Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

Kazi iliyobaki sasa ni kuwaelimisha watanzania tu kuhusu ukombozi wao ambao unakuja sasa kupitia CCJ. Watanzania wengi bado wapo gizani, hawajui kwamba adui mkubwa wa maendeleo yao ni hiki Chama Cha Majambazi. CCJ ni chama mbadala kinachopaswa kuungwa mkono na kila mwana wa nchi hii aliyeathiriwa na ujambazi wa CCM.

- Mkuu ukisema wewe amina!.

Respect.


FMEs!
 
Kadri siku zinavyosonga mbele kuna kila dalili mambo si swari ndani ya CCM hasa uongozi wa juu.CCJ ni matokeo ya uongozi mbovu wa CCM na serekali yake hasa mwenyekiti kushindwa kusimamia maadili ndani ya chama.
 
Akitoa tamko hilo jana wakati wa kuapishwa kwa makamanda wa UVCCM mkoani hapa, Kamanda wa UVCCM wa mkoa huo, Gasper Kileo, alisema chama hicho hakikujua kama kinaumia, kwa kuwa kiliteua mbunge asiyekuwa na uchungu na wapiga kura wake.
Alisema Mpendazoe aliwatelekeza wapiga kura wake pamoja na kuwanyima haki yao ya kuwa na mwakilishi bungeni hasa katika kipindi hiki cha bajeti.
Kileo alisema dalili na mwenendo wake vilikuwa tayari vimeshaanza kukinzana na maadili ya chama hicho, hivyo uamuzi aliochukua ni kuipa ahueni CCM na jimbo, kwa kuondokana na viongozi wasiozingatia maadili ya chama na badala yake wanatumia nafasi hiyo kujineemesha wao. " Kwanza tunamshukuru kwa kuitafsiri vizuri katiba ya chama inayomruhusu mtu kujiunga na chama kwa hiari yake na kujitoa kwa hiari yake, siku zote kuna msemo usemao: "Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi," alisema kamanda wa vijana
Source: Tanzania Daima.


Gaki Investment Ltd imebainika kununua kilogramu takriban milioni 19.8 za pamba, ikitumia Sh bilioni 12.9, mapato yake baada ya biashara ya nyuzi za pamba ni Sh bilioni 12.15, mapato yaliyotokana na kuuza mbegu za pamba ni Sh bilioni 1.727 na kwa hiyo mapato yake ya jumla kwa msimu husika ni Sh bilioni 13.9, ikijizolea faida ya Sh bilioni 1, lakini ukaguzi wa kibenki (CRDB) ukionyesha imepata hasara milioni 146 na ifidiwe kiasi hicho, lakini ukaguzi wa pili huru ukapendekezwa kampuni hiyo kutolipwa chochote.
Soure: Raia Mwema.
Mpendazoe anasema;
Nasononeka CCM imegeuka gulio la kila mtafuta cheo na utajiri haramu. CCM imegeuka kimbilio la kila mwenye dhamira ya ulanguzi. CCM imepoteza maadili ya uongozi na imekuwa ngome ya mafisadi wanaotafuna utajiri wa nchi yetu. Natoka CCM na sijutii uamuzi wangu," aliongeza
Source: Nipashe

GAKI inamilikiwa Gasper Kileo na ni mweka hazina wa CCM mkoa wa shy. Hizi ndo siasa za Tanzania, chambua mwenyewe hapoooo. Asante SANA FMES.
 
jamani aloyce kimaroo, uwiiiiiiii.nae akimbie kabla ya kumkuta.
 
Mkuu FMES, kwanza pole kwa risk uliyoamua kuchua hali-mradu utujuze hapa jamvini. Mimi ndo kwanza nazidi kupoa kama maji yamtungi... nasubiri. Nahisi mengi yaja yenye madhara kama radi kwa hili li-monster CCM.

Amndla!!!
 
[QUOTE=Field Marshall ES;873446]-
6. Kwamba kuna "mzito" mmoja ambaye kikatiba hahusiki na usajili wa vyama vya siasa, lakini amelishikila faili la usajili wa CCJ kwa siri sana, badala ya kuwepo ofisini kwa Tendwa! na Yes I said it kuna kigogo mmoja amelishikilia faili la CCJ nyumbani kwake na anatembea nalo! kwa leo ninahifadhi jina lake!
Field Marshall Es! ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme![/QUOTE]

FME

1. Huyu "mzito" naye ni CCJ au CCM?
2. Hilo faili analiatamia kwa mazuri au mabaya?
3. Nikitaka kujiunga na CCJ nifanyeje?
 
Source: Tanzania Daima.


Soure: Raia Mwema.
Mpendazoe anasema;

Source: Nipashe

GAKI inamilikiwa Gasper Kileo na ni mweka hazina wa CCM mkoa wa shy. Hizi ndo siasa za Tanzania, chambua mwenyewe hapoooo. Asante SANA FMES.

