Ukifa, hutatamani tena kuishi duniani!

Ukifa, hutatamani tena kuishi duniani!

Ukifa umepotea mazima. Hakuna peponi wala mbinguni.
Sijasema peponi wala mbinguni ila dimension nyingine unaweza kuita unavyoweza ila dimension zaidi ya hizi zipo hivyo labda kuna viumbe wanazaliwa hivyo au ni transition ya mtu, unatoka tumboni unakuja dunia je ni wapi unaenda tena, maana kama kuzaliwa sio mwisho wa kiumbe hatuwezi kusema kufa ndio mwisho
 
Sijasema peponi wala mbinguni ila dimension nyingine unaweza kuita unavyoweza ila dimension zaidi ya hizi zipo hivyo labda kuna viumbe wanazaliwa hivyo au ni transition ya mtu, unatoka tumboni unakuja dunia je ni wapi unaenda tena, maana kama kuzaliwa sio mwisho wa kiumbe hatuwezi kusema kufa ndio mwisho
Kuzaliwa ni mwanzo kufa ni kikomo 😎.
 
Nafsi inazima kabisa. Ukitaka kujua mfano wake hebu lala usingizi mzito uone kama utakuwa na utambuzi wowote.
Haunijibu kwa mantiki Mkuu, zaidi ya kuniletea vistori tu.

Nimekuuliza hivi una uhakika gani 100% kuwa nafsi huwa inazima? Hapa nataka unipe experience iliyo hai.

Huo uhakika umeutoa wapi?
 
Haunijibu kwa mantiki Mkuu, zaidi ya kuniletea vistori tu.

Nimekuuliza hivi una uhakika gani 100% kuwa nafsi huwa inazima? Hapa nataka unipe experience iliyo hai.

Huo uhakika umeutoa wapi?
Ninauhakika kwa 100% kwa sababu nafsi yangu inazima pale ninapokuwa kwenye usingizi mzito.

Nadhani sasa umeelewa.
 
Kuzaliwa ni mwanzo kufa ni kikomo 😎.
Nimeona mara nyingi watu hutumia kigezo mbona hakuna aliyerudi kuja kutuambia, je kama hakuna njia ya kurudi kutoka huko alipo, mfano kuna mtu aliyerudi tumboni ? Je na sperm na ovaries wakisema kuzaliwa ndio mwisho wa maisha
 
Nimeona mara nyingi watu hutumia kigezo mbona hakuna aliyerudi kuja kutuambia, je kama hakuna njia ya kurudi kutoka huko alipo, mfano kuna mtu aliyerudi tumboni ? Je na sperm na ovaries wakisema kuzaliwa ndio mwisho wa maisha
Mtu anarudi kutoka wapi kwa mfano.
 
Ukifa unaoza unabaki kama hivi na mwisho kabisa unafutika hata skeleton lako

tofauti na hapo labla tuwapigishe mental masturbation ya mbinguni na roho .
Screenshot_2026-05-25_215437.jpg
 
Back
Top Bottom