Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Kesi ya Chenge ambaye aliuuwa wasichana wawili kwa kuwagonga na gari huku wao wakiwa kwenye bajaj usiku wa manane. Lakini ukweli ni kuwa mkewe Chenge alikuwa akimfuatilia mume waku usiku huo na chenge ambaye baada ya kustarehe na wasichana hao aliwashusha na kuwalipa wakachukua bajaj bila kujua mkewe alikuwa akimfuatilia kwa nyuma.
Baada ya bajaj kuondoka na wasichana wale mkewe aliifukuzia na kuwagonga kwa bahati mbaya ndipo mkulu Chenge akajivisha kesi hiyo na kumuambia mkewe aondoke fasta kwani alijua kwake yeye ingeishia kupewa kijifaini cha vijisenti laki 7.5 HII NDIO BONGO MWNAWANE>>>
Huyu ndio mke wa Chenge akikata vijisenti vya faini
henge mwenye siku ya hukumu yake akifurahia na kumuambia mkewe "Si nilikuambia sie ndio wenye nchi hii ngoma ungebaki nayo ingekula kwako..."
Baada ya bajaj kuondoka na wasichana wale mkewe aliifukuzia na kuwagonga kwa bahati mbaya ndipo mkulu Chenge akajivisha kesi hiyo na kumuambia mkewe aondoke fasta kwani alijua kwake yeye ingeishia kupewa kijifaini cha vijisenti laki 7.5 HII NDIO BONGO MWNAWANE>>>
Huyu ndio mke wa Chenge akikata vijisenti vya faini
henge mwenye siku ya hukumu yake akifurahia na kumuambia mkewe "Si nilikuambia sie ndio wenye nchi hii ngoma ungebaki nayo ingekula kwako..."