Hatimaye ule mradi mkubwa wa Bagamoyo kurejewa, tiyari wananchi wamelipwa fidia kupisha mradi.
Hekta 9,800 ni za mradi Eneo Maalum la Kiuchumi Bagamoyo, hekta 3,000 ni uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo, Hekta 6,800 zilizobaki tayari hekta 2,600 zimelipiwa fidia kwa ajili ya uwekezaji na Mamlaka ya Bandari, COSTECH, EPZA na Taasisi ya Uongozi Institute
BSEZ miradi yake ni Bandari ya Bagamoyo, miradi ya maeneo maalum ya Viwanda, Uendelezaji wa Teknolojia, Taasisi za Utafiti masuala ya viwanda na Biashara, Taasisi za Elimu, Usafirishaji na Utunzaji wa Bidhaa, Uendelezaji makazi, Huduma za jamii na Utalii
Kwa Hekta 3,000 za mradi, Kampuni ya China Merchants Holdings na Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Oman, wamepanga k kujenga Bandari ya Bagamoyo, Kituo cha Usafirishaji kwenye eneo la hekta 800 na eneo Maalum la viwanda kwenye hekta, 2,200."
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Geofrey Mwambe
Hekta 9,800 ni za mradi Eneo Maalum la Kiuchumi Bagamoyo, hekta 3,000 ni uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo, Hekta 6,800 zilizobaki tayari hekta 2,600 zimelipiwa fidia kwa ajili ya uwekezaji na Mamlaka ya Bandari, COSTECH, EPZA na Taasisi ya Uongozi Institute
BSEZ miradi yake ni Bandari ya Bagamoyo, miradi ya maeneo maalum ya Viwanda, Uendelezaji wa Teknolojia, Taasisi za Utafiti masuala ya viwanda na Biashara, Taasisi za Elimu, Usafirishaji na Utunzaji wa Bidhaa, Uendelezaji makazi, Huduma za jamii na Utalii
Kwa Hekta 3,000 za mradi, Kampuni ya China Merchants Holdings na Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Oman, wamepanga k kujenga Bandari ya Bagamoyo, Kituo cha Usafirishaji kwenye eneo la hekta 800 na eneo Maalum la viwanda kwenye hekta, 2,200."
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Geofrey Mwambe