UDSM: Tunaomba msaada wenu JF!

kwa nini ni udsm tu matatizo!!!! nyinyi ndio mafisadi wenyewe wa future,kama wewe ni msomi mzuri usigome kwa matatizo yanayoweza kutatuliwa kwenye meza ya mazungumzo tu..... mkuu wa chuo fanya kweli tena bado,toa tangazo kwa wanachuo wote kuonyesha maadili bora wakati wote.... hongera mkuu wa chuo kwa kuwasimamisha hao wanafunzi mafisadi wa baadae
 
Hapa unamaanisha nini, talk openly. Ukianza kuleta misamiati utadhihirisha kukubali kuwa hao viongozi wamefukuzwa kwa kosa la ubakaji.

Mama kwani wewe unaamini kuwa wamefukuzwa kwa ubakaji siku chache kabla ya uchaguzi wa viongozi wao kufanyika? Unaamini kuwa yule kijana wa kiganda aligundulika kuwa na matatizo ya vyeti siku chache kabla ya uchaguzi ambao alionekana kuwa atashinda?

Unajua mimi ningewashauri wanaccm kuwa wawaache wanafunzi wa vyuoni alone na wafanye mambo yao kivyao. Mambo ya kujaribu kuwaamulia nani awaongoze ni upuuuzi mkubwa kabisa.
 
kwa nini ni udsm tu matatizo!!!! nyinyi ndio mafisadi wenyewe wa future,kama wewe ni msomi mzuri usigome kwa matatizo yanayoweza kutatuliwa kwenye meza ya mazungumzo tu..... mkuu wa chuo fanya kweli tena bado,toa tangazo kwa wanachuo wote kuonyesha maadili bora wakati wote.... hongera mkuu wa chuo kwa kuwasimamisha hao wanafunzi mafisadi wa baadae

Meza gani ya mazungumzo unayoongelea hapa?
 
Mama kwani wewe unaamini kuwa wamefukuzwa kwa ubakaji siku chache kabla ya uchaguzi wa viongozi wao kufanyika? Unaamini kuwa yule kijana wa kiganda aligundulika kuwa na matatizo ya vyeti siku chache kabla ya uchaguzi ambao alionekana kuwa atashinda?

Unajua mimi ningewashauri wanaccm kuwa wawaache wanafunzi wa vyuoni alone na wafanye mambo yao kivyao. Mambo ya kujaribu kuwaamulia nani awaongoze ni upuuuzi mkubwa kabisa.


Ndio nashangaa kwa nini hasemi anatoa methali? asome hiyo post ya mwanakijiji hapo juu. Ni kwa nini anashindwa kujieleza, hiyo ni dalili kuwa hata mwenyewe hajui ana tatizo gani! nini tatizo hadi kushindwa kujieleza
 
kamundu,

Hii attitude ya kuvumilia tu yapite ndiyo inasababisha mafisadi wanafanya ufisadi kwa sababu wanajua kuwa watanzania kama ilivyo kawaida yao watavumilia tu.

Wanafunzi wa UD lazima wajifunze kutetea haki zao kabla ya kutoka chuoni ili wapambane na kina Rostam Azizi huko mitaani
Wanatakiwa waanze sasa hivi!Mbinu zote hizi unaweza kuona ni za ku wa keep busy na kuwatisha na kuwaletea hofu kubwa wanafunzi hao na hivyo kukosa msukumo wa kuchangia maendeleo na kuuelimisha umma!Ni crack down ya kidikteta ya kuwa neutralize vijana wengine wenye hoja za nguvu!Kina mwalimu Nyerere walipewa hishma kipindi kile walipokuwa univasiti..na ndio maana waliweza kuikomboa nchi kutoka kwa mkoloni!Ni wakati wa kuirudisha hishma hiyo na kulikomboa taifa letu kutoka mikononi mwa mafisadi!again...ni kaushauri tuuu!
 
Mkuu, wawie radhi... Wako katika nyakati za kuchanganyikiwa kwa sasa.

Invisible
kabla ya wao kuchanganyikiwa wananchi tulikuwa tumeshachanganyikiwa,hawa wanafunzi kwanza kabisa hawana ndoto za kuwa watanzania hata maisha yao pale chuoni ni ya kizungu zaidi kuliko utanzania

pili wao wenyewe hawana uhusiano na jamii kubwa ya watanzania wao wanahitaji msaada kwa wenzao lakini wao hawana wanachofanya wakati nchi inaliwa

UDSM imekoma kuwa chemichemi inayotoa wasomi watakao kuja kutusaidia baadaye!
 
kabla ya wao kuchanganyikiwa wananchi tulikuwa tumeshachanganyikiwa,hawa wanafunzi kwanza kabisa hawana ndoto za kuwa watanzania hata maisha yao pale chuoni ni ya kizungu zaidi kuliko utanzania

pili wao wenyewe hawana uhusiano na jamii kubwa ya watanzania wao wanahitaji msaada kwa wenzao lakini wao hawana wanachofanya wakati nchi inaliwa

UDSM imekoma kuwa chemichemi inayotoa wasomi watakao kuja kutusaidia baadaye!

Hii ni very biased statement.... kama haina maelezo mimi naiona kama imejengwa kwenye chuki tu.

Madai ya wanafunzi ni halali. Chuo na kada wa ccm chuoni mzee Mkandara wakome kuwaamulia wanafunzi kiongozi wao. Hii haiusiani kabisa na usomi wa wanachuo.

Haya mambo ya kuamuliwa nani awe kiongozi ndiyo yametupatia huyu Kikwete anayelea ufisadi day in day out! This gat stop!
 
