Ustaadh
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 413
- 19
Kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa Chenge.
Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!
Ajali haziwapati wanachadema tu...hivyo si sahihi suala hili kujadiliwa kisiasa. Hata wabunge wa vyama vingine wana wajibu wa kushupalia mabadiliko ya sheria hii.