Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
marejesho akiziona hizo picha atakuhamisha jiji! Hapo Mlangarini utapachukia!!!
Mwambie na yy ajumuike nasi tuimbe pamoja mlangarini!mi nawahamisha wote kwa mpigo!
marejesho akiziona hizo picha atakuhamisha jiji! Hapo Mlangarini utapachukia!!!
Mwambie na yy ajumuike nasi tuimbe pamoja mlangarini!mi nawahamisha wote kwa mpigo!
nasubiria pm yako. Otherwise mwanamke rijali atabaki kuwa Madame B peke yake!
Ndio maana nilikuwa nasisitiza ukaguliwe! Embu kam zis wei nikufanyie the needful!Nifundishe jinsi ya ku PM mi mgeni bna!
Ndio maana nilikuwa nasisitiza ukaguliwe! Embu kam zis wei nikufanyie the needful!
dah! We mdada uko na tatizo gani? Mbona unakuwa na maneno makali hvyo? Kumbuka kuwa Hapa ni Chitchat.. watu8 ana kazi ya ziada.
ningependa nikutane na watu8...
Good lady! Hatimae you came to your sense! Come this way!Nimekuja hebu fanya faster bas
Good lady! Hatimae you came to your sense! Come this way!
Dah kaka mie nipo nipo mjini hapa...karibu sana!!!
Mpwa umenifurahisha sana hahaha....ladyfurahia kuja pande hii nafundisha twisheni ya chitchat!!!
Poa, tutapanga tukutane, mara nyingi nashona viatu hapa mnazi mmoja nje ya jengo la ushirika....
mpe twisheni huyo.... huwa povu linamtoka sana yaani
Ooh! maeneo ya Mnazi Mmoja huko eenh....watu8 mostly anapatikana Posta Mpya au maeneo ya Msasani
Hahaha...ngoja akuje halafu aone mineno yako hii, patachimbika hata kama pamejengwa kwa lami
Halafu mpwa..."ipere ethi kindu,kindu ni mshombe" nipe mwongozo hapo wa watani zangu wa Kihurio
Mpwa umenifurahisha sana hahaha....ladyfurahia kuja pande hii nafundisha twisheni ya chitchat!!!
hahahahahaha mimi mwenyewe namsubiri nione povu lake huyu mpendwa..... hapo penye bluu maana yake ni Samaki sio kitu, kitu ni mchuzi
Nicas Mtei tambua yakuwa unnanipa presha na kuniondolea furaha niliyonayo kwa hilo neno ulilosema yaani mm natoka povu mdomoni! haya namwachia Mungu, nimekusamehe bhana siwezi ongea hapo