Ukweli kuhusu ajali ya Chenge!

Kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa Chenge.

Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!

Ajali haziwapati wanachadema tu...hivyo si sahihi suala hili kujadiliwa kisiasa. Hata wabunge wa vyama vingine wana wajibu wa kushupalia mabadiliko ya sheria hii.
 
Acheni porojo, ukweli ni kwamba Chenge alikuwa akiwafukuzia baada ya wao kumtoka kisanii na pesa kibao aliwahonga ili akale uroda na mmoja wao. Wao walipoona wamepata mtaji wao wakasepa. Chenge akawafukuzia na kukuta wana panda kibajaji. Mbio zikaanza. Sasa theory ni kuwa dereva wa bajaj alipoona shangingi linakuja fosi nae akakiweka kibajaj vizuri kisha akaruka na kusepa. Chenge akiwa amelewa chakari akawaparamia kwa makusudi, au kwa hasira.

Tupe facts sio theories, kwani Chenge siku hiyo alikuwa na Shangingi au Hilux Pick up?

 
attachment.php

Kwahiyo hata kiasi cha pesa kilikuwa kinajulikana cha fain yake ?

Na kingine kwahiyo Baada ya kumgonga kesi ya Mkwe chenge na Chenge ikawa imekwisha wakalipana kwa kesi ile ya mauaji?

Tanzania kweli kama huna pesa utaishi kwa taabu na mwenye pesa siyo mwenzio
 
kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa chenge.

Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!

sidhani kama wewe ni mwanadamu wa kawaida, huenda ukawa mfuasi wa al-shabaab..
 
attachment.php

Kwahiyo hata kiasi cha pesa kilikuwa kinajulikana cha fain yake ?

Na kingine kwahiyo Baada ya kumgonga kesi ya Mkwe chenge na Chenge ikawa imekwisha wakalipana kwa kesi ile ya mauaji?

Tanzania kweli kama huna pesa utaishi kwa taabu na mwenye pesa siyo mwenzio
" Mke wa Mheshimiwa mambo hadharani ! (Kifua!)
 
Kesi ya Chenge ambaye aliuuwa wasichana wawili kwa kuwagonga na gari huku wao wakiwa kwenye bajaj usiku wa manane. Lakini ukweli ni kuwa mkewe Chenge alikuwa akimfuatilia mume waku usiku huo na chenge ambaye baada ya kustarehe na wasichana hao aliwashusha na kuwalipa wakachukua bajaj bila kujua mkewe alikuwa akimfuatilia kwa nyuma.

Baada ya bajaj kuondoka na wasichana wale mkewe aliifukuzia na kuwagonga kwa bahati mbaya ndipo mkulu Chenge akajivisha kesi hiyo na kumuambia mkewe aondoke fasta kwani alijua kwake yeye ingeishia kupewa kijifaini cha vijisenti laki 7.5 HII NDIO BONGO MWNAWANE>>>

attachment.php

Huyu ndio mke wa Chenge akikata vijisenti vya faini

attachment.php

henge mwenye siku ya hukumu yake akifurahia na kumuambia mkewe "Si nilikuambia sie ndio wenye nchi hii ngoma ungebaki nayo ingekula kwako..."


imetulia
 
Tuambie huyo aliyefanya hiyo ajali!! Halafu dereva wa bajaji mpaka leo yuko wapi??
Ajali kubwa kama ile ina maana dereva hakuvunjika hata kidole??
Inawezekana nae alikufa lakini maiti yake ilihitajika zaidi kuliko ya wale wasichana!! si unajua tena imani za kule kwa wakina vi-jisenti na uchaguzi ulikuwa unakaribia?! (ni hisia tu yeye mwenyewe anaweza kututhibitishia kuwa siyo!)
 
masikini weeee.......

Mtu ajionyeshavyo mtu watanzania, mtu wetu mtu watanzania,
mtu alivyo mtu alivyojionyesha, mtu alivyoonekana ndivyo alivyojioyesha
mtu akiuza karanga, atafungaje kwenye boksi la samaki
mtu ni maneno yake, mtu kama alivyojitokeza mwenyewe

mtu ni utu pia, mtu ni uhai wake,
mtu kama hajafa, mtu ni alivyojitambulisha mwenyewe,
mtu kama alivyojitambulisha mwenyewe, mtu alivyojitokeza ndie,
mtu ni maneno yake, mtu kama alivyojitokeza mwenyewe.

Duh kazi sana;:A S-confused1: nilikuwa najaribu kama bado na kumbuka mashairi hilo lilikuwa somo la lazima sekondari wakati wetu, tokea wakati ule sijawai kuandika shairi hata moja, nakumbuka principles lakini sina uzoefu na utaalamu zaidi ya ile tuliosoma sekondari 1986.
 
Yaani mwenye kesi alikuwa mke wa chenge, ila chenge akaamua kuichukua kumwokoa mkewe kwa vile alikuwa anamfuatilia, hilo mkuu lina ukweli au porojo?????????????

Mke wa Chenge alikuwa Dubai shopping ya duka lake, so ni Chenge mwenyewe aliyewachengua wale mabinti na sababu ni kwamba alitaka akawatafune na wao walishamchuna na kusepa. Habari ndio hiyo.
 
Ingekuwa ni murder case endapo ingeendelea kwa mkewe na sio traffic case
 
Halafu huyu mzee utulivu mdogo, juzi juzi tu nimemwona sehemu na 'kimodo' flan:israel:
 
Back
Top Bottom