Ujue Mti chonganishi

Ujue Mti chonganishi

Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.

Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.

Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.

Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
14b6c812d3da7967172acd3db2c429bf.jpg

Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.

Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.

Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.

Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
14b6c812d3da7967172acd3db2c429bf.jpg
Mkuu; Mti huo unajulikana kisayansi (Botanical name) kama Terminalia catapa .Ipo ya kiasili na hiyo ya kupandwa - Lakini yote ni jamii moja. Huku kwetu tunaiitaga Orbukoy.
Ni mmoja kati ya miti inayovumilia mazingira magumu e.g. ukosefu wa maji au ukame na mizizi yake huenda/husambaa mbali sana kwa lengo la kupata maji. Kwa mfano ukiweza kupima urefu wa tawi lake lililo refu kuliko yote lililo sambamba na uso wa ardhi (Horizontal) kutoka kwenye shina la mti huo basi ujue mizizi yake imeshapita zaidi ya urefu huo. Ukweli huo ndo unaoufanya mti huo kuwa sio mti-rafiki kupandwa karibu na nyumba kwani kwa uhakika utakapoona tawi au matawi yake yamegusa nyumba ujue mizizi yake ishapita chini ya nyumba yako na anza kuangalia nyufa juu ya uso wa ardhi au katika ukuta wa nyumba yako. Usipochukua hatua ya kuchimba handaki au mtaro (Trench) kuufatilia na kuukata huo mzizi au hiyo mizizi ni 100% nyumba yako itabomoka.Inashauriwa kuupanda meta 10-15 kutoka kwenye nyumba ili kuepuka madhara yake au panda miti ya aina nyingine -huo achana nao.Kama ni kivuli basi ww ukifuate huko kiliko yaani m 10 - 15.
 
Binadamu Tunakufa kwa ahadi.....risasi 38 mtu yupo hai.....risasi moja mtu anakufa.....Zingatia ilo.
Ehe; Lakini uchukuepo na katahadhari usijiachie fwaaaa kwa madai eti UTAKUFA KWA AHADI. Nyumba yako itakapoanza kudhurika utaingia gharama za UKARABATI (linganisha na MATIBABU) mwenzio risasi 38 lakini anapata ahueni ya kuchangiwa. WW je?
 
hata mm nasikia kuwa Mti huu ukiupanda lazima baba ww familiya afe. sins uhakika kwa Dada IPO kama 10 hivi mazingira yanapendeza sana. na hakuna lolote baya lililotokea. nitafatilia.

ingawa kuna familiya hii miti IPO na.mwenye nyumba alikufa sasa sina uhakika kama ni huu mti
 
Back
Top Bottom