nilivosema awali, ni ugonjwa mdogo sana ambao kwa miaka 50 tulitakiwa tuwe tunaweza kuutibu hapa nchini. Wataalamu wa mabo ya Sinus wanasema kuwa kila binadamu amewahi kuugua ugonjwa huu wengi wetu huwa tunadhani ni kifafa!
Kuhusu kwenda India mie sipingi ila imekuwa too much! Hii ni kudharaulisha wataalam wetu wa afya kwamba hawana huo uwezo. Kisingizio kinakuwa eti wanaoenda India ni kwa sababu hatuna vifaa nchini vya kutibu hayo magonjwa! Jamani kwani ni tangu lini tumebaini hivyoo? Kwani hivo vifaa wanavotumia India havipo madukani? Au tukienda kununua huko wanakonunua wahindi hatutauziwa?
Naamini kama tukitaka "muhi2 " yetu iwe kama Apollo ya India inawezakana tuu! Ni kununua vifaa na kuwapeleka wataalamu wetu hukuhuko wanakosomeshwa wataalamu wa India! Ni suala la kuamua tuu na inawezekana.
Wao(akina Zitto, Mwakyembe, Mwandosya nk) wanapelekwa India! Je mimi na wewe tutaweza kumudu gharama za kwenda huko ikiwa ni pamoja na usafiri wa kwenda na kurudi, malazi na chakula?
Kwa waliowahi kwenda huko wansema gharama za matibabu si kubwa saana ila!
Jamani tubadilike sasa! Kila anaeumwa hata "malaria" anapelekwa India! Inauma sana jamani!
Nawasilisha
Hii ni changamoto kuuubwa tunapoazimisha miaka 50 tangu uhuru. Jamani Sinusitis ni ugonjwa wa kawaida sana. Kwa lugha nyepesi ni kwamba kamasi zinakuwa zimeingiliwa na bacteria/virusi. Mara nyingi hao vijidudu hushambulia kwenye chanzo cha hifadhi ya hizo kamasi (sinus)ambazo ziko kulia na kushoto kwa pua sambamba na matundu ya pua. Unaweza ukatibiwa kwa kupewa antibiotics au kwa kupasuliwa ili kuondoa kabisa "sinus" yote iliyoathirika ili inayotengenezwa isichanganyike na yenye vijidudu. Hizo "sinus" ni mfano wa visahani ambavyo viko viwili yaani kulia na kushoto kwa pua.
Kama nilivosema awali, ni ugonjwa mdogo sana ambao kwa miaka 50 tulitakiwa tuwe tunaweza kuutibu hapa nchini. Wataalamu wa mabo ya Sinus wanasema kuwa kila binadamu amewahi kuugua ugonjwa huu wengi wetu huwa tunadhani ni kifafa!
Kuhusu kwenda India mie sipingi ila imekuwa too much! Hii ni kudharaulisha wataalam wetu wa afya kwamba hawana huo uwezo. Kisingizio kinakuwa eti wanaoenda India ni kwa sababu hatuna vifaa nchini vya kutibu hayo magonjwa! Jamani kwani ni tangu lini tumebaini hivyoo? Kwani hivo vifaa wanavotumia India havipo madukani? Au tukienda kununua huko wanakonunua wahindi hatutauziwa?
Naamini kama tukitaka "muhi2 " yetu iwe kama Apollo ya India inawezakana tuu! Ni kununua vifaa na kuwapeleka wataalamu wetu hukuhuko wanakosomeshwa wataalamu wa India! Ni suala la kuamua tuu na inawezekana.
Wao(akina Zitto, Mwakyembe, Mwandosya nk) wanapelekwa India! Je mimi na wewe tutaweza kumudu gharama za kwenda huko ikiwa ni pamoja na usafiri wa kwenda na kurudi, malazi na chakula?
Kwa waliowahi kwenda huko wansema gharama za matibabu si kubwa saana ila!
Jamani tubadilike sasa! Kila anaeumwa hata "malaria" anapelekwa India! Inauma sana jamani!
Nawasilisha
Dah kila raia angekuwa anapewa huduma na attention kama hii......2015 lazima niingie kwenye ligi ya kuongeza thamani ya maisha.
Kila la kheri Muhishimiwa Zitto. Ukishapona usisahau kuwajengea uwezo hao wa Muhimbili pia. Inawezekana wajomba au wajukuu zako wasipate bahati ya kwenda India..who knows?