Ufugaji Nguruwe Kibiashara sio rahisi ila unawezekana🙂

Habari
Naitwa Hamis, mwaka huu nimehitimu stashahada afya ya mifugo na uzalishaji, naomba mwenye nafasi ya kuhitaji mtaalamu kwaajili ya mifigo yake anaweza nipatia kazi nikaifanya vyema
Napatikana Bagamoyo, namba yangu 0718129159
 
Habari
Naitwa Hamis, mwaka huu nimehitimu stashahada afya ya mifugo na uzalishaji, naomba mwenye nafasi ya kuhitaji mtaalamu kwaajili ya mifigo yake anaweza nipatia kazi nikaifanya vyema
Napatikana Bagamoyo, namba yangu 0718129159
Safi mkuu, sasa hamis utaangalia nguruwe wangu vzr kweli?
 
Habari
Naitwa Hamis, mwaka huu nimehitimu stashahada afya ya mifugo na uzalishaji, naomba mwenye nafasi ya kuhitaji mtaalamu kwaajili ya mifigo yake anaweza nipatia kazi nikaifanya vyema
Napatikana Bagamoyo, namba yangu 0718129159
Hopefully ntakuwa na issue na wewe sio muda
 
Kunakipind nilitakaga kukutembelea nijifunze hukunipa nafsi bro malaflaye Kama wataalam mnatubania tutajifunza wap?
Ndugu ukifuga wanyama huwezi entertain watu kutembelea shamba kwa minajili ya kujifunza. Bio security measures, kabla hujaanza kufuga lazima ujifunze hayo mambo. Na kabla hujaanza kujifunza kumfuga nguruwe mwenyewe lazima ujifunze risks anazozipata na jinsi ya kuepuka.
 
Habari
Naitwa Hamis, mwaka huu nimehitimu stashahada afya ya mifugo na uzalishaji, naomba mwenye nafasi ya kuhitaji mtaalamu kwaajili ya mifigo yake anaweza nipatia kazi nikaifanya vyema
Napatikana Bagamoyo, namba yangu 0718129159
Unadeal na mifugo gani bwana Hamisi, maana usije itwa na mfugaji kumbe anafuga Shuwaini ukahisi amekudharau.
 
Nina ekari 5 za shamba Morogoro manispaa, mtaa wa ngerengere...

Nimekuwa na ndoto ya kufanya kilimo cha kisasa cha mbogamboga kama vitunguu, nyanya, hoho, bamia, kabichi, n.k, lakini pia kujenga mabanda mazuri ya ufugaji wa nguruwe, kuku na mbuzi!

Pamoja na kuwa na nia hiyo, sijaweza kuanzia kwani ili yote yaweze kufanyika napaswa kuchimba kisima kirefu hiki kinataka kati ya Mil.8-12 kikiwa na miundombinu yake madhubuti!(hiyo pesa sina)

Niliwahi kuwafuata wachimbaji wa visima ili tufanye makubaliano, wanichimbie then mimi niwalipe kwa instalments hata kama itakuwa zaidi kidogo ya bei ya kawaida, hawakunielewa!

Lakini nina hakika kwamba, nikifanikiwa kutengeneza miundombinu niliyoitaja hapo juu, ndani ya mwaka nitakuwa na uhakika wa kutengeneza sio chini ya Milioni 40, (well analysed) kwa hili shamba la ekari 5!

Lakini bahati mbaya sana banks zetu haziamini sana uwekezaji wa shambani, hivyo kutoa mikopo pia ni changamoto kubwa, lakini kama ningepata mtu anayekubali kufanya partnership kwenye hili, tungepata faida nzuri tu!
Wazo.lako ni zuri mno.
Nakushauri uanze kidogo kidogo ambapo utahitaji mtaji kidogo na nguvu zako nyingi.
Mtajinutapatikana humo.

Hata benki wakiafiki, bado mizunguko yao ni mingi.

Uwe makini suala la ubia. Lina changamoto.
 
Je kuna mtu amewahi fanikiwa kudhibiti homa ya nguruwe isifike kwenye himaya yake na akafanikiwa? Ili hali kwa mahitaji kinateketea
 
Uchawi Kwenye nguruwe ni Chakula na maji,zingine mbwembwe.
Nina Nguruwe(Wakienyeji) ni mwezi wa Sita now, ila bado sijaridhishwa na ukuaji wao. Huwa nawapa Pumba za mahindi za kutosha. Sijui unaweza kunishauri niongeze nini ili kuboresha ukuaji wao?
 
Nina ekari 5 za shamba Morogoro manispaa, mtaa wa ngerengere...

Nimekuwa na ndoto ya kufanya kilimo cha kisasa cha mbogamboga kama vitunguu, nyanya, hoho, bamia, kabichi, n.k, lakini pia kujenga mabanda mazuri ya ufugaji wa nguruwe, kuku na mbuzi!

Pamoja na kuwa na nia hiyo, sijaweza kuanzia kwani ili yote yaweze kufanyika napaswa kuchimba kisima kirefu hiki kinataka kati ya Mil.8-12 kikiwa na miundombinu yake madhubuti!(hiyo pesa sina)

Niliwahi kuwafuata wachimbaji wa visima ili tufanye makubaliano, wanichimbie then mimi niwalipe kwa instalments hata kama itakuwa zaidi kidogo ya bei ya kawaida, hawakunielewa!

Lakini nina hakika kwamba, nikifanikiwa kutengeneza miundombinu niliyoitaja hapo juu, ndani ya mwaka nitakuwa na uhakika wa kutengeneza sio chini ya Milioni 40, (well analysed) kwa hili shamba la ekari 5!

Lakini bahati mbaya sana banks zetu haziamini sana uwekezaji wa shambani, hivyo kutoa mikopo pia ni changamoto kubwa, lakini kama ningepata mtu anayekubali kufanya partnership kwenye hili, tungepata faida nzuri tu!
nenda bank ya kilimo utapata mkopo
 
Nina Nguruwe(Wakienyeji) ni mwezi wa Sita now, ila bado sijaridhishwa na ukuaji wao. Huwa nawapa Pumba za mahindi za kutosha. Sijui unaweza kunishauri niongeze nini ili kuboresha ukuaji wao?
Changanya
Pumba
Mashudu
Pigmix
Soya
Unga wa dagaa

Wakikua wauze wote afu kanunue mbegu ya kisasa hapo hutajuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom