- Mkuu wangu Chuma huu ni mtizamo wako according to what you know na sisi wengine tunajadili kulingana na what we know, hakuna kinachoharibika kibaya ni kuusimamisha mjadala kwa sababu ya kukata tamaa kabisa, sisi wengine hatujakata tamaa maana histroria iko wazi sana tena ya dunia nzima kwamba hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho, ninasema for what I know tayari ni kwamba CCJ ni moto wa kuotea mbali tena sana! na wewe nimekusikia sana!
- Lakini CCJ is for real! na ninaamini kwa 100%! kwamba watasaidia sana kumuamsha tembo mkubwa CCM, maana yaliyojiri jana huko behind the scene usiombe kuyajua kuhusiana na Mpendazoe kujitoa!
Respect.
FMEs!