Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,887
doh....tena??
sasa je....friends with benefits....
doh....tena??
afu mara nyingi sana nakuonaga wewe maeneo hayo...mbona nlishakustukia mda mrefu tu...!!We uko tayari kukutana na mimi? Mi naishi Tegeta na napatikana Fyatanga bar, mahakama ya mbuzi.
aiseee....nahisi kuanza kushawishika...sasa je....friends with benefits....
aiseee....nahisi kuanza kushawishika...
afu mara nyingi sana nakuonaga wewe maeneo hayo...mbona nlishakustukia mda mrefu tu...!!
halafu wewe....
ndo mana kumbe....zubaa uchekwe.....
sasa nitake kukutana na wewe wakati nakujua....wa nini?Hujajibu swali..... Unatakata mimi na wewe tukutane?
Na kama uliniona mbona hukunibipu nikupigie?
Au ndo hujui nini?
and you have one chance remember!!!Duh mi humu ninaham yakuwaona wengi mpaka nashndwa nimchague yupi!!
namjua bebi yangu hajawahi kumkopa mtu......
nataka kumuona Kongosho halafu nije niwaambie kama ni she au he maana huwa ananichanganya sana
hahahahaaaaaa unamdanganya nani? lo!None..
ili mjuane kwa ukaribu,who knows what it might bring.Ya kazi gani?
Ikawaje tena hatukukutana kama tulivokubaliana?
BTW karibu urie kidoko....afu machalari karibia kuiva...... Yu knooo woram seeiyyyying?
Hii mambo ya wanaume Bibie, yu neva noo.. (Usije kukuta ana mtoto nje pia)
Kuna kitu unakitafuta wewe.................si bure................!Ningependa nikutane na Cantalisia, tupate wasaa wa kumaliza ugomvi wetu.
Babu unaanza tena... nitakusema! 😛hone:Klorokwini.
Huyu alikimbia na mauzo ya famasi yetu. Nataka mgao wangu.
Hivi Amyner bado yupo? Badili Tabia kashabadilika? Mwali kashavunja ungo? Kongosho bado ana asali yangu?
Hivi leo jumangapi?