Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

Namuomba mungu hii CCJ isijekuwa ni CCM wanatuchezea akili ..na upeo wangu huu ambao haujakomaa sana kisiasa .
Siku zote CCM haiaminiki inaweza kufanya mambo yoyote sivyo ndivyo ingawa siombei iwe hivyo
 
haya ndio mabadiliko tunayoyahitaji. tunahitaji grains of wheat. tunahitaji wazalendo. tunahitaji watu wenye uwezo wa kujibainisha na watanzania. tunahitaji watu wenye dhamira zilizo hai. tunahitaji viongozi. tunahitaji mabadiliko. tunahitaji maendeleo. tunahitaji amani ya kweli. tunahitaji maisha bora kwa kila mtanzania. tunahitaji chama kipya. tunahitaji mawazo mapya. tunahitaji KUJIAMINI. tunahitaji kuamini kuwa tunaweza. tunayo mengi sana ya kuhitaji. mengi ambayo walishindwa kutupatia kwa kipindi kilichopita. tuombe tu ili huu mwaka uwe mwaka wa mabadiliko

Kumbe!
 
FMES hii habari ni nzuri sana tatizo ni timing...angalau ungesubiri mpaka kesho! anyway...time will tell! endelea kusha dataz!
 
FMES hii habari ni nzuri sana tatizo ni timing...angalau ungesubiri mpaka kesho! anyway...time will tell! endelea kusha dataz!
Akiendelea kushusha dataz beyond ya saa 4 asubuhi hii (30 minutes to go), nitaweza kuamini. Lakini hadi wakati huo...no thank you, I'll continue to be a "Thomas"!!
 
Kwa mtazamo wangu ni kuwa CCJ ni chama ambacho kimeundwa na wapishi wa siasa za Tanzania baada ya mgawanyiko miongoni mwao, kutokana na yanayoendelea. Kufanya kwao vizuri kutatokana tu na hawa watu kuonyesha bila kusita sita nia yao ya kuvuka walipo na kwenda hatua mbele zaidi.
Kwa sasa hivi ukweli ni kuwa hatuna chama imara cha upinzani zidi ya CCM. Ngoja tuone mbele ya safari CCJ itatutea nini!
 
Akiendelea kushusha dataz beyond ya saa 4 asubuhi hii (30 minutes to go), nitaweza kuamini. Lakini hadi wakati huo...no thank you, I'll continue to be a "Thomas"!!

kwani huyu "mdudu" wa april fools' day ana muda maalumu (saa 4 asubuhi) wakumaliza makali? mimi nilifikiri ni siku nzima ya leo!
 
- According to the dataz, katika kikao kimoja cha NEC hivi karibuni, Spika aliuliza hivi kuhusu kamati ya Mwinyi, "eti kweli CCM tunataka kupatanisha jua na giza?"

- The more dataz ni kwamba CCJ ni matunda ya ishu moja tu, nayo ni mdudu Richimonduli, Mwenyekiti na CCM nzima wameambiwa time and time again kwenye vikao vyao, kwamba bila ya kuwashugulikia ipasavyo wahusika wa huyo mdudu kutakua na dharuba kali sana kwa chama I guess sasa ni point of no return!

Respect.

FMEs!

Na wakimaliza hilo linakuja Kagoda, Meremet and Deep Green. Hapa wanatafutwa watu 9 tu.
 
Kazi iliyobaki sasa ni kuwaelimisha watanzania tu kuhusu ukombozi wao ambao unakuja sasa kupitia CCJ. Watanzania wengi bado wapo gizani, hawajui kwamba adui mkubwa wa maendeleo yao ni hiki Chama Cha Majambazi. CCJ ni chama mbadala kinachopaswa kuungwa mkono na kila mwana wa nchi hii aliyeathiriwa na ujambazi wa CCM.
 
- Yees! kuna mpango wa kutaka kukinyima usajili mpaka uchaguzi ujao, lakini CCJ tayari wanalijua hilo na limeshashugulikiwa ipasavyo kwamba watakaojaribu kuwanyima usajili wataishia kujikaanga wenyewe, no matter what jana the message was sent na imefika inakotakiwa na it is all good kwa taifa, ingawa kwa maoni yangu something need to be done ili kuwepo na understanding kati ya CCJ na wapinzani na wawe makini sana maana hapa tembo mkubwa hatakubali hivi hivi tu!

