Ubinadamu ni kazi sana

Ubinadamu ni kazi sana

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,090
Reaction score
21,985
Hakika ubinadamu ni kazi sana.

Tunatamani pesa ila tukiipata tu naona haina maana.

Tunapenda wanawake wazuri, ila tukichapiwa tunasahau ni kwa sababu kuna mtu anadau zaidi yetu.

Wanawake nao wanashindwa kuchagua kati ya pesa na upendo... Wakiona pesa wanatoa upendo kwa muda , pesa ikizidi wanatafuta wanayempenda... WTF

Aisee..

Ukijipata unaringa, ukikosa mali wewe ni kapuku.

Ukiwaasa wajitume wa nakwambia kwani maisha yako, ukifanikiwa wa nakuomba connection...

Wanasema ukifa unaenda mbinguni, ila hawataki kufa ili kufika huko. Na wanamwomba yule aliye waambia huko kuna makao mema, awaongezee miaka ya kuishi kwenye dunia ya mateso...

Hawapendi ukweli ila uongo kwao ni mwiko. Wanaishi maisha ya kuigiza ila malipo yake ni kifo tu, sasa sijui wanamuigizia nani..

" ukweli ni kuwa hatuogopi kufa, tunaogopa kuishi" na kuishi kuna anza pale unapokufa kabla hujafa na kugundua hakuna kifo"

Tuwahini kazini sisi wamatumbi. Tukaendelee kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight..
 
Huwezi kuishi bila misukosuko,maana hii dunia si ya kwako peke yako,unaishi na binadamu wa kabila,rangi,kanda na lugha tofauti tofauti, kila mtu ana akili zake, hivyo wewe ishi nao kiakili, ukishindwa kuendana na mifumo ya kidunia utakufa au utafia jela. Mapambano yanaendelea.
 
Huwezi kuishi bila misukosuko,maana hii dunia si ya kwako peke yako,unaishi na binadamu wa kabila,rangi,kanda na lugha tofauti tofauti, kila mtu ana akili zake, hivyo wewe ishi nao kiakili, ukishindwa kuendana na mifumo ya kidunia utakufa au utafia jela. Mapambano yanaendelea.
Umeongea kimihemko, hivi unajua hata hizo akili na beliefs sio zako?
 
Kwa kuhesabu wanafika 12 hapo nimeruka dada wa kazi home kila aliyekuja nilionja
Umesex na wanawake zaidi ya 12 maana yake ww n Malaya.

Afu hutaki kula mwanamke Malaya 😂

Hata hao wanawake uliowala nao wameliwa na wanaume wengine hvy umesex na Malaya.
 
Umesex na wanawake zaidi ya 12 maana yake ww n Malaya.

Afu hutaki kula mwanamke Malaya 😂

Hata hao wanawake uliowala nao wameliwa na wanaume wengine hvy umesex na Malaya.
Jidanganye mimi hula mali safii.

Hao wanawake wote tumekutana mashuleni, na maofisini na wengine walikuwa maboss zangu...

Kuna aina ya mali nakula mzee, lazima iwe safi na inayojiheshimu
 
Back
Top Bottom