Ukosefu wa ajira, ugumu wa maisha na Katiba Mpya ndio vitakavyoiondoa CCM madarakani

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
CCM wafanye yote wanayofanya ikiwemo kutumia propaganda na dola kubaki madarakani, ila waeleze tatizo la ajira na ugumu wa maisha pamoja na Katiba hii mbovu tulionayo, ndio vitu vitavyokuja kuwaondoa madarakani.

Hata hivyo, ili yatimie, lazima kwanza litokee jambo ambalo litatumika kama chanzo(kivuli) cha watu ku-riot ila kitachowasukumu watu kupambana na dola ni hayo mambo matatu hapo juu.

Leo hii reaction ya wananchi kuhusu tozo kwenye laini za simu ni indicator ya awali tu au ni mfano mmojawapo wa vitu vinavyoweza kuja kutumika kama kivuli tu cha kuamsha hasira watu walizonazo katika moyo yao(watanzania wana utulivu tu lakini hawana amani).

Katiba Mpya kwa upande wake, inaweza kuja kutumika kama chanzo kikuu cha wananchi ku-riot au kutumika kama kivuli katika kuamsha hasira za wananchi kupinga ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira hasa miongoni mwa vijana.

Ni swala muda tu kabla haya hayajatimia endapo tutaendelea kuzaliana huku tukiendelea kuwa na vipaumbele vibofu katika nchi.Kibaya zaidi, tumeshatumia vibaya rasilimali za nchi kupitia mikataba mibovu na matokeo yake tumeanza kuyaona kupitia hizi kodi za hovyo hovyo.

Wananchi, hasa vijana, wasio na ajira huku wakitambua rasilimali za nchi yao zimetumika vibaya kufaidisha watu wachache, hawataitaji tuition kuelewa umuhimu wa katiba wala mlio wa filimbi kukusanyika ili kudai katiba mpya au kuondoa watawala madarakani kwa gharama yoyote.

Hivyo, kuna wakati unakuja watawala mtalazimika kuacha kupambana na viongozi wa vyama vya upinzani na wanaharakati, na badala yake mtalazimika kupambana na wananchi waliuongana bila kujali tofauti zao za kisiasa, kidini, kikabila, n.k.

Aione Mama na aiweke kwenye file lake hapo Magogoni.
 
CCM wafanye yote wanayofanya ikiwemo kutumia propaganda na dola kubaki madarakani, ila waeleze tatizo la ajira na ugumu wa maisha pamoja na Katiba hii mbovu tulionayo, ndio vitu vitavyokuja kuwaondoa madarakani.

Hata hivyo, ili yatimie, lazima kwanza litokee jambo ambalo litatumika kama chanzo(kivuli) cha watu ku-riot ila kitachowasukumu watu kupambana na dola ni hayo mambo matatu hapo juu.

Leo hii reaction ya wananchi kuhusu tozo kwenye laini za simu ni indicator ya awali tu au ni mfano mmojawapo wa vitu vinavyoweza kuja kutumika kama kivuli tu cha kuamsha hasira watu walizonazo katika moyo yao(watanzania wana utulivu tu lakini hawana amani).

Katiba Mpya kwa upande wake, inaweza kuja kutumika kama chanzo kikuu cha wananchi ku-riot au kutumika kama kivuli katika kuamsha hasira za wananchi kupinga ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira hasa miongoni mwa vijana.


Ni swala muda tu kabla haya hayajatimia endapo tutaendelea kuzaliana huku tukiendelea kuwa na vipaumbele vibofu katika nchi.

Kuna wakati unakuja watawala mtalazimika kuacha kupambana na viongozi wa vyama vya upinzani na wanaharakat,i na badala yake mtalazimika kupambana na wananchi waliuongana bila kujali tofauti zao za kisiasa, kidini, kikabila, n.k.

Aione Mama na aiweke kwenye file lake hapo Magogoni.
Hawa wamezoea kuishi kitapeli tapeli ila wasichokijuai ni kuwa siku zaozinahesabika.
 
Nadhani ugumu wa maisha dunia nzima upo labda sehemu moja tu ndiyo walijikwamua duniani ni Libya ya zamani.
Nakatiba mpya haiwezi kumuingiza mtanzania yoyote barabarani labda wanasiasa mnayoitaka, sisi raia tuna yetu na hayafanani na yenu.
 
Nadhani ugumu wa maisha dunia nzima upo labda sehemu moja tu ndiyo walijikwamua duniani ni Libya ya zamani.
Nakatiba mpya haiwezi kumuingiza mtanzania yoyote barabarani labda wanasiasa mnayoitaka, sisi raia tuna yetu na hayafanani na yenu.
Sisi tunaishi na sadaka za wanyonge kule kanisani sio
 
Nadhani ugumu wa maisha dunia nzima upo labda sehemu moja tu ndiyo walijikwamua duniani ni Libya ya zamani.
Nakatiba mpya haiwezi kumuingiza mtanzania yoyote barabarani labda wanasiasa mnayoitaka, sisi raia tuna yetu na hayafanani na yenu.
Sio huu wa kuishi chini ya dola moja huku kila siku afadhali ya jana.
 
Kuna vitu watu bado awajagundua njia sahihi ya kuwatoa ccm madarakani
hauwezi kuwaweka tena mbele chadema kudai katiba mpya na wananchi wasio wa chadema wakaunga mkono hoja hiyo
Chadema ishapoteza uaminifu na mvuto kwa watanzania
Mfano ,
Tuna mambo 2 mbele yetu
Tozo
Chanjo
Matembele wameshapoteana katikati ya dimba kuhusu Tozo
Anatokea kiongozi wa upinzani ( mlevi
Anatoa boko
Chanjo ni lazima kwa kila mtanzania
Analazimisha serikali imuunge mkono katika hayo maoni yake
Alafu hicho hicho chama ndio kipiganie katiba
Itakuwa ni uchizi wa hali ya juu,
Ushsuri
Kama wanasiasa wanataka kuiondoa ccm madarakani kiundwe chama kipya faster
Kisiwe na mbowe, lipumba, wala zito wala mbatia
Kipatikane chama cha vijana kama vile
Uganda kwa BOBI WINE AU kule south Africa kwa MALEMA
Tukibaki na vyama hivi hivi chadema, Act, cuf. Nccr tutapigwa tena kama tumesimama hawa wakina mbowe awana jipya sema wanalazimisha tu siasa kwa sababu awana cha kufanya kwa sasa.
 
Sio huu wa kuishi chini ya dola moja huku kila siku afadhali ya jana.
We mtoto maisha chini ya dola ni Afrika nzima ukiwaacha viongozina, matajiri wachache na waliobaatika kusoma na kupata pozishoni wengine wote ni sawa. Huko nyuma labda ulikuwa ujazaliwa sijui tuliambiwa vyama vingi ndiyo litakuwa moharobaini wa matatizo ya waafrika, leo kuna nchi afrika zimebadirisha vyama madarakani zaidi ya 6 lakini hari yao ndiyo inazidi kuwa mbaya zaidi fikiria, umizakichwa acha mkumbo.
Ndiyo maana Libya ilikuwa na chama kimoja na walikuwa juu ya dola 8 kwa siku kwa mtu mmoja, iko wapi Libya leo, eti kisa democrasia, waambie na wenzako kizazi hiki fikirieni kwanza umizeni vichwa kesho mtaacha watoto ninyi mnaondoka, si rahisi kama mnavyo jadili.
 
Back
Top Bottom