toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hivi mitandao wanashindwa vp kuondoa makato na tozo kwenye hela ya mkopo?
Mtu unakopa sijui branch, apps za mikopo, songesha,mpawa,nivushe nk rakini ukitoa hiyo hela bado unakatwa
Kwanini kusiwe na utaratibu hela ya mkopo inayokopwa isiwe na gharama za kutoa including tozo na makato?
Unakopa 10000 tu lakin mpaka unatoa na kuja kurejesha ni kama elfu 22 ishaenda ndo maana mikopo ya mitandaon haiwez kuwa na tija kwa mkopaji hata siku moja kwasababu ya mirorongo ya kijingajinga
Mtu unakopa sijui branch, apps za mikopo, songesha,mpawa,nivushe nk rakini ukitoa hiyo hela bado unakatwa
Kwanini kusiwe na utaratibu hela ya mkopo inayokopwa isiwe na gharama za kutoa including tozo na makato?
Unakopa 10000 tu lakin mpaka unatoa na kuja kurejesha ni kama elfu 22 ishaenda ndo maana mikopo ya mitandaon haiwez kuwa na tija kwa mkopaji hata siku moja kwasababu ya mirorongo ya kijingajinga