- Akishindwa kuwazuia atawapiganisha! ili wamsafishie njia!

Respect.


FMEs!

unafahamu nikitaka kutengeneza jasusi wa kuweza kuchukua siri za mpinzani wangu nitamtuma mtu ambaye anaupinzani nami kwa kujifanya ni adui yangu, nasikitita kuona chama kisichoanzishwa kinakuwa na mtaji mkubwa kiuchumi sasa najiuliza ni wapi wamepata pesa hizi, na pia ukitazama wahusika wake ni wafanyakazi watihifu waliokuwa ikulu, na ikulu kuna mkataba kwa watu waliofanya pale kuendelea kutunza siri zake, mwenyekiti na katibu wa CCJ watavunja mkataba huu, ni vema waweke wazi kwamba hawatafungwa na mikataba ya ikulu kwani mmoja wao(KAYABO) bado anamkataba na ikulu, na ukionyesha nitakuwa mtihifu kwa ikulu kwa mema na mabaya niliyoyaona mpaka kufa

wanasiasa wawe macho kwani jamii inaendelea kukata tamaa
 
mheshimiwa Mnyika hata MBOWE naye yupo hapa ungemwacha aje kujibu mwenyewe kama ulivyosema kwa SLAA.

Kanda2, Asante kwa maoni yako. Lakini zingatia:

Mosi, Mbowe toka achangia Disemba 2006 ambapo alichangia mara mbili tu hajawahi kuchangia tena. Kwa wale ambao tumekuwa pamoja kwenye kijiwe hiki wakati huo 2006 kikiwa jamboforums wengi walimshauri asiwe mchangiaji wa mara kwa mara ushauri ambao naamini aliufiki. Kwa hiyo nimesema Dr Slaa kwa kuwa najua yeye ni mchangiaji wa mara kwa mara hapa, hivyo anaweza akapita na kujibu wakati wowote.

Pili; maoni uliyotoa yalikuwa ni ya binafsi ya kumtaka agombee urais- hivyo hata ingekuwa ni ya kumtaka Mbowe agombee urais ningekwambia mtafute upate msimamo wake. Suala ambalo nimelitolea maoni yangu hapa ni tuhuma za kwamba taasisi ya uenyekiti ya CHADEMA inatuhumiwa kwa ufisadi wa fedha, hilo ndio ambalo nimelijadili ukirejea mchango wangu hapo juu. Nikiwa mjumbe wa vikao vyote vya kikatiba vya chama ngazi ya taifa naamini nina wajibu wa kutoa ufafanuzi kwa tuhuma juu ya chama, vikao vyake na taasisi zake.

Baada ya kusema hayo, nashauri turejee kwenye mjadala wa ulionzishwa hapa kuhusu suala la ushirikiano wa vyama badala ya kuwajadili watu.

JJ
 
TANU/ ASP na CCM havijawahi kuwa serious . Vikaja NCCR. CUF. CHADEMA navyo havijawa serious kwa taifa na wnanchi. Labda hiyo CCJ isiongozwe na wanasiasa wa Bongo. Manufaa binafsi mbele!
Siasa na maisha ya kawaida vinafanana hivyo cha msingi ni kuheshimiana kwa kuzingatia kwamba "wazuri na wabaya ni hao hao" Sijaelewa unaposema vyama vyote ulivyovitaja hapo juu havijawahi kuwa serious naomba nitofautiane na wewe kuhusu tafsiri ya seriousness.
 
nimekaa na kujiuliza sana,
hivi kweli hawa jamaa kama wako siriaz, si wajitokeze..
miezi ya uchaguz imebaki kiduchu, sisi tunataka tuwaone ili tujue nani ni nani katika jamii. kwa mbali naona unafiki na usaliti mkubwa kwa watanzania
 
- Hili lilishatokea tayari mkuu, infact hiki chama kiliunganishwa sana lile kongamano la Foundation, lakini kwenye kikao cha NEC kilichofuatia waliopakaziwa wakiongozwa na zero walimjia juu sana muungwana hadi ikabidi awaombe radhi na Makamba akaomba radhi kwa yale maneno yake kuhusu lile kongamano.

