rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,540
- 6,626
basi hujausikilza kwa makini, lakini yote aliyoongeaa kweny huo wimbo Ni ya kweli kabisa.Kuna nyimbo ya afande sele aliimba mda inaitwa dini ukiisikiliza kwa makini utajua kabisa jamaa hana dini yupo yupo Bora siku ziende
Kwani Ni uongo kwamba waafrika dini tumeletewa na watu weupe??
Je una fahamu kwamba nchi km China,Korea hakuna ukristo Wala uislam?
Je wewe ulieletewa dini una ufaham Zaid kuwazid wao?
Soma kuwa mdadisi