Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Si mchezo mkuu,heshima mbele. Hii ndo JF,tunategemea kupata mengi zaidi toka kwako mkuu. Tension iliyopo magogoni sijui kwa kweli....
- Wakuu wote JF wasalaam sana, jana niliahidi kupekua kila mahali hapa nyumbani on exactly nini kinaendelea na kinachofanyika, kuhusu hiki chama kipya CCJ yaani the talk of town, toka jana nimekuwa nikihaha kuatufa the dataz kuhusiana na CCJ na niliahidi kwamba nitasema wazi hapa my findings, ni kwamba:-
1. Nimeweza kuthibitisha na ninasema with my clear conscious kwamba CCJ ni for real na ni a very serious political party, chenye nia njema sana na taifa so far na kwamba kikipata registration kitasimamisha mgombea urais, the dataz ni kwamba patawaka moto na inaeleweka tayari huko Magogoni!
2. Nimegundua kwamba ni kweli nyuma yake kina viongozi wengi sana wenye nguvu sana na siasa za sasa za taifa letu.
3. Nimegundua kwamba Mpendazoe, hakuwa kwenye line ya kufukuzwa isipokuwa uzembe wa viongozi wa juu sana katika taifa letu ndio umesababisha "akawaponyoka" kabla hawajamaliza kufikiria what do do with him kwani walishafahamishwa kwamba alikuwa na "mpango" kwa hiyo kwa habari zote za dataz nilizonazo, ninathibitisha kwamba kuondoka kwake jana lilikuwa pigo kubwa sana huko "ndani" na kumeleta mshituko mkubwa sana kwa Wakulu na sasa wanahaha kufuatilia nani wengine wako njiani!
4. The dataz ni kwamba CCJ is so solid kwamba ofisi yake ya HQ ni full funrnished ikiwa na mtambo mmoja wa ajabu sana na wa kwanza Africa nzima, ambao utaweza kuwasajili wanachama wapya papo kwa papo kupitia njia ya Mtandao.
5. Kwamba kadi mpya za CCJ ambayo nimefanikiwa kuinasa mojawapo ukichungulia kwa mbali zina picha ya Mwalimu Baba Wa Taifa, na kwamba Mpendazoe was not in the picture ya the CCJ's master plan, lakini ameamua kwa hiari yake mwenyewe na ni a big plus!
6. Kwamba kuna "mzito" mmoja ambaye kikatiba hahusiki na usajili wa vyama vya siasa, lakini amelishikila faili la usajili wa CCJ kwa siri sana, badala ya kuwepo ofisini kwa Tendwa! na Yes I said it kuna kigogo mmoja amelishikilia faili la CCJ nyumbani kwake na anatembea nalo! kwa leo ninahifadhi jina lake!
- Well samahani sana wakuu kwa sasa naomba nisimame hapa kwanza, upepo ukikaa sawa nitamwaga a lot more na hasa majina ya who is who behind CCJ, yes ninayo yote sasa subira yavuta heri, maana upepo hauko sawa sasa hivi na this CCJ thing!
Respect.
Field Marshall Es! ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme!
- Wakuu wote JF wasalaam sana, jana niliahidi kupekua kila mahali hapa nyumbani on exactly nini kinaendelea na kinachofanyika, kuhusu hiki chama kipya CCJ yaani the talk of town, toka jana nimekuwa nikihaha kuatufa the dataz kuhusiana na CCJ na niliahidi kwamba nitasema wazi hapa my findings, ni kwamba:-
1. Nimeweza kuthibitisha na ninasema with my clear conscious kwamba CCJ ni for real na ni a very serious political party, chenye nia njema sana na taifa so far na kwamba kikipata registration kitasimamisha mgombea urais, the dataz ni kwamba patawaka moto na inaeleweka tayari huko Magogoni!
