Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Tena la FOMA GOLD

40.jpg


Nicas Mtei tambua yakuwa unnanipa presha na kuniondolea furaha niliyonayo kwa hilo neno ulilosema yaani mm natoka povu mdomoni! haya namwachia Mungu, nimekusamehe bhana siwezi ongea hapo
 
siyo hivyo best wananichokoza mwenzio sijui nifanyeje my dia yaani nashindwa hata kulala kwa uchokozi wao wananiondolea amani na furaha my dia nisaidie namna ya kufanya?
dah! We mdada uko na tatizo gani? Mbona unakuwa na maneno makali hvyo? Kumbuka kuwa Hapa ni Chitchat.. watu8 ana kazi ya ziada.
 
my dia Nicas Mtei anayenichokoza zaidi ni watu8 aliniahidi kuwa atanipeleka kwenye function ya bethidei lakini nilichoambulia niuchokozi tu mm nifanyeje?
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa sifahamu best ila waambie wenzio wasinichokoze mm sipendi jamani sijawakosea kitu chochote iweje wanifanye hivi jamani?
kutoka povu ni msamiati. maana yake ni kuzungumza kwa jazba.... usipate presha kabisa... hii ndo JF
 
siyo hivyo best wananichokoza mwenzio sijui nifanyeje my dia yaani nashindwa hata kulala kwa uchokozi wao wananiondolea amani na furaha my dia nisaidie namna ya kufanya?

unajua maana ya Chitchat? kama hujui basi usiwe unaingia humu... utakufa na stress
 
lakini mnanichokoza bure mm siko hivyo best ni Filipo ananiondolea amani na furaha yangu, sasa mm nifanyeje jamani? Haya namwachia Mungu

Usijali dia. Shilingi inapande mbili. Wapo watakao kuchukia lakini mimi nakupenda sana!
 
Last edited by a moderator:
mhm haya kwani unafikiri sifahamu maana ya chitchat nafahamu sana hayo ni maneno tu ya mdomoni nimeshayazoea best
 
Nimekutumia Bentley ije kukuchukua...ukadai umezoea kubanda mgongo wa KOBE
HAhahahaah watu8,Unamaanisha kwamba ladyfurahia ni wa Bodaboda na siku akipanda Bajaj full kusinzia yani ana-relax mnooo.Kwa ushauri wangu tu hiyo Bentley itume tena kaka, ila weka na Neti kabisa na mashuka bila kusahau mito.
 
Back
Top Bottom