zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa Chenge.
Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!
Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!