2. Nimegundua kwamba ni kweli nyuma yake kina viongozi wengi sana wenye nguvu sana na siasa za sasa za taifa letu.
3. Nimegundua kwamba Mpendazoe, hakuwa kwenye line ya kufukuzwa isipokuwa uzembe wa viongozi wa juu sana katika taifa letu ndio umesababisha "akawaponyoka" kabla hawajamaliza kufikiria what do do with him kwani walishafahamishwa kwamba alikuwa na "mpango" kwa hiyo kwa habari zote za dataz nilizonazo, ninathibitisha kwamba kuondoka kwake jana lilikuwa pigo kubwa sana huko "ndani" na kumeleta mshituko mkubwa sana kwa Wakulu na sasa wanahaha kufuatilia nani wengine wako njiani!
4. The dataz ni kwamba CCJ is so solid kwamba ofisi yake ya HQ ni full funrnished ikiwa na mtambo mmoja wa ajabu sana na wa kwanza Africa nzima, ambao utaweza kuwasajili wanachama wapya papo kwa papo kupitia njia ya Mtandao.
5. Kwamba kadi mpya za CCJ ambayo nimefanikiwa kuinasa mojawapo ukichungulia kwa mbali zina picha ya Mwalimu Baba Wa Taifa, na kwamba Mpendazoe was not in the picture ya the CCJ's master plan, lakini ameamua kwa hiari yake mwenyewe na ni a big plus!
6. Kwamba kuna "mzito" mmoja ambaye kikatiba hahusiki na usajili wa vyama vya siasa, lakini amelishikila faili la usajili wa CCJ kwa siri sana, badala ya kuwepo ofisini kwa Tendwa! na Yes I said it kuna kigogo mmoja amelishikilia faili la CCJ nyumbani kwake na anatembea nalo! kwa leo ninahifadhi jina lake!
- Well samahani sana wakuu kwa sasa naomba nisimame hapa kwanza, upepo ukikaa sawa nitamwaga a lot more na hasa majina ya who is who behind CCJ, yes ninayo yote sasa subira yavuta heri, maana upepo hauko sawa sasa hivi na this CCJ thing!
Respect.
Field Marshall Es! ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme!
weka wazi kuhusu facts zilizokujenga imani yako, unafahamu siasa ni biashara mzuri na rate of return pia ni kubwa kama ilivyo pia na risk kubwa, kwa hiyo kadri , na mbaya zaidi siasa inalinganishwa na biashara haramu ambayo vificho ni vingi sana, nini kinakujengea imani kwamba CCJ si chama cha karatasi kama enzi zileeeeeeeeeee na nchi hii na kamanda wa siku saba?
afadhali we umeona udaku uliomo........... kuna jamaa # 3 hapu ju yeye hajaona!!......
habari kama hizi zinafaa kwa shigongo..........................
Mkuu hii ndio JF , taarifa huwa zinaanza kama hivi, inzi aatafuta sehemu ya kutua
Just imagine, ulikuwa unaongea na mtu fulani akakupa habari, mara baada ya saa moja anapata taarifa habari imeleak JF! Unafikiri atajua ni nani?
Kuna taarifa huwa zinawekwa kimtego na utakuta source nyingine ya habari ina-confirm na wewe unaconfirm, uthibitisho upi ambao hautaendana na kutaja majina ya watu au kuwa na document? maana kusema uthibitisho ni neno rahisi sana!
BTW unaweza ukampa ukawa mpole na kutochangia ukasubiri kwanza, taarifa zisizo na uhakika huwa zinakufa naturally here in JF
Ningekuwa wewe ningeangalia kwa haraka member huyu ni wa lini, hivyo anaijua JF sana kuliko wewe kwa tofauti ya miaka 3!
aliyeuliza uthibitisho au facts alifanya vyema, tofauti na wewe uliyesema habari za shigongo,
kuna watu huwa tunawapa moto wa kutafuta ukweli kwa kuwa-encourage!!
