secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,617
- 44,472
- Thread starter
- #121
Tunatamba naye.hahaha braza chogo kaamka
Tunatamba naye.hahaha braza chogo kaamka
Ila nakubali sababu nyeto ni dini pana sana.Ntakuwa naona
NaamIla nakubali sababu nyeto ni dini pana sana.
👊.Naam
Swali lako lilipaswa kuwa, je tunapokuwa tumelala, kuna uwezekano wa nafsi kufanya kazi?Okay, kwani ukiwa kwenye usingizi mzito wewe unaweza kufikiri?
Elezea jibu lako.Swali lako lilipaswa kuwa, je tunapokuwa tumelala, kuna uwezekano wa nafsi kufanya kazi?
Na ningekujibu ndiyo.
Huwa unaota ndoto right?Elezea jibu lako.
Sioti kila siku. So kwenye zile siku ambazo sioti nafsi inakuwa hai-function, siyo?Huwa unaota ndoto right?
Basi that's the way internal observer inafanya kazi unapokuwa umelala.
Ko baada ya hapo hiyo roho ndo inaenda huko kuchomwa moto milele?Kifo si mwisho wa mchakato wa uhai wetu, bali ni mlango mtakatifu unaofungua ukurasa wa mwanzo mpya na wa milele.
Mwili wa nyama unaporudi mavumbini na kukamilisha safari yake ya kibiolojia, roho haifi; inavua vazi hili la udongo lenye mipaka, maumivu, na machozi, tayari kuvuka ng’ambo ya mto wa uzima.
Huu ni wakati wa kiroho ambapo nishati ya kimungu iliyomo ndani yetu inarejea kwenye chanzo chake kikuu, ikiwa imeandaliwa kuanza safari mpya katika ulimwengu wa utukufu na mwanga usiotiwa giza.
Katika hatua hii, fahamu yetu haizimiki bali inalindwa na kufanywa upya, ikisafiri kwa amani kuelekea maskani ya milele ambako hakuna tena muda, uzee, wala uharibifu, bali ukamilifu wa upendo wa kimungu.
Roho yenyewe haionekani itachomwaje?Ko baada ya hapo hiyo roho ndo inaenda huko kuchomwa moto milele?
Ndo nimemuuliza huyo mzee ili atupe majibu.Roho yenyewe haionekani itachomwaje?
Unapoamka asubuhi na mwendelezo wa kumbukumbu zako hivyo ndivyo nafsi inavyo fanya kazi, ingekuwa inazima kabisa, usingekuwa na uwezo wa kuamka asubuhi ukiwa na kumbukumbu zako zile zile.Sioti kila siku. So kwenye zile siku ambazo sioti nafsi inakuwa hai-function, siyo?
Inakatisha sana tamaa 😅.Ndo nimemuuliza huyo mzee ili atupe majibu.
Watakuja hapa kusingizia kuwa roho hiyo inapewa mwili mpya usioisha wala kuungua na moto bali wenye maumivu zaidi.
Ila makafiri bana🤣🤣
Dah, ila we jamaa 😂😂😂😂😂.Unapoamka asubuhi na mwendelezo wa kumbukumbu zako hivyo ndivyo nafsi inavyo fanya kazi, ingekuwa inazima kabisa, usingekuwa na uwezo wa kuamka asubuhi ukiwa na kumbukumbu zako zile zile.
Ungekuwa kila asubuhi unaamka ukiwa mpya kabisa.
Nadhani hapo tumeelewana mkuu?Dah, ila we jamaa 😂😂😂😂😂.
Tufunge tu mjadala mkuu 😂.Nadhani hapo tumeelewana mkuu?
Sawa mkuu.Tufunge tu mjadala mkuu 😂.
Ataishi katika roho kwa level yake kama mbuzi.Mbuzi akifa anakwenda wapi? Maana naye ana-consciousness.