Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,838
- 50,541
Mzinzi mmoja alimzaa kiongozi wenu mmoja mwandamizi huko Lindi.kwani nani anamuhitaji huyo mzinzi gentleman?![]()
Mzinzi mmoja alimzaa kiongozi wenu mmoja mwandamizi huko Lindi.kwani nani anamuhitaji huyo mzinzi gentleman?![]()
askofu kushiriki uzinzi na kurekodi video akimnyandua muumini wake, huo si ushirikina na kuabudu sanamu gentleman?Mzinzi mmoja alimzaa kiongozi wenu mmoja mwandamizi huko Lindi.

Serikali ya CCM ina mambo ya kishamba na kindezi sana. Wanataka kumuua mtumishi wa Mungu? Watapambana lakini hawatashinda kwa jina la Yesu Kristo aliye hai.Wengi wanajiuliza Gwajima yuko wapi? Minong'ono ni mingi lakini ni wazi mpaka sasa hajaingizwa kwenye 'mikono salama'.. Na wakili wake Peter Kibatala kasema mteja wake yuko salaam
Gwajima ni bingwa wa kupangilia matukio.. Nikikumbuka kipindi cha Magu alivyotaka kuwatoka police pale TMJ hospital.. Begi lake likiwa limeshaandaliwa vizuri kabisa likiwa na pesa$, silaha na passport kwenye gari tayari kwa kupotea nampa salute💪🏿😂
Bahati nzuri au mbaya akakutana na watu wanatoshana mbinu.. Misheni ikafeli
Hata sakata la juzi alishajiandaa na kwa vyovyote alishapenyezewa za chinichini kwamba wanamjia.. Money talk.. Ukiwa na shekeli na ukajua kujiongeza utashindwa na mambo machache sana
Je aliwezaje kuwatoka police mpaka wakaishia kumkamata msaidizi wake tuu!? Kwa vyovyote alikuwa na escape plan 2 au 3
1.Kwenye kanisa lake kuna mlango wa siri unaoongoza mpaka nje kabisa bila kuonekana na yoyote
2. Kwenye kanisa lake ana handaki la siri lenye chumba kikubwa chenye huduma zote muhimu.. Na ana njia za siri za kuweza kufanya mawasiliano na watendaji wake bila kunaswa na mifumo ya kimtandao
3. Muda mchache kabla ya police kuvamia aliondoka na kwenda sehemu salaam mafichoni.. Kisha akiwa huko akajirekodi na wachungaji wake kwamba wako ndani ya kanisa na wameambiwa police wamezingira kanisa huko nje
Hii ni mbinu ya kijasusi. Kumzubaisha adui wakati wewe unapata nafasi ya kutoweka.. By the time jamaa wanatinga ndani Gwajima kitambo kabisa alishasepa! 😂
Ukiwaza kindezi unaweza kusema mwana alivuka boda usiku uleule akiwa kapigilia dela lake safi kabisa na ushungi juu.. Maana pengine walichelewa mno kuweka barriersView attachment 3356465
Ushirikina ni ule kuita jengo hospitali wakati hakuna daktari, vifaatiba na kuna upungufu wa manesi!askofu kushiriki uzinzi na kurekodi video akimnyandua muumini wake, huo si ushirikina na kuabudu sanamu gentleman?![]()
kanisa analoongoza mzinifu gwajima ni makao makuu ya shetaniUshirikina ni ule kuita jengo hospitali wakati hakuna daktari, vifaa tiba na kuna upungufu wa manesi!

Yeye anajiita jasusi la mbinguniKuwa one step ahead of your enemies na mbinu bora kabisa
Akikurukia Gwaji utanuka. Uliza Bashite alivyotandazwa kwa jamiikanisa analoongoza mzinifu gwajima ni makao makuu ya shetani![]()
ananuka uzinzi na ngono tupu gwajima gentlemanAkikurukia Gwaji utanuka. Uliza Bashite alivyotandazwa kwa jamii

Roho wa Mungu hata kuacha salama kiburi,uchu wa madaraka na tamaa za pesa ,zitakutesa ,huna mwendo hakika utakufaaskofu kushiriki uzinzi na kurekodi video akimnyandua muumini wake, huo si ushirikina na kuabudu sanamu gentleman?![]()
Shetani ni yule mtu asiyesikia huzuni binadamu wenzake wakitekwa, wakiteswa na kuuawa. Shetani matendo yake ni kama Giza.kanisa analoongoza mzinifu gwajima ni makao makuu ya shetani![]()
mzinifu wa madhabahuni ni mjumbe wa shetani, mnao abudu kwake mnaabudu sanamu.Roho wa Mungu hata kuacha salama kiburi,uchu wa madaraka na tamaa za pesa ,zitakutesa ,huna mwendo hakika utakufa

askofu kusamabaza ukimwi kwa ngono zembe miongoni mwa waamini wake ni mauaji ya halaiki gentlemanShetani ni yule mtu asiyesikia huzuni binadamu wenzake wakitekwa, wakiteswa na kuuawa. Shetani matendo yake ni kama Giza.

Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe. Akihitajika atakamatwa kama kuku tu. Kwa hiyo acheni Blaa Blaa na porojo zenu hapa.
This ain’t a chicken chase, it’s political chess. Keep dreaming!Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe. Akihitajika atakamatwa kama kuku tu. Kwa hiyo acheni Blaa Blaa na porojo zenu hapa.
mzinzi mkuu wa makanisa ni gwajima, akifuatiwa na yule aliepapaswa hivi majuzi kule kurasiniHivi kwenu nani ambaye sio majanaba🤔😂