- Ahsante sana ndugu yangu, wewe unaona mbali sana wewe na kuna something unakijua, nimekusikia sana mkuu!

Respect.

FMEs!

It is about the time now. Kuna watu walianza kuirushia madongo mwalimu Nyerere Foundation wakati Richmond, EPA, radar ndizo zilizotakiwa kurushiwa madongo. Tunaelekea kuachana na siasa za kitoto, at least there are those who do care about Tanzania and real signs of care are now visible.
 
Mkulu mwaga dataz zote za wanaCCJ......niambie kadi zinapatikana wapi niende mie nipo Kigoma hapa
 
Mkuu hii ndio JF , taarifa huwa zinaanza kama hivi, inzi aatafuta sehemu ya kutua

Just imagine, ulikuwa unaongea na mtu fulani akakupa habari, mara baada ya saa moja anapata taarifa habari imeleak JF! Unafikiri atajua ni nani?

Kuna taarifa huwa zinawekwa kimtego na utakuta source nyingine ya habari ina-confirm na wewe unaconfirm, uthibitisho upi ambao hautaendana na kutaja majina ya watu au kuwa na document? maana kusema uthibitisho ni neno rahisi sana!

BTW unaweza ukampa ukawa mpole na kutochangia ukasubiri kwanza, taarifa zisizo na uhakika huwa zinakufa naturally here in JF

Ningekuwa wewe ningeangalia kwa haraka member huyu ni wa lini, hivyo anaijua JF sana kuliko wewe kwa tofauti ya miaka 3!

aliyeuliza uthibitisho au facts alifanya vyema, tofauti na wewe uliyesema habari za shigongo,

kuna watu huwa tunawapa moto wa kutafuta ukweli kwa kuwa-encourage!!
Kaka nimekugongea kale kakitu thnx.
 
Mwanakijiji,

Umetoa hoja kuwa Chadema ni chama cha kibepari. Well, wakati najaribu kukusoma hapa na pale kama ukinisaidia kunipa references nitafurahi sana sana.

Naichukua hoja yako na kuifanyia kazi, asante kwa angalizo.
 
- Mkuu wangu Chuma huu ni mtizamo wako according to what you know na sisi wengine tunajadili kulingana na what we know, hakuna kinachoharibika kibaya ni kuusimamisha mjadala kwa sababu ya kukata tamaa kabisa, sisi wengine hatujakata tamaa maana histroria iko wazi sana tena ya dunia nzima kwamba hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho, ninasema for what I know tayari ni kwamba CCJ ni moto wa kuotea mbali tena sana! na wewe nimekusikia sana!

- Lakini CCJ is for real! na ninaamini kwa 100%! kwamba watasaidia sana kumuamsha tembo mkubwa CCM, maana yaliyojiri jana huko behind the scene usiombe kuyajua kuhusiana na Mpendazoe kujitoa!

Respect.


FMEs!
MZEE WA SAUTI YA UMEME,

mimi ni mmoja wa skeptics wa CCJ, lakini nadhani hiyo inatokana na historia ya vyama vya upinzani tanzania, na kilichonisikitisha zaidi ni ile strategy ya kwenda butiama na kuruhusu media kutoa image ya kulialia (ambayo kwangu ilikua cheap) badala ya image yoyute hata kama tu ni kuongea ma machifu or something.

Lakini kutokana na maelezo yako, na kutokana na jinsi trend inavyoenda, nitakua patient kusikia zaidi na kujifunza zaidi na nawaombea wapate usajili wa kudumu ili tupate true color ya CCJ

Nina imani kwamba wengi wanalishia hadi hiyo permanent registration itoke ndio wawe na pa kutokea rasmi

in the meantime, naendelea kujifunza siasa za bongo na kuliombea mema taifa letu pamoja na kujenga nchi kwa vitendo
 
Back
Top Bottom