Vipi miarobini, nayo inahusika katika hili!?Na sio mti huo balo Muashok pia
Kuhusu muarobaini I'm not sureVipi miarobini, nayo inahusika katika hili!?
Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.
Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.
Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.
Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
![]()
Mkuu; Mti huo unajulikana kisayansi (Botanical name) kama Terminalia catapa .Ipo ya kiasili na hiyo ya kupandwa - Lakini yote ni jamii moja. Huku kwetu tunaiitaga Orbukoy.Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.
Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.
Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.
Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
![]()
Ehe; Lakini uchukuepo na katahadhari usijiachie fwaaaa kwa madai eti UTAKUFA KWA AHADI. Nyumba yako itakapoanza kudhurika utaingia gharama za UKARABATI (linganisha na MATIBABU) mwenzio risasi 38 lakini anapata ahueni ya kuchangiwa. WW je?Binadamu Tunakufa kwa ahadi.....risasi 38 mtu yupo hai.....risasi moja mtu anakufa.....Zingatia ilo.
Haha acha uoga mkuuAsee ninao huu mti na upo karibu sana na nyumba, kesho nauondoa mapema mnooo

Mkuu last week nimeziba nyufa ukutani, nautoa aseeHaha acha uoga mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hehehe...hata mimi naukata fasta.Asee ninao huu mti na upo karibu sana na nyumba, kesho nauondoa mapema mnooo