Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,941
- 5,033
- Thread starter
- #81
Sasa hui ni ugali dagaa au mboga saba?View attachment 3403427
Kwangu ugali dagaa ni full burudani
Ni nini mkuu?Ugali sio chakula
Mkuu dagaa lazima zioshwe vizuri kabla ya kupikwaNikila dagaa natapika Zina shombo Yani nikiziwaza tu I feel like vomiting.
Dagaa na karoti pana pana.!
Chakula cha mifugoNi nini mkuu?
🤣🤣🤣😂Hasa ukifulia ugali dagaa mtamu mno.
Ukiwa katikati ya mlo mara paaaaap sms inaingia, ukisoma unakutana na sms ya M.PESA inasomeka umepokea shs 1000,000.
HAKI YA MUNGU DAA HUGEUKA WACHUNGU. Unaweza hata ukawamwaga.
Acha ujinga wewe, nusu kilo nyama mle watu 4 huo umaskini wa kutupwa.1.Usirogwe ule karanga mbichi muda mfupi baada ya mlo unaohusisha dagaa....
2.Gharama za viungo na kila kitu hapo ni sawa na nusu kilo ya nyama endapo utapika dagaa ya walaji 4+
3. Dagaa wanaweza kukuvutia kwa kukuwaona kwa nje kumbe ni wachungu balaa hasa kama hawakupata jua.
Mie pia napenda ugali dagaaa.