Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Swaiba mbona sijui km tunaugomvi?
Km vp ww nibip ntakupigia na kukuelekeza nyumbani tena utabahatika hata kumfaham mme wangu Rejao.

We endelea tu kujitia umajinuni, ugomvi tunao, tena mkubwa sana? huyo Rejao ni nani, sounds like a police constable...
 
Last edited by a moderator:
natamani kukutana na dada yangu. CANtalisa..tukae mahali na kunywa Capachino cofee
 
Last edited by a moderator:
hivi kwa nini kuna watu likifika swala la kukutana wanakuaga wakali sana..??!!
Depends ntu na ntu.
Mie nimekutana nao wengi sana hasa katika mishemishe za hapa na pale (hasa kikazi). Ila ningependa nikutane na mmojawapo wa washabiki wa jukwaa hili
 
Yuko wapi Smile? Huyu anajua kwa nini namuulzia
 
Last edited by a moderator:
Depends ntu na ntu.
Mie nimekutana nao wengi sana hasa katika mishemishe za hapa na pale (hasa kikazi). Ila ningependa nikutane na mmojawapo wa washabiki wa jukwaa hili
usemacho sikatai, hata mimi wapo nnaokutana nao mara kwa mara ila kuna memba wachache humu ndani JF hawataki kabisa kusikia hii kiyu,,,kwa nini!!??
 
Back
Top Bottom