Hajawahi wakandamiza wakenya hata kidogo, alitaka usawa ambao kenya hawautaki, kenya ilizuia fastjet kufanya kazi kenya magu nae akapunguza safari za kq kutoka 10 kwa siku hadi 2 hapohapo kenya wakakubali fastjet iingie, pili kenya ilizuia magari yetu ya kubeba watalii kuingia kenya magu alivyoback fire hapohapo kenya ikaruhusu, kenya ni majambazi ya kiuchumi sio ya kucheka nayo hata kidogoHuyo jamaa alikuwa anatukandamiza sana. Alikuwa na chuki binafsi na Kenya.