ndimu inawafanyeje?Chini ya mto asione
tilia mkazo DAMU, DAMU ya thamani iliyoukomboa ulimwengu, DAMU ya YESU KRISTO...ukilala kwa jina la Yesu inakuwaje..!!? hahahahaaa, kuna ile kitu ya kutawanyika kwa njia saba, as the bible says...
Umeambiwa dalili zakutembelewa na hao jamaa - wachawi kwamba ni pamoja na kuota unakula vitu viisivyoeleweka, kujitafuna wakati umelala ... ukiona hivyo ujue kuna jamaa wanakuchezea usiku .. kinga yao umepewa .. unauliza nini tena rafiki yangu?Sawa sawa, lakini ni utafiti upi umeufanya mpaka kufikia kuthibitisha dai hilo? je utajuaje wachawi wamekuja ama hawakuja?
Ni imani yako. Ila Jina ya Yesu Kristu ndilo jina kuu.Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisa![]()
Mchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia !
Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya. .....
![]()
Kwenye maisha kuna vitu sio vyetu bali huja kwetu kama kituo tuumshana hv kwako naweza pata solution ya kumfahamu mwizi wa simu yangu, mana ninahasira vibaya mno.