Ujue Mti chonganishi

Ujue Mti chonganishi

niliupanda nyumbani kwangu mke akapita hivi nikaukata na kuchimba mizizi nikaanza kwenda church nimeupasua mbao mwaka wa pili hakuna mchwa ameugusa na nimepata mbao nyingi kuliko unene wa mti ila nilichogundua chini ya ardhi ni mkubwa kuliko juu ya ardhi
 
Huu mti nmeuontesha lakini zaidi ya watu wawili wananiambia huumti ukiotesha una mikosi, yani hapo nyumbani itakua ni mikosi na ugomvi tuu.

Anaeujue hii habari ya huu mti anieleweshe
8d469de7920da2704167c7cf11592b12.jpg

6bbdd27a9f6382364604e90aa21302d9.jpg
Kinga ni bora kuliko kutibu, fuatilia huu mjadala toka mwanzo kuna kitu cha kujifunza
 
hata mm nasikia kuwa Mti huu ukiupanda lazima baba ww familiya afe. sins uhakika kwa Dada IPO kama 10 hivi mazingira yanapendeza sana. na hakuna lolote baya lililotokea. nitafatilia.

ingawa kuna familiya hii miti IPO na.mwenye nyumba alikufa sasa sina uhakika kama ni huu mti
Vipi hapo kwa dada yako maelewano yapo au kila kukicha maugomvi
 
Leo nmeondoka poit, asubuh sana naing'oa yote kabla haijakua... na home nawapigia waukate, hii kitu inaukweli kabisa 100%
 
Leo nmeondoka poit, asubuh sana naing'oa yote kabla haijakua... na home nawapigia waukate, hii kitu inaukweli kabisa 100%
Kama iko mbali na makazi sio shida kivile unaweza tu ukaiacha
 
Na kama upo karibu na nyumba lakin hyo nyumba haikai mtu?
Ni hatari kwakuwa kuna siku itapata wakaaji.. Na ni tatizo pia kwakuwa mizizi yake ikizama kwenye msingi itasababisha nyufa na uharibifu kwenye nyumba
 
Na kama upo karibu na nyumba lakin hyo nyumba haikai mtu?
Ni hatari kwakuwa kuna siku itapata wakaaji.. Na ni tatizo pia kwakuwa mizizi yake ikizama kwenye msingi itasababisha nyufa na uharibifu kwenye nyumba
 
Kaka mshana jr.
Ebu angalia huu ndio mti chonhanishi???
Nataka niutekeketeze soon kama ndio wenyewe.
IMG_20171012_181044.jpeg
 
Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.

Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.

Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.

Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
14b6c812d3da7967172acd3db2c429bf.jpg
Mbali na maswala ya kiimani, mimi ningependa kujuzwa ni mti gani ambao ni mzuri sana kwa kivuli na ni rafiki kupandwa karibu na nyumba bila kuleta madhara, haswa ya mizizi kusambaa hadi kwenye msingi wa nyumba?.

Upandwe walau futi 9 au 10 toka ulipo msingi. Asante mkuu, natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom