Ujenzi wa Bandari Bagamoyo, wananchi 9800 kulipwa fidia

Wakati utaongea na muda utafika na kinywa chako kitasema magufuli ni mwamba wa Afrika, na utakuwa muumini wa magufulification na amini IPO siku utakugusa utawala huu pabaya sana
Huyu mwendazake zaidi ya roho mbaya hakua na laziada,kama ni hayo mnayoita maendeleo ameyafanya kwa pesa za mikopo,sote tunajua mpaka sasa ndio raisi aliekopa pesa nyingi kwa muda mfupi kuliko raisi yoyote.
 
Nilichosikia akisema ni kwamba mazungumzo yanaanza, pia kasema hakuna mkataba uliosainiwa kuhusu bandari ya bagamoyo.

Angesema haya maneno Magufuli akiwa hai ingependeza sana,kwa sasa ni kila kitu kusukumiwa marehemu asieweza kujibu lolote
Walioongea Magufuli akiwa hai wengi walipotea na Ku RIP katika mazingira ya ajabu.
 
Ujenzi huu wa Bandari ya Bagamoyo unakiua wosia wa mwendazake !!





My take: CCM haina consistence ya ujenzi wa Taifa letu, kila awamu unakuja na mambo yake namna hii tunaumia ni sisi wananchi. Kwa mfano JK alianzisha bomba la Gesi mtwara, Magu alivyoingia haikuwa priority yake yeye akaachana na umeme wa gesi anageukia umeme wa maji, Maza naye kaugeukia mradi wa Bagamoyo ambao Magu aliupinga vikali.

Hii si sawa, tunaoumia kwa maamuzi haya ni sisi wananchi, kama Magu angeendelea kuongeza capacity ya Gesi ya mtwala kutoka 6% aliyoishia JK nafikiri kwa sasa tungekuwa 50% na kusingekuwa na mgawo huu.

Kuisimamia Serikali kwenye maamuzi yenye tija kwa Taifa ni kazi ya Bunge, sasa Bunge nalo ndugu zangu kama mnavyojua - imeshakuwa kikao cha kupitisha miswaada ya serikali kwa justification tu, hakuna kuuliza why & how - unapataje maendeleo katika nchi kwa mwenendo huu.

Sasa tukisema tuna tatizo kubwa la KATIBA yetu, mnabisha - mnaona sasa mambo yalivyo sasa !!
 
ccm ote wahovyo.ila wakati ule ulikua umezidi.ilifikia wakati mtu upo ndani umeme ukikatika kusema au kulalamika kukatika kwa umeme umatoka kwanza nje na unaangaza kona zote kusiwe na mtu anaesikia.
maana ukisikiwa unalalamika kunahatali ya kushughulikiwa.
hivyo kila kitu kilikua hakiko wazi.

mtu alifikia hata kusema,nitakopa na sisemi nakopa wapi na lini!?
wewe bado unamsifia mtu alikua mzuri.
wanaosifia utawala wa aina ile ndio wanaosababisha kuturudisha nyuma kimaendeleo na mabadiliko kwa ujumla.
dah tuliishi kwa hofu sana........haya masukuma ni shida
 
Muhimu mamlaka za ulinzi na usalama ziwe na oversight kwenye uendeshaji wa bandari na eneo zima la mradi na nchi ipate mapato stahiki......hili la kuwalipa watu fidia stahiki kwenye eneo lote la mradi ni jambo jema kufanyika, kuliko kuanza kukandamiza na kudhulumu watu haki zao.....​
 
Lengo la huyo magufuri wako ni kubomoa nyumba za wenyeji bila ya kuwalipa lakini kwa vile tayali ilishawekwa kwenye watu kulipwa kwake ilikua nongwa.

Yeye alitaka kufanya kama alivyowafanyia wakazi wa kimara na mbezi. Siku zote alikua hapendi kusikia watu wana hela mifukoni.

Masikini akipata hataki masiki mwingine apate anawaza siku zote kuwakandamiza.kwasababu tu.

Mbona hata yeye alikua kwashida.

Hovyo kabisa!!
Umeongea utumbo sana, ficha aibu pin minded
 
Back
Top Bottom