Safi mkuu, sasa hamis utaangalia nguruwe wangu vzr kweli?Habari
Naitwa Hamis, mwaka huu nimehitimu stashahada afya ya mifugo na uzalishaji, naomba mwenye nafasi ya kuhitaji mtaalamu kwaajili ya mifigo yake anaweza nipatia kazi nikaifanya vyema
Napatikana Bagamoyo, namba yangu 0718129159
Ndio, ni taaluma ambayo nimesomea sina budi kuifanyia kazi, ikiwa unayo nafasi unaweza nipatia nikufanyie kazi kakaSafi mkuu, sasa hamis utaangalia nguruwe wangu vzr kweli?
Hopefully ntakuwa na issue na wewe sio mudaHabari
Naitwa Hamis, mwaka huu nimehitimu stashahada afya ya mifugo na uzalishaji, naomba mwenye nafasi ya kuhitaji mtaalamu kwaajili ya mifigo yake anaweza nipatia kazi nikaifanya vyema
Napatikana Bagamoyo, namba yangu 0718129159
Shukran kaka, karibuHopefully ntakuwa na issue na wewe sio muda
Ndugu ukifuga wanyama huwezi entertain watu kutembelea shamba kwa minajili ya kujifunza. Bio security measures, kabla hujaanza kufuga lazima ujifunze hayo mambo. Na kabla hujaanza kujifunza kumfuga nguruwe mwenyewe lazima ujifunze risks anazozipata na jinsi ya kuepuka.Kunakipind nilitakaga kukutembelea nijifunze hukunipa nafsi bro malaflaye Kama wataalam mnatubania tutajifunza wap?
Khaaaaaah huyu ni kitimoto au gimbiRafiki yangu Kitimoto katika pozi
View attachment 2105603
Unadeal na mifugo gani bwana Hamisi, maana usije itwa na mfugaji kumbe anafuga Shuwaini ukahisi amekudharau.Habari
Naitwa Hamis, mwaka huu nimehitimu stashahada afya ya mifugo na uzalishaji, naomba mwenye nafasi ya kuhitaji mtaalamu kwaajili ya mifigo yake anaweza nipatia kazi nikaifanya vyema
Napatikana Bagamoyo, namba yangu 0718129159
Wazo.lako ni zuri mno.Nina ekari 5 za shamba Morogoro manispaa, mtaa wa ngerengere...
Nimekuwa na ndoto ya kufanya kilimo cha kisasa cha mbogamboga kama vitunguu, nyanya, hoho, bamia, kabichi, n.k, lakini pia kujenga mabanda mazuri ya ufugaji wa nguruwe, kuku na mbuzi!
Pamoja na kuwa na nia hiyo, sijaweza kuanzia kwani ili yote yaweze kufanyika napaswa kuchimba kisima kirefu hiki kinataka kati ya Mil.8-12 kikiwa na miundombinu yake madhubuti!(hiyo pesa sina)
Niliwahi kuwafuata wachimbaji wa visima ili tufanye makubaliano, wanichimbie then mimi niwalipe kwa instalments hata kama itakuwa zaidi kidogo ya bei ya kawaida, hawakunielewa!
Lakini nina hakika kwamba, nikifanikiwa kutengeneza miundombinu niliyoitaja hapo juu, ndani ya mwaka nitakuwa na uhakika wa kutengeneza sio chini ya Milioni 40, (well analysed) kwa hili shamba la ekari 5!
Lakini bahati mbaya sana banks zetu haziamini sana uwekezaji wa shambani, hivyo kutoa mikopo pia ni changamoto kubwa, lakini kama ningepata mtu anayekubali kufanya partnership kwenye hili, tungepata faida nzuri tu!
Wanyama wote wanaofugwa kaka nina shughulika naoUnadeal na mifugo gani bwana Hamisi, maana usije itwa na mfugaji kumbe anafuga Shuwaini ukahisi amekudharau.
NakaziaJe kuna mtu amewahi fanikiwa kudhibiti homa ya nguruwe isifike kwenye himaya yake na akafanikiwa? Ili hali kwa mahitaji kinateketea
Nina Nguruwe(Wakienyeji) ni mwezi wa Sita now, ila bado sijaridhishwa na ukuaji wao. Huwa nawapa Pumba za mahindi za kutosha. Sijui unaweza kunishauri niongeze nini ili kuboresha ukuaji wao?Uchawi Kwenye nguruwe ni Chakula na maji,zingine mbwembwe.
Hao wameshadumaaNina Nguruwe(Wakienyeji) ni mwezi wa Sita now, ila bado sijaridhishwa na ukuaji wao. Huwa nawapa Pumba za mahindi za kutosha. Sijui unaweza kunishauri niongeze nini ili kuboresha ukuaji wao?
nenda bank ya kilimo utapata mkopoNina ekari 5 za shamba Morogoro manispaa, mtaa wa ngerengere...
Nimekuwa na ndoto ya kufanya kilimo cha kisasa cha mbogamboga kama vitunguu, nyanya, hoho, bamia, kabichi, n.k, lakini pia kujenga mabanda mazuri ya ufugaji wa nguruwe, kuku na mbuzi!
Pamoja na kuwa na nia hiyo, sijaweza kuanzia kwani ili yote yaweze kufanyika napaswa kuchimba kisima kirefu hiki kinataka kati ya Mil.8-12 kikiwa na miundombinu yake madhubuti!(hiyo pesa sina)
Niliwahi kuwafuata wachimbaji wa visima ili tufanye makubaliano, wanichimbie then mimi niwalipe kwa instalments hata kama itakuwa zaidi kidogo ya bei ya kawaida, hawakunielewa!
Lakini nina hakika kwamba, nikifanikiwa kutengeneza miundombinu niliyoitaja hapo juu, ndani ya mwaka nitakuwa na uhakika wa kutengeneza sio chini ya Milioni 40, (well analysed) kwa hili shamba la ekari 5!
Lakini bahati mbaya sana banks zetu haziamini sana uwekezaji wa shambani, hivyo kutoa mikopo pia ni changamoto kubwa, lakini kama ningepata mtu anayekubali kufanya partnership kwenye hili, tungepata faida nzuri tu!
ChanganyaNina Nguruwe(Wakienyeji) ni mwezi wa Sita now, ila bado sijaridhishwa na ukuaji wao. Huwa nawapa Pumba za mahindi za kutosha. Sijui unaweza kunishauri niongeze nini ili kuboresha ukuaji wao?