Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ambao wangependa kukutana na mimi hasa jinsia ya Ke Wajiorodheshe hapa tafadhali


Angalizo mbwa mkali nyumbani

Cc DEMBA
 
Last edited by a moderator:
heheheh sichakachui b4 marriage....lols

haa! Hujui kuwa kuna shake well b4 use.... Ukisubbir kuolewa je ukikutana na kidole cha mtoto au mguu wa mtoto wa miaka 10 utafanyaje??
 
Me JF imenikutanisha na wengi sana wengine watu wakubwa wenye hadhi zao na wengine ni waheshimiwa wa serikali ya TANZANIA nimetengeneza network nzito sana kupitia JF I CAN SAY BIG THANKS TO JF FOUNDERS


umeambiwa ungependa ukutane na nani?
 
haa! Hujui kuwa kuna shake well b4 use.... Ukisubbir kuolewa je ukikutana na kidole cha mtoto au mguu wa mtoto wa miaka 10 utafanyaje??

ndio ndoa hyo nliopewa ntatuliamo kimyaaa...
 

Wow...gmorning Khantwe...nice to hear that...promise you wont be dissapointed....you are the first and will get the best. See you soon...morw info in your inbox.
 
Last edited by a moderator:
Mi nikija Dar ntakutafuta, na ushamba huu wa kuishi Sumbawanga mimi mweee!!

itabidi unilipie nauli ya kuja daslama. Najua kuvuka barabara, ila sasa inabidi tutumie google map wakati tuna-zurura tusije tukapotea. Mbagala haipo kwenye ramani lakini eeh
 
Wow...gmorning Khantwe...nice to hear that...promise you wont be dissapointed....you are the first and will get the best. See you soon...morw info in your inbox.

Nakusubiria pm
 
Last edited by a moderator:
Strong headed wote!!!!

Kwa chakula cha jioni na kubadilishana mawazo, wachache watoe ushuhuda wa magumu na mafanikio!!!!!

Any wish master please!!!!!!
 
Back
Top Bottom