Ukweli kuhusu ajali ya Chenge!

Ukweli kuhusu ajali ya Chenge!

Kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa Chenge.

Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!
 
Kesi ya Chenge ambaye aliuuwa wasichana wawili kwa kuwagonga na gari huku wao wakiwa kwenye bajaj usiku wa manane. Lakini ukweli ni kuwa mkewe Chenge alikuwa akimfuatilia mume waku usiku huo na chenge ambaye baada ya kustarehe na wasichana hao aliwashusha na kuwalipa wakachukua bajaj bila kujua mkewe alikuwa akimfuatilia kwa nyuma.

Baada ya bajaj kuondoka na wasichana wale mkewe aliifukuzia na kuwagonga kwa bahati mbaya ndipo mkulu Chenge akajivisha kesi hiyo na kumuambia mkewe aondoke fasta kwani alijua kwake yeye ingeishia kupewa kijifaini cha vijisenti laki 7.5 HII NDIO BONGO MWNAWANE>>>

attachment.php

Huyu ndio mke wa Chenge akikata vijisenti vya faini

attachment.php

henge mwenye siku ya hukumu yake akifurahia na kumuambia mkewe "Si nilikuambia sie ndio wenye nchi hii ngoma ungebaki nayo ingekula kwako..."


Pruvu
 
Kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa Chenge.

Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!
Bwana mdogo tuliza munkari wewe ni Chenge nini una uhakika na unachokinena?
 
Acheni porojo, ukweli ni kwamba Chenge alikuwa akiwafukuzia baada ya wao kumtoka kisanii na pesa kibao aliwahonga ili akale uroda na mmoja wao. Wao walipoona wamepata mtaji wao wakasepa. Chenge akawafukuzia na kukuta wana panda kibajaji. Mbio zikaanza. Sasa theory ni kuwa dereva wa bajaj alipoona shangingi linakuja fosi nae akakiweka kibajaj vizuri kisha akaruka na kusepa. Chenge akiwa amelewa chakari akawaparamia kwa makusudi, au kwa hasira.
 
Kwa hiyo kimada official wa Chenge alikuwa anakimbiza wezi wake?? Ha ha ha ha ha!!! Hawa wazee vijana na viagra, mhhhhhhhhh. Kwa mauaji yale siku zake nazo zahesabika. Ni nani anamkumbuka marehemu Ditopile???

nikweli hata nikiangalia jinsi huyu mzee anavyotapatapa na mambo naona dalili siku zake zinahesabika.
 
Jamani acheni Porojo. Kwa taarifa zenu mke wa Chenge alikuwa Dubai kwa ajili ya shopping ya duka lake. Ukweli ni kwmba Tina Chenge alirudi nchini kesho yake baada ya ajali. Uho ndio ukweli. Ila ni kweli ile ajali akufanya Chenge mwenyewe ila mtu mwingine (private life). Narudia mke wa Chenge alikuwa nje ya nchi wakati wa ajali. I am 100% sure of this.

Kwa hiyo hao wasichana waliuwawa kwa ajili tu ya wivu wa hawara yake Chenge sio? Baada ya kuona Chenge amewachukulia Bajaj ili waishie, hawara yake Chenge akaamua kuifukuza hiyo bajaji na kuigonga!!! Wanaweza kuficha ukweli hapa duniani lakini wakumbuke kuna siku ya hukumu. Hawatapona hawa!!!!

Inasikitisha!!!!!

Tiba
 
Kama hayo mambo yalifanyika basi Mzee wa Vijisenti anastahili. Lakini kama anasingiziwa ili aonekane hafai ktk jamii basi hukumu ni hapahapa duniani. Kila mmoja anastahili kuhukumiwa kwa idadi ya makosa aliyoyafanya.
 
ukweli upo....anaujua Chenge mwenyewe....hizi nyingine zote stories tu.....
 
Back
Top Bottom