nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
- Thread starter
- #161
nice2 ni zito. Na hii ni style yake ya kuandika. Na kwamba nice2 ni zito sisi tulijua siku nyingi. Wewe ndo unajua leo? any way, cha msingi hapa tumwombe apone. Period. We need you, kaka.
Ludewa,
I've never been Zitto ila nimepost email kutoka kwa Zitto. Maelezo niliyokuwa nimeyatanguliza kueleza kwamba email hii imetoka kwa Zitto sielewi kwanini yaliondoka moderator aliporekebisha font, naamini ni kwa bahati mbaya labda, ila nimeyaweka tena.
Naomba usipotoshe watu. Nilikuwa nikicomment JF wakati ambao Zitto yuko mahututi a/khan na Muhimbili, how can you say that I am Zitto? Ninachojua Zitto yumo humu jamvini na anatumia jina lake halisi.