Ukistaajabu ya tozo, tazama wafanyabiashara tunavyoumizwa na serikali

Hujalipia maji, umeme, kodi ya frem, mlinzi, wazoa uchafu, halmashauri, tra, mtoa huduma, nauli, mlo!! Biashara zenyewe % kubwa mikopo.

BADO TOZO, hii nikukamuliwa maziwa mpk damu

Miaka ijayo baadhi ya watu km si kuongea wenyewe road ni kufa kwa presha/sugar

Wengine taka almost zote zinaokotwa na wale mateja lakini tunamlipa Kajenjere 40,000

 
Lipa Kodi kwa manufaa na maendeleo ya nchi yako, Mimi hapa Ni mtumishi Kodi yangu kwa mwezi Ni shilingi 200,000/= bado nina biashara yangu ambayo leseni nalipia sh 150,000/= wakati huo tra ninalipa 50,000/ ,yote haya Mimi Naona Ni sawa kwani tunapambania maendeleo ya nchi yetu.

Tatizo watanzania tumezoea lelemama, hata mabepari yanasema, no free lunch in capitalist system!!

Tukubali tukatae Kodi lazima ilipwe!!
 
Lipa Kodi kwa manufaa na maendeleo ya nchi yako, Mimi hapa Ni mtumishi Kodi yangu kwa mwezi Ni shilingi 200,000/= bado nina biashara yangu ambayo leseni nalipia sh 150,000/= wakati huo tra ninalipa 50,000/ ,yote haya Mimi Naona Ni sawa kwani tunapambania maendeleo ya nchi yetu.

Tatizo watanzania tumezoea lelemama, hata mabepari yanasema, no free lunch in capitalist system!!

Tukubali tukatae Kodi lazima ilipwe!!

Kuna mambo ili uyaelewe Kwa urahisi itakupasa uyapitie.

Acha kazi yako hiyo, then fanya biashara ili uwaelewe hawa wanasema kitu gani.

Ni Bora kunyamaza kuliko kuongea mambo usiyoyajua,
Usihukumu usije ukahukumiww
 
Lipa Kodi kwa manufaa na maendeleo ya nchi yako, Mimi hapa Ni mtumishi Kodi yangu kwa mwezi Ni shilingi 200,000/= bado nina biashara yangu ambayo leseni nalipia sh 150,000/= wakati huo tra ninalipa 50,000/ ,yote haya Mimi Naona Ni sawa kwani tunapambania maendeleo ya nchi yetu.

Tatizo watanzania tumezoea lelemama, hata mabepari yanasema, no free lunch in capitalist system!!

Tukubali tukatae Kodi lazima ilipwe!!
Hatukatai kulipa, lakidi hakuna weledi kwenye malipo!
Hata ng'ombe hulishwa kwanza ili apate maziwa ya kukamuliwa!

TRA wanasajili nini si ni malipo?
Sasa hayo ya manispaa bei kubwa hivyo za nini? Kwani wangeweka hata elf 10 au bure huoni wangeshawishi watu kujiajili wakakusanya kwa wingi?

Inakuwaje manispaa ulipie kila wilaya Tanzania wakati biashara ni moja na mmiliki ni yuleyule?
Kwanini mfanyabiashara alipie bango la biashara wakati kaomba leseni ili afanye biashara?

Hapo bado pesa ya usafi wa taka analipa, ulinzi analipa, Mwenge, kwenye luku anakatwa kodi ya ardhi wakati ni mpangaji n.k

HIVI HATA KAMA KWELI TUNATAKA KODI KWA STYLE HIYO KULIKUWA NA HAJA GANI KUWA NA WASOMI!
So wangesema anaemaliza la saba anatosha kuajiliwa TRA/ MANISPAA
 
Huwa namshangaa sana kiongozi anayewashauri watu wajiajiri!

Kujiajiri Tanzania inabidi kwanza ujitoe ufahamu kabla ya kupata faida!
Ebu fikilia haya malipo ya serikali yalivyo hayana uhalisia!
  • Unatafta wazo la biashara,mtaji na fursa lakini TRA hawanaga grace period kwa wafanyabiashara wadogo kama ilivyo kwa uwekezaji mkubwa
  • TRA hawana muda wa kufikilia TIN zenye msamaha wa kodi kwa wafanya biashara wanaoanza!
  • Malipo ya pango la biashara lazima mfanyabiashara ukalipie 10% ...wakati aliyetakiwa kutoa hiyo ni mwenye nyumba ulipo panga wewe! Lakini kwasababu mfanyabiashara unashida wanakubana wewe!
  • Halmashauri na manispaa pasipo kukupa msaada wowote, ukifuata leseni wanakutoza pesa kuanzia elf 80 hadi laki tano kulingana na biashara yako! Tena kibaya zaidi unawafuata ofisini kwao ukapange foleni hata juisi ya kufuta jasho la nauli kwa kuwapelekea pesa ofisini hawakupi, sasa ebu jiuloze pesa zote hizo manispaa wanachukua kwa mchango UPI waliompa mfanyabiashara kama siyo dhulma?
  • Malipo ya leseni yanaumiza sana kwasababu kwanza hawajishughulishi hata kukupa elimu ya biashara, hawakutaftii wateja hawakupi ofa yoyote zaidi ya kukukamua tena wakiwa ofisini kwao.
  • Ukifanikiwa kufungua matawi ya biashara yako, ajabu kila manispaa utaombwa kulipia mfano! Kama leseni ni tsh 350000 ukiweka tawi kila wilaya utatakiwa kuilipa pesa hiyo kila wilaya utazani ni nchi tofauti wakati uko Tanzania moja
  • Yote tisa kote pesa wamechukua pasipo hata grace period, ukitaka kuweka bango la kujitangaza biashara yako watakuja Kudai ULIPIE BANGO Lako la kujitangaza, wanakuchaji kwa square meter.
Yapo mengi sana wafanyabiashara tunadhulumiwa na selikali kuna wakati natamani katiba iseme wazi kabisa! KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MFANYABIASHARA Mwenye biashara ya jina lake iliyofanya kazi angalau miaka 10 na kuendelea! Labda itasaidia kutuelewa tunavyoumia wafanyabiashara.

