de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,072
- 21,900
Kisa Nini?Kufa mazima. Yaani napotea mazima.
Kisa Nini?Kufa mazima. Yaani napotea mazima.
Mkuu, mimi naamini mambo yataukuwa hivi niaminivyo. Ngoja tuone!Uko sahihi kwa hiyo imani yako lakini uhalisia hauko hivyo
Kifo kingine ni kipi?Mauti ziko mbili Wewe unakufa ipi? Usisahau kuacha wosia na rambirambi zako atapewa nani?
Mkuu, umefanya vizuri sana kuniombea pumziko jema nikiwa nasikia na kuona kabisa.r.i.p in advance gentleman![]()
😂😂, Utakuwa hujui chochote.Mm siku Nikifa ntalia sana huko kaburini 😭
OK sawa ngoja tuone😀Mkuu, mimi naamini mambo yataukuwa hivi niaminivyo. Ngoja tuone!
Kwani wewe unaamini vipi mkuu? Ukifa hali itakuwaje?Umejuaje?
Kwa sababu Kila kilicho na uhai hufa.Kisa Nini?
Sawa sawa ukapumzike salamaKwa sababu Kila kilicho na uhai hufa.
Natumai wewe ni miongoni mwa wale wasemao, "sitakufa bali nitaishi".Una uhakika gani na hilo?
Utaongeleaje jambo fulani kwa uhakika ili hali hakuna mtu yeyote hapa duniani mwenye experience nalo?
❤️OK sawa ngoja tuone😀
Well said.
Hayo ni kwa wale watakaokufa, kwa wale wenzangu ambao hatutakufa tunategemea yafuatayo: kwanza, maisha kuendelea kama kawaida isipokuwa tu miili yetu haitakuwepo na pili kuendelea kuishi kwa milele na milele katika roho. Ni hayo tu kwasasa.Ukifa hutatamani tena kuishi duniani.
Hutatamani kuishi tena duniani kwa sababu utakuwa hujui chochote kinachoebdelea.
Hali inakuwa sawa na vile ilivyokuwa kabla ya kuzaliwa.
Ni hayo tu!
Ombea ufe na mikono yako itakufariji na nyeto 😂😂😂Mm siku Nikifa ntalia sana huko kaburini 😭
kuna bandiko moja nadhani ni la Mshana Jr niliwahi kulisoma humu jukwaani kuhusu habari ya kifo, na kwamba watu huogopa kifo kwasababu hawako ndani ya hicho kifo, lakini wakiishaingia ndani ya hicho kifo hofu ile hutoweka kwasababu tayari wanakua ndani ya kifo, vile vile hata kuingia motoni au akhera inakua hivyo hivyo,Mkuu, umefanya vizuri sana kuniombea pumziko jema nikiwa nasikia na kuona kabisa.


Unaishije katika roho?Hayo ni kwa wale watakaokufa, kwa wale wenzangu ambao hatutakufa tunategemea yafuatayo: kwanza, maisha kuendelea kama kawaida isipokuwa tu miili yetu haitakuwepo na pili kuendelea kuishi kwa milele na milele katika roho. Ni hayo tu kwasasa.