Ujue Mti chonganishi

Ujue Mti chonganishi

Jibu nimelipata tayari kwamba sometimes sio kibamia bali ni ukubwa wa pango hivyo ni vema kuchagua size kama ulivyoshauri
Mbali na hivyoo, unakuta kijimwanaume chembamba alafu anaenda kuchukua mwanamke mnene km asha bokoo , sasa wakati wa match akiingia hapo kwenye mapaja anapotelea humo round ya kwanza ya pili anahemaa km ametoka kupigana vita ya pili ya dunia.... Sasa hapo mwanamke ndiyoo Kwanzaa hajasikia kitu... Ataacha kukwambia huna nguvu za kiume???
 
Mbali na hivyoo, unakuta kijimwanaume chembamba alafu anaenda kuchukua mwanamke mnene km asha bokoo , sasa wakati wa match akiingia hapo kwenye mapaja anapotelea humo round ya kwanza ya pili anahemaa km ametoka kupigana vita ya pili ya dunia.... Sasa hapo mwanamke ndiyoo Kwanzaa hajasikia kitu... Ataacha kukwambia huna nguvu za kiume???
 
Mbali na hivyoo, unakuta kijimwanaume chembamba alafu anaenda kuchukua mwanamke mnene km asha bokoo , sasa wakati wa match akiingia hapo kwenye mapaja anapotelea humo round ya kwanza ya pili anahemaa km ametoka kupigana vita ya pili ya dunia.... Sasa hapo mwanamke ndiyoo Kwanzaa hajasikia kitu... Ataacha kukwambia huna nguvu za kiume???
Makavu live
 
katika hadithi zote za mshana jr mkuu leo nimepata point yako. wakati naenda shule late 2000s mdogo wangu aliupanda huu mti,hamna aliyejua historia ya mti na tulikuwa tunaupenda sana kutokana na kivuli chake. mwaka 2014 mzee wetu alifariki na maisha yamekuwa na changamoto kadhaa nyumbani. japokuwa sasa ninajitegemea lakini nimelinganisha kisa cha huu mti na kifo cha baba naona kuna something. na kibaya huu mti dogo aliupanda mita kama mbili kutoka ukuta wa nyumba na mara kadhaa umepunguzwa ili usilete madhara kwenye nyaya zinazoleta umeme nyumbani. natamani nikaukate kabla haujaleta maafa zaidi
 
IMG_20171012_172740.jpg
IMG_20171012_172718.jpg
 
Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.

Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.

Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.

Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
14b6c812d3da7967172acd3db2c429bf.jpg
Mkuu huu mti no meotesha kwenye kona ya ukuta wa fensi nilipanda miwili moja ukafa. Huo wa kwenye kona umenawiri sana. Nimeogopa sana kwa hii habari. Itabidi nitume taarifa waukate.
 
Back
Top Bottom