Manispaa wanapata pesa za bure sana na sielewi kwanini LESENI ZAO zisiwe bure au wapunguze anagalau bei ya juu kabisa kwa duka,yard au kampuni isizidi lakimoja!

Na ikiwrzekana makao makuu ya ofisini ilipo ndipo inatakiwa kulipiwa leseni na huko kwenye matawi ipelekwe nakala au walipie kwa nusu bei!

Msigwa hajielewi msameheni bure tu
 
Waache wakate ila sasa sisi wengine
Tutakuwa tunahoji miradi,huduma
Za kiserikali si watu wanakatwa kodi,tozo
Tutabanana huko huko

Ova
 
Huwa namshangaa sana kiongozi anayewashauri watu wajiajiri!

Kujiajiri Tanzania inabidi kwanza ujitoe ufahamu kabla ya kupata faida!
Ebu fikilia haya malipo ya serikali yalivyo hayana uhalisia!
  • Unatafta wazo la biashara,mtaji na fursa lakini TRA hawanaga grace period kwa wafanyabiashara wadogo kama ilivyo kwa uwekezaji mkubwa
  • TRA hawana muda wa kufikilia TIN zenye msamaha wa kodi kwa wafanya biashara wanaoanza!
  • Malipo ya pango la biashara lazima mfanyabiashara ukalipie 10% ...wakati aliyetakiwa kutoa hiyo ni mwenye nyumba ulipo panga wewe! Lakini kwasababu mfanyabiashara unashida wanakubana wewe!
  • Halmashauri na manispaa pasipo kukupa msaada wowote, ukifuata leseni wanakutoza pesa kuanzia elf 80 hadi laki tano kulingana na biashara yako! Tena kibaya zaidi unawafuata ofisini kwao ukapange foleni hata juisi ya kufuta jasho la nauli kwa kuwapelekea pesa ofisini hawakupi, sasa ebu jiuloze pesa zote hizo manispaa wanachukua kwa mchango UPI waliompa mfanyabiashara kama siyo dhulma?
  • Malipo ya leseni yanaumiza sana kwasababu kwanza hawajishughulishi hata kukupa elimu ya biashara, hawakutaftii wateja hawakupi ofa yoyote zaidi ya kukukamua tena wakiwa ofisini kwao.
  • Ukifanikiwa kufungua matawi ya biashara yako, ajabu kila manispaa utaombwa kulipia mfano! Kama leseni ni tsh 350000 ukiweka tawi kila wilaya utatakiwa kuilipa pesa hiyo kila wilaya utazani ni nchi tofauti wakati uko Tanzania moja
  • Yote tisa kote pesa wamechukua pasipo hata grace period, ukitaka kuweka bango la kujitangaza biashara yako watakuja Kudai ULIPIE BANGO Lako la kujitangaza, wanakuchaji kwa square meter.
Yapo mengi sana wafanyabiashara tunadhulumiwa na selikali kuna wakati natamani katiba iseme wazi kabisa! KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MFANYABIASHARA Mwenye biashara ya jina lake iliyofanya kazi angalau miaka 10 na kuendelea! Labda itasaidia kutuelewa tunavyoumia wafanyabiashara.

Manispaa wanapata pesa za bure sana na sielewi kwanini LESENI ZAO zisiwe bure au wapunguze anagalau bei ya juu kabisa kwa duka,yard au kampuni isizidi lakimoja!

Na ikiwrzekana makao makuu ya ofisini ilipo ndipo inatakiwa kulipiwa leseni na huko kwenye matawi ipelekwe nakala au walipie kwa nusu bei!

View attachment 2330892
Mkuu umesahau ile Kodi nyingine inayotozwa na Manispaa mara baada ya kulipa Kodi ya Leseni inaitwa Service Levy. Ukiwauliza hiyo kodi ni ya nini wanasema ni kwa ajili ya elimu, afya na barabara. Ingawa tunatozwa tena VAT na Tozo za Benki na Simu kwa ajili ya huduma hizo hizo. Kujiajiri ni shida nchi hii.
 
Back
Top Bottom