secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,474
- 43,935
- Thread starter
- #61
Ninauhakika mkubwa sana kwani naona viumbe hai wakifa Kila kukicha na hawarudi tena.Bado haujaelewa mantiki ya swali langu naona.
Ninachotaka kufahamu ni uhakika gani ulio nao juu ya hiki ulicho kisema?
Kwa sababu umeongea ukiwa na uhakika sana, nahitaji tu kufahamu je una experience ya hiki ulicho sema?
Je una mtu yoyote labda aliyewahi kuwa marehemu then akawa hai akakudokeza haya?