Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,822
Serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) tayari imeanza kutafuta Wakandarasi watakao jenga kwenye Bandari mpya ya Bagamoyo ambapo tenda imeshatangazwa na inatarajiwa kuwa ndani ya miaka mitatu itakuwa imekamilika na kuanza kutumika.
Millard
Pia soma > Serikali kuanza rasmi ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo Septemba 2023
Millard
Pia soma > Serikali kuanza rasmi ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo Septemba 2023