Beginning
JF-Expert Member
- Aug 21, 2023
- 879
- 2,361
Frankly speaking Samia hajui chochote kuhusu mpira! Support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa CCM ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa Simba na Yanga basi kura karibia zote unazo.
Swali dogo tu; je ni lini umemsikia Samia akipongeza timu kama Ihefu, Dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1• Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2• Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Swali dogo tu; je ni lini umemsikia Samia akipongeza timu kama Ihefu, Dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1• Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2• Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..