Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,280
Bamia, hoho, nyanya na mchicha. Maji ya kisima unaweka pump na simtank. Ukiweza unaweka mabomba ya chini, mimi ninatumia mpira na bomba la kuzunguka.Kiongozi..Unalima bamia pekee au mboga gani nyingine zinalipa .?
Unalima bondeni au unatumia maji ya kisima..?
Miti ya matunda nimepanda kwenye mipaka ya shamba mfano maembe na maoera.