UJENZI wa OFISI ya MAKAMU wa Rais jengo kama hekalu la mfalme ni matumizi mabaya ya fedha, mtu WA mazingira OFISI ya Nini? Nchimbi hakupanda mti juzi?

UJENZI wa OFISI ya MAKAMU wa Rais jengo kama hekalu la mfalme ni matumizi mabaya ya fedha, mtu WA mazingira OFISI ya Nini? Nchimbi hakupanda mti juzi?

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Ile OFISI inayokarabatiwa ya MAKAMU wa Rais ni kuchezea fedha za UMMA,
MAKAMU wa Rais Tanzania ni OFISI ya kutulizia mijitu nguri michokonoko dhidi ya WENZAo ndio maana kupewa KAZI zinazo usu mazingira TU Sasa mtu WA mazingira OFISI kama Ile ya Nini?

Nchimbi kwa Nini hakupanda miti juzi?
 
Ushuzi sio uchafuzi wa Mazingira ni utoaji wa hewa ukaa iliyorundikana katika mwili aambayo ukiiacha iendelee kuwepo mwilini kwa kujibana kuutoa basi utakabiriwa na magonjwa mbalimbali ya mfadhaiko wa moyo, tumbo kujaa gesi na sonona yaan depression, njia pekee ya kuwezesha viumbe hai hususa mimeo kupokea hewa hio hadhimu inayowezesha viumbe wengine kuishi kwa ustawi ni kuikabidhi kwa mimea, achia ushuzi
 
Ile OFISI inayokarabatiwa ya MAKAMU wa Rais ni kuchezea fedha za UMMA,
MAKAMU wa Rais Tanzania ni OFISI ya kutulizia mijitu nguri michokonoko dhidi ya WENZAo ndio maana kupewa KAZI zinazo usu mazingira TU Sasa mtu WA mazingira OFISI kama Ile ya Nini?

Nchimbi kwa Nini hakupanda miti juzi?
Kamuulize Samia aliekutuma!
 
Jengo kama speceship la aliens lililokwama duniani.
 
Ile OFISI inayokarabatiwa ya MAKAMU wa Rais ni kuchezea fedha za UMMA,
MAKAMU wa Rais Tanzania ni OFISI ya kutulizia mijitu nguri michokonoko dhidi ya WENZAo ndio maana kupewa KAZI zinazo usu mazingira TU Sasa mtu WA mazingira OFISI kama Ile ya Nini?

Nchimbi kwa Nini hakupanda miti juzi?
makamo wa rais hana hata haja ya kuwa na ofisi.
 
Shida ya Watawala wetu ni vipaumbele,.. tukielezwa hizo gharama za ukarabati kila mtu atabaki mdomo wazi, na ofisi yenyewe sidhani hata kama inatumika kihivyo,kumbuka sehemu kubwa ya serikali ipo Dodoma

Jinginehuwa siwaelewi kabisa wanavyoendelea kununua magari ya kifahari aina ya MASHANGINGI na KILIMO KWANZA (V8) ili hali sehemu kubwa ya nchi yetu barabara ni za lami, lakini pia tuna viwanja vya ndege mikoa mingi Tanzania bila kusahau reli yetu mpya ya SGR..sasa haya magari ya kifahari ya nini?...

Kwa mizunguko ya Dodoma na Dar kuna haja ya kutumia V8 kweli??.. na nani aliwaeleza kwamba ni lazima ukiwa kiongozi wa Serikali upande hayo ma V8?..RAV 4 mpya au Harrier hazifai?.. mbona mnakuwa wabinafsi sana Watawala wetu?
 
Back
Top Bottom