Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,533
tatizo kubwa la viongozi wote wa T hakuna mbaye alikwisha kukiri hadharani ya kuwa ameaathrika na vvu......................kila mmoja analaumu dalili za ugonjwa badala ya kiini chake........................wasichojua kama wakianza kujitokeza tutawaheshimu zaidi kwa kutusaidia kupunguza unyanyapaaji wa waathirika uliokithiri hivi sasa......................................kwa maoni yangu Zitto is a victim of hiv but he remains in the closet........................baada ya hii operesheni bado ataendelea kuumwa na kuanguka sasa sijui atasema imekosewa? Time is the best teacher here..............
Kwa hiyo wewe ndio daktari wake unajua anaumwa nini, hivyo unamhesabia siku na kusubiri aadhirike sio.
Ama kweli kusoma sio kuelimika, kwani wapo waliosoma lakini hawajaelimika. Hujafa hujaumbika.