Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,457
Ugali ,dagaa imekaa vzr sana,jimependa picha ,kesho nalitafuta
Sawa mkuuUgali ,dagaa imekaa vzr sana,jimependa picha ,kesho nalitafuta
Acha bhasi,Mkuu ,hapa umetembea na biti kama Prof JanaDagaa (sardine) kati ya mboga isiyo na lishe yoyote similar to ugali. Badala ya kujaza tumbo for nothing kula hizo mboga za majani peke yake uokote viji-vitamin na kuzuia uzito usio na sababu.
SanaaMlo mtamu Sana kwa kweli
Hapana kwakweli 😁umeanza
umepolea wap babyHapana kwakweli 😁
Uhakika mkuuNa Mtindi(Maziwa Ya Mgando),Kapilipili Pembeni..Inakuwa Swadaktaa Mnoo...
Ukutane na ugali ,dagaa la mama nani sijui huko mtaani kwako,kudadeki ,Kuna wamama wanalijua kulipika hilo we acha tuSawa mkuu
Kabisa, hilo pishi linahitaji utaalam, vinginevyo hauta enjoyUkutane na ugali ,dagaa la mama nani sijui huko mtaani kwako,kudadeki ,Kuna wamama wanalijua kulipika hilo we acha tu
Mnoo Mkuu....Uhakika mkuu
broo utakula daga huku site marage yanalewesha mkono bao hautatembeaKheeeeeee ❌❌❌
Mimi nimekulia mazingira kdg ...hivyo nikiingiaga uswazi huko niikupata vitu hivyo hunitoi siku nzima,mpk nimelowa kwa biti hivyoKabisa, hilo pishi linahitaji utaalam, vinginevyo hauta enjoy
Naona mboga hapo zenyee rangi ya chama ...ongezaa na parachichii hapo mkuu alafu toa huo ugali mweupe na weka mweusi
Acha bhasi..natokaga kitaani hadi kawe beach au msasani dagoni kupiga vitu hivi.
Bro madhara ya ugali haya....sa umeandika nini😂broo utakula daga huku site marage yanalewesha mkono bao hautatembea