de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,090
- 21,985
Hakika ubinadamu ni kazi sana.
Tunatamani pesa ila tukiipata tu naona haina maana.
Tunapenda wanawake wazuri, ila tukichapiwa tunasahau ni kwa sababu kuna mtu anadau zaidi yetu.
Wanawake nao wanashindwa kuchagua kati ya pesa na upendo... Wakiona pesa wanatoa upendo kwa muda , pesa ikizidi wanatafuta wanayempenda... WTF
Aisee..
Ukijipata unaringa, ukikosa mali wewe ni kapuku.
Ukiwaasa wajitume wa nakwambia kwani maisha yako, ukifanikiwa wa nakuomba connection...
Wanasema ukifa unaenda mbinguni, ila hawataki kufa ili kufika huko. Na wanamwomba yule aliye waambia huko kuna makao mema, awaongezee miaka ya kuishi kwenye dunia ya mateso...
Hawapendi ukweli ila uongo kwao ni mwiko. Wanaishi maisha ya kuigiza ila malipo yake ni kifo tu, sasa sijui wanamuigizia nani..
" ukweli ni kuwa hatuogopi kufa, tunaogopa kuishi" na kuishi kuna anza pale unapokufa kabla hujafa na kugundua hakuna kifo"
Tuwahini kazini sisi wamatumbi. Tukaendelee kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight..
Tunatamani pesa ila tukiipata tu naona haina maana.
Tunapenda wanawake wazuri, ila tukichapiwa tunasahau ni kwa sababu kuna mtu anadau zaidi yetu.
Wanawake nao wanashindwa kuchagua kati ya pesa na upendo... Wakiona pesa wanatoa upendo kwa muda , pesa ikizidi wanatafuta wanayempenda... WTF
Aisee..
Ukijipata unaringa, ukikosa mali wewe ni kapuku.
Ukiwaasa wajitume wa nakwambia kwani maisha yako, ukifanikiwa wa nakuomba connection...
Wanasema ukifa unaenda mbinguni, ila hawataki kufa ili kufika huko. Na wanamwomba yule aliye waambia huko kuna makao mema, awaongezee miaka ya kuishi kwenye dunia ya mateso...
Hawapendi ukweli ila uongo kwao ni mwiko. Wanaishi maisha ya kuigiza ila malipo yake ni kifo tu, sasa sijui wanamuigizia nani..
" ukweli ni kuwa hatuogopi kufa, tunaogopa kuishi" na kuishi kuna anza pale unapokufa kabla hujafa na kugundua hakuna kifo"
Tuwahini kazini sisi wamatumbi. Tukaendelee kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight..