Yangu miwili nimeiondoa Jana.Sitaki kuishi Kwa mashaka mid. Be it true or false siitakiAsee ninao huu mti na upo karibu sana na nyumba, kesho nauondoa mapema mnooo
Ni kweli "wadudu" a.k.a majini hawapendi miarobaini?Haina shida hiyo
Mmh hii mpya kwanguHapa ninapoishi nyumba hii imezungukwa na miti hii. Pia kuna njiwa wengi wa asili wameweka makazi kwenye dari la nyumba na mchana hushinda juu ya paa. Je nguvu za kiroho za njiwa na miti hii ipi itatatawala hapa nyumbani?
Jaribu kufanya uchunguzi, nasikia njiwa ni baraka sana nyumbani na hapa wapo tele, na wakati mwingine hukaa juu ya miti hii japo kwa muda kidogo sana.Mmh hii mpya kwangu
miti ya kichawi ni kama ipi?Mmh hapana kwenye kundi la miti ya kichawi huu siujui
Ndugu Mshana mimi kwangu njiwa wa jirani hawaishi kuja kushambulia chakula cha kuku wangu,nayo ni baraka nisiwafukuze.maana mpaka nimewanunulia manatiYeah kwa njiwa ni sahihi kabisa
Ndugu Mshana mimi kwangu njiwa wa jirani hawaishi kuja kushambulia chakula cha kuku wangu,nayo ni baraka nisiwafukuze.maana mpaka nimewanunulia manatiYeah kwa njiwa ni sahihi kabisa
Huwa nawafukuza,ntaachana naoHapana waache wale usiwaguse kabisa
Ikiwa kwa jirani haina madhara kwakoJe kama umepandwa kwa jirani inakuwaje?
Mi jirani yangu anayo na watoto wake walifail
form four, na mwenye nyumba hana kazi maalum
ila nilimshauri aikate hiyo miti ili nijenge upande wangu
sioni kuchukua hatua.
Poa mkuu.Ikiwa kwa jirani haina madhara kwako
je nawale ambao hawakupanda huu mti lakini na wao kila siku hawana amani nyumbani ni niniDuh!
Nina ndugu wanayo miwili hii miti nyumbani kwao. Amani ya nyumba huvurugika kila baada ya siku mbili