Ujue Mti chonganishi

Ujue Mti chonganishi

mkuu inshida ikinyauka mtu katika familia ana sepa.Ikikauka familia inakaukiwa kila kitu amani upendo pesa na vifo vya kumwaga
Asante ngoja nilifanyie kazi hili... Lisemwalo lipo
 
Mada nzuri. Naomba kuuliza, mie jirani yangu kaupanda mbali na nyumba yake ambayo ni kwenye fance yetu na mie nyumba yangu iko karibu na huo mti kuliko nyumba yake. Naweza kupata madhara nikaichome sindano ife mdogo mdogo@mshana jr
 
Mada nzuri. Naomba kuuliza, mie jirani yangu kaupanda mbali na nyumba yake ambayo ni kwenye fance yetu na mie nyumba yangu iko karibu na huo mti kuliko nyumba yake. Naweza kupata madhara nikaichome sindano ife mdogo mdogo@mshana jr
Iko kwake sidhani kama kuna ukaribu huo
 
image.jpeg

image.jpeg
image.jpeg


Wakuu huu mjadala nimeukuta sehemu,watu wanajadilina kuhusu huu mti.Eti kwamba huu mti ukiupanda nyumbani eti unaleta mikosi sana,kwamba mti una wivu sana unapenda ubaki peke yaje unapopandwa.

Ukiwa sehemu miti mingine inakufa,hata ikiwa ya matunda.Mzizi wake mkuu hukua kuelekea kwenye nyumba na kuleta nyufa.Na mahali unapokuwepo basi nyumba ni mtafaruku kwenda mbele na huwa lazima uondoke na baba mwenye nyumba.

Sasa hizi habari zimezagaa!!Huku mtaani kwetu wamama wanaukata wanaogopa wasibaki Wajane.Je kuna ukweli wowote?Au ndio yaleyale mambo ya "Free marson" tuliyodanganyana kwa muda mrefu.

Wanasema asili ya huu mti ni Ugiriki,ni mti wa laana.Tupeane maujuzi,Jf hakiharibiki kitu.
 
Tuache maneno maneno yasio na tija,,Mara miashoki sijui nini
 
Siku hizi watu mmekuwa wajinga sana.
Hiki kizazi kimekuwa cha kipuuzi sana.
Akili zimekuwa za ajabu sana
Hivi hata kujiongeza kuwa huu ni upuuzi vijana hamuwezi???????
Kama ulishawahi kuumwa na nyoka ukipita kichakani mwili unasisimuka
 
Back
Top Bottom