Kijana kwa hapo naona unachemka, watu hawakurupuki kama unavyohisi,,,ila sikulaumu saana kwani wewe ni wajuzi tu hapa jakwaani,,tanguliza heshima mbele
Kaka ES,
CCM wanajua kuwapoteza Wananchi kila mara.
CCJ is nothing than New NGO...!!!...Watatumika kama walivyotumika waliopo ktk Vyama vya Upinzani vilivyopo...!!!
Rejea ushauri wa mwanzo uliokuja kuomba hapa JF khs the so called "Wapiganaji"....!!!
Atleast Hawa wapiganaji na wengine ambao wapo Behind yao..wangeenda Chadema atleast ....Joto lingeenza kupanda kwa watawala....!!! kwa Style hii Wanazidi kuongeza "Gap" la sintofahamu kwa vyama vya "Upinzani"
Kaka ES,
CCM wanajua kuwapoteza Wananchi kila mara.
CCJ is nothing than New NGO...!!!...Watatumika kama walivyotumika waliopo ktk Vyama vya Upinzani vilivyopo...!!!
Rejea ushauri wa mwanzo uliokuja kuomba hapa JF khs the so called "Wapiganaji"....!!!
Atleast Hawa wapiganaji na wengine ambao wapo Behind yao..wangeenda Chadema atleast ....Joto lingeenza kupanda kwa watawala....!!! kwa Style hii Wanazidi kuongeza "Gap" la sintofahamu kwa vyama vya "Upinzani"
weka wazi kuhusu facts zilizokujenga imani yako, unafahamu siasa ni biashara mzuri na rate of return pia ni kubwa kama ilivyo pia na risk kubwa, kwa hiyo kadri , na mbaya zaidi siasa inalinganishwa na biashara haramu ambayo vificho ni vingi sana, nini kinakujengea imani kwamba CCJ si chama cha karatasi kama enzi zileeeeeeeeeee na nchi hii na kamanda wa siku saba?
- Yees! kuna mpango wa kutaka kukinyima usajili mpaka uchaguzi ujao, lakini CCJ tayari wanalijua hilo na limeshashugulikiwa ipasavyo kwamba watakaojaribu kuwanyima usajili wataishia kujikaanga wenyewe, no matter what jana the message was sent na imefika inakotakiwa na it is all good kwa taifa, ingawa kwa maoni yangu something need to be done ili kuwepo na understanding kati ya CCJ na wapinzani na wawe makini sana maana hapa tembo mkubwa hatakubali hivi hivi tu!
- Akishindwa kuwazuia atawapiganisha! ili wamsafishie njia!
Respect.
FMEs!
4. The dataz ni kwamba CCJ is so solid kwamba ofisi yake ya HQ ni full funrnished ikiwa na mtambo mmoja wa ajabu sana na wa kwanza Africa nzima, ambao utaweza kuwasajili wanachama wapya papo kwa papo kupitia njia ya Mtandao.
Mkuu upo,nilifikiri wanakutafuta kule Kiembesamaki ukapambane na Mansour,maana ndo hakuchangia mswada wa kura ya maoni,akikuhofia ww...eti kweli kada?Ok, ndio uhuru tulionao.
Hii CCJ na inavyopokelewa na baadhi yetu hapa JF basi tu, tutajua tu mbele ya safari.
Mfano: Chunguza haya maelezo kama ni solid kuunga hoja ya 'u solid' wa Chama kama inavyowasilishwa.
Wapo wanaofahamu mengi, wakanena machache. Na wapo wanaonena mengi huku wakifahamu machache tu.
Mkuu upo,nilifikiri wanakutafuta kule Kiembesamaki ukapambane na Mansour,maana ndo hakuchangia mswada wa kura ya maoni,akikuhofia ww...eti kweli kada?
CCM wameshashindwa Zanzibar na wanajikaza bara, lakini pini imeshawakaa na roho...Mpendazoe, who is next is what gives them sleepless nights...