Nairobi imeendelea sana kuliko kampala na Dar!Why Nairobi and not Dar?
In my opinion the reason given is not good enough.
We might give it names but may be we are using our system as a bench mark! This is a wrong approach, you can't use an inefficient system like the one we have in Tz to set pace for others.
Restructuring of systems is a common thing and I don't think there is a problem as long as the new system is just as efficient as the old one. We don't need to ask why Nrb and not Dar because even Kenyans would be asking the same questions if it was the other way. But if you listened to the Officer, NRB has more applicants than Dar!
Muhimu hapa wasiongeze gharama za visa tu. Ikiwa wataweza gharama za kuDHL hizo passport hapo sasa ndio noma vinginevyo ni sawa tu kilichoongezeka hapo ni muda tu.
Jamani waombaji hawatahitajika kwenda NRB process zote ni Dar
Masatu, hawa jamaa huwa wanataka applicants kufanya mahojiano ambayo mara nyingi huwa ya ana kwa ana, kama utaratibu huo utaendlea basi kabla ya kupata visa itawapasa waombaji waende Nairobi kwa mahojiano.
Kaazi kwelikweli, safari ya UK utadhani ni ya kwenda mbinguni!
Masatu, hawa jamaa huwa wanataka applicants kufanya mahojiano ambayo mara nyingi huwa ya ana kwa ana, kama utaratibu huo utaendlea basi kabla ya kupata visa itawapasa waombaji waende Nairobi kwa mahojiano.
Kaazi kwelikweli, safari ya UK utadhani ni ya kwenda mbinguni!
urafiki wa bush na jk ndo umeleta mabadiliko hayo au uchaguzi wa obama
Acheni ku-panic! Mambo yakawaida haya!
Hapa ninapoishi, whenever I apply for UK Visa, natumia process kama ya japo juu, na kuipata si chini ya wiki moja, sasa tatizo liko wapi! Tulieni vijana!