JF ni hatari sana na ni mtambo thabiti wa kurekebisha sheria
 
Source: Tanzania Daima.


Soure: Raia Mwema.
Mpendazoe anasema;

Source: Nipashe

GAKI inamilikiwa Gasper Kileo na ni mweka hazina wa CCM mkoa wa shy. Hizi ndo siasa za Tanzania, chambua mwenyewe hapoooo. Asante SANA FMES.

JF ni hatari sana na ni mtambo thabiti wa kurekebisha tabia
 
Hofu yangu mimi ni moja.Hao mnaodhani kuwa ndio hasa wenye CCJ yao hawana tofauti sana na viongozi wa sasa wa CCM kimaadili. Wana uchungu mwingi tu wa kukosa MADARAKA, VYEO, USHAWISHI,......Wa aina ya Mpendazoe ni wachache sana.
 
Lets give it a time it deserve, soon we will be able to separate the husks from rice!
 
Source: Tanzania Daima.


Soure: Raia Mwema.
Mpendazoe anasema;

Source: Nipashe

GAKI inamilikiwa Gasper Kileo na ni mweka hazina wa CCM mkoa wa shy. Hizi ndo siasa za Tanzania, chambua mwenyewe hapoooo. Asante SANA FMES.

Halafu tunatarajia nchi itoke salama mikononi mwa mafisadi? Thubutu!
Kwa hiyo hii inathibitisha kwamba pesa za stimulus package zimeyeyuka kusikotarajiwa.
 
field marshall hongera kwa hizo habari...,
mtu kutembea na faili la ofisi ingine ni hatari sana kwa haki ya mtu kupotea..., tena mbeba faili kikatiba hausiki nalo!
hii ni ishara tosha kuwa nchi hii imefikia mahali ambapo wakulu wanaturadharau wapiga kura!
tunasubiri chama makini kije tuwakabidhi magogoni..!
hii ndiyo JFs! tunazisubiri hizo datas zingine!
 
Hakika ule wakati ufaao ndio sasa. Tanzania mama yangu, ule wakati wa kukombolewa Uu karibu!
 
- Eti mgomo wa wafanyakazi ni CCJ? Au?

Respect.

FMEs!

Usije ukashangaa hilo ili kijingewe taswira mbaya. Unajua wameshaanza kusemea kuwa ni tawi la CCM ili watu wasiwaamini. Mengi yatasemwa lakini saa ya ukombozi ni sasa na we are moving ahead.
 
Namsikiliza kwa makini Mpendazoe kupitia WAPO radio, yuko live muda huu, watu wengi wanajitahidi na wanaonyesha kuwaunga mkono. daah inatia moyo, naona anaweza kuuvunja mwamba mgumu ambao wadau wengine walikwamba miaka na miaka, natuone nini kinatokea kwa miezi mitatu Ijayo.
Mkuu FMEs Heshima kwako.
 
Namsikiliza kwa makini Mpendazoe kupitia WAPO radio, yuko live muda huu, watu wengi wanajitahidi na wanaonyesha kuwaunga mkono. daah inatia moyo, naona anaweza kuuvunja mwamba mgumu ambao wadau wengine walikwamba miaka na miaka, natuone nini kinatokea kwa miezi mitatu Ijayo.
Mkuu FMEs Heshima kwako.

lete update ya yaliyojili
 
Heshima mbele Mkuu FMES, sisi wengine ni akiana Tomaso, bado tunafuatilia tuone ndio tuamini.
 
- Kesho Mpiganaji Seleli ameitisha mkutano wa waandishi wa habari, je ni safari ya CCJ?

Respect.

FMEs!
Angekuwa mpiganaji wa kweli asingekubali Richmond na uozo ndani ya chama chake zipite. Hakuna mtu aliyesafi ndani ya CCM. Akihama chama tutamfikiria
 
lete update ya yaliyojili
Kikubwa alikua anajitahidi kufafanua ujinga wa Kina Tambwe Hiza, Makamba na wapuuzi kama hao wanaojitahidi kumshutumu kwa kujitoa kwake wakati huo huo wakisema kuvuja kwa pakacha.
ameendelea kusisitiza kuwa watu wasiwe na Hofu, mapambano yao yakuiondoa CCM na kuleta ustawi wa Tanzania ndio kwanza inaanza.
Amewaomba wanamageuzi wote kokote waliko waendellee na mapambano dhidi ya dubwana CCM.
Amewashukuru waandishi wa Habari wooote waliokua mstari wa mbele kupingana na Ufisadi na mafisadi wenyewe, amewashukuru Wale woote wanaiitakia mema nnchi hii.
ANAAMINI HANA MPINZANI WAKUMUANGUSHA KULE KISHAPU.....anaungwa mkono yeye kama Mpendazoe.
 
Back
Top Bottom