Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Mwenyekiti na katibu wa CCJ, leo walikuwa wageni wa WAPO redio ktk kipindi cha meza ya busara, nilicho kipata kutoka kwao, zaidi ya kunipotezea muda wa kuwasikiliza, ni kubaini udhaifu mkubwa wa kujieleza na kujibu maswali ya wasikilizaji na mtangazaji,
Baadhi maswali yalikuwa hivi;
-Ni kwa nini umeanzisha hiki chama? akashindwa kujibu,
-Vyama viko 18 umeona dosari gani ktk vyama hivyo? akajibu hakuna dosari ila CCM inafanya vizuri na vyama vingine siwezi kuvisemea
-mmeanzisha ccj mko wangapi, jibu tuko wawili tu,
-ofisi zenu ziko wapi, akajibu ni siri yetu
nk
Kutokana na majibu hayo na udhaifu wa kujieleza, msikilizaji mmoja amesema kuwa hao wametumwa kujitokeza kwa niaba ya wengine ndio maana hata kujieleza wanashindwa, pia vyama vyote majina yao ni ya kiingeleza ispokuwa CCM na CCJ, alipoulizwa kuna siri gani ktk hili hakuweza kutoa jibu la moja kwa moja.
Ktk haya yote CCJ tunaoinaje sisi?
Baadhi maswali yalikuwa hivi;
-Ni kwa nini umeanzisha hiki chama? akashindwa kujibu,
-Vyama viko 18 umeona dosari gani ktk vyama hivyo? akajibu hakuna dosari ila CCM inafanya vizuri na vyama vingine siwezi kuvisemea
-mmeanzisha ccj mko wangapi, jibu tuko wawili tu,
-ofisi zenu ziko wapi, akajibu ni siri yetu
nk
Kutokana na majibu hayo na udhaifu wa kujieleza, msikilizaji mmoja amesema kuwa hao wametumwa kujitokeza kwa niaba ya wengine ndio maana hata kujieleza wanashindwa, pia vyama vyote majina yao ni ya kiingeleza ispokuwa CCM na CCJ, alipoulizwa kuna siri gani ktk hili hakuweza kutoa jibu la moja kwa moja.
Ktk haya yote CCJ tunaoinaje sisi?