Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,423
Bado Mama timmy kuna kundi la kuku hapa ninalo nasubiri likifikisha umri fulani wa kuweza kuhimili mikiki ya kujitafutia chakula ndio nilitumie kupimia upepo maana afya yao naona hainiridhishi na mbegu yao ni ile haramu...Asigwa ndugu yangu vp umeshapima upepo?naomba mrejesho
Ila baada ya wiki kama nne hivi nafikiri watakua wametosha kupewa hizo dawa nafikiri itakua wakati mzuri wa kuleta mrejesho hapa....