Ndio nashangaa kwa nini hasemi anatoa methali? asome hiyo post ya mwanakijiji hapo juu. Ni kwa nini anashindwa kujieleza, hiyo ni dalili kuwa hata mwenyewe hajui ana tatizo gani! nini tatizo hadi kushindwa kujieleza

Sidhani kama yeye ni mtu wa kwanza hapa kutumia methali. Hata wewe mwenyewe umezitumia once in a while na ukaeleweka. Katika hili rudia kujua malalamiko ya wanafunzi ambayo yako wazi kabisa hapa!
 
Sidhani kama yeye ni mtu wa kwanza hapa kutumia methali. Hata wewe mwenyewe umezitumia once in a while na ukaeleweka. Katika hili rudia kujua malalamiko ya wanafunzi ambayo yako wazi kabisa hapa!

nilikuwa natumia kwa meelezo ya kusupport na si kwa kuelezea tatizo (complaints). Sasa tusijeigeuza hii thread kuwa ya majibizano, naona umekuwa mkali kweli kumtetea. Alete maelezo yanayoeleweka, je akishauriwa kwenda mahakamani hiyo ndiyo itakuwa statement yake? (simaanishi hapa ni mahakamani bali ni katika kukuelewesha, kwa ethics za ualimu na umama, tatizo linafafanuliwa na mwenye tatizo, sio third part)
 
Sidhani kama yeye ni mtu wa kwanza hapa kutumia methali. Hata wewe mwenyewe umezitumia once in a while na ukaeleweka. Katika hili rudia kujua malalamiko ya wanafunzi ambayo yako wazi kabisa hapa!

Liko wazi in what context, nadhani aliyelileta hili swala anajua kinaga ubaga, hata nikirudia kusoma mara kumi, i will still need more explanations to come with suggestions on whats next.
 
nilikuwa natumia kwa meelezo ya kusupport na si kwa kuelezea tatizo (complaints). Sasa tusijeigeuza hii thread kuwa ya majibizano, naona umekuwa mkali kweli kumtetea. Alete maelezo yanayoeleweka, je akishauriwa kwenda mahakamani hiyo ndiyo itakuwa statement yake? (simaanishi hapa ni mahakamani bali ni katika kukuelewesha, kwa ethics za ualimu na umama, tatizo linafafanuliwa na mwenye tatizo, sio third part)

Mambo mengi yanayowekwa hapa toka kwenye vyombo vya habari hupata maelezo kamili toka kwa third part. Hii sio mara ya kwanza kwa hili kutokea.
 
Liko wazi in what context, nadhani aliyelileta hili swala anajua kinaga ubaga, hata nikirudia kusoma mara kumi, i will still need more explanations to come with suggestions on whats next.

Kwenye context kuwa wasaidiwe kuweka pressure waliofukuzwa masomo warudishwe. Hilo umeliona wewe?
 
Mambo mengi yanayowekwa hapa toka kwenye vyombo vya habari hupata maelezo kamili toka kwa third part. Hii sio mara ya kwanza kwa hili kutokea.

Nao hao third part wana citations, vinginevyo udaku nao umo. Any way message delivered, its a matter of decisions and actions.
 
WANAOFANYA HIZO FUJO NA MIGOMO NI SEHEMU NDOGO SANA YA WANAFUNZI INGAKUWA NI WANANCHI TUNGEWAITA WAASI AU MAJINA MENGINE YANAYOFAA KUWAITA , WATU HAWA HAWANA USHAWISHI WOWOTE HAPA UDSM NDIO MAANA HATA ASKARI WA KUTULIZA GHASIA HAWANA MPANGO NAO WANAWAACHA TU WAWAONE WATAFIKIA WAPI SASA HIVI MPAKA NINAVYORUSHA HABARI HII WAMESHATULIA WATU WAMEENDA VYUMBANI WAO WALE WENYE NJAA WAKO KATIKA KANTINI WANAPATA MILO YAO

NAPENDA KUWASIHI WANAFUNZI WA UDSM AMBAO WENGINE NI WANACHAMA HAPA ,MSIKUBALI KUPELEKESHWA KAMA PUNDA NA WATU WACHACHE AMBAO HAWAWATAKII MAENDELEO YENU YA LEO HATA SIKU NYINGI ZIJAZO MNAPOLALAMIKA HAKIKISHA UNAJUA UNALALAMIKA KUHUSU NINI KAMA UNAONA HUFANYIWI HAKI KUNA NJIA NYINGI UNAWEZA KUANDIKA BARUA KWA UONGOZI WA CHUO , KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI NA MAMBO MENGINE MENGI SANA YA KUFANYA KABLA YA KUFIKIA UAMUZI WA KUGOMA

UKIGOMA MAANA YAKE UMEVUNJA MAADILI NA NIDHAMU YA CHUO PAMOJA NA MENGINE YOTE YALE , WAKATI UNAJIUNGA NAFIKIRI HUKUWAHI KUSOMA SEHEMU YOYOTE ILE KWAMBA MAANDAMANO NDIO NJIA SAHIHI YA KUDAI HAKI ZAO HATA KAMA NI NJIA SAHIHI JE HAYO MAANDAMANO MBONA HAYAUNGWI MKONO NA WATU WENGI ?
Kwa uzoefu wangu..hawa vijana hawana njia nyingine zaidi ya kugoma!Lazima tujue kuwa viongozi wote wa vyuo na sekondari za serikali huchaguliwa na serikali na pia hutakiwa kulinda matakwa ya serikali,sera na ilani za chama tawala!Mambo bado hayajabadilika kabisa!Tofauti ni kwamba sasa hakuna kulazimishwa kuitukuza CCM,lakini viongozi waliopo bado ni wale wale wenye kusimamia sera zile zile za kijasasusi na kuwabana wananfunzi hata kama madai yao ni ya msingi!Na wengi wa wananfunzi hao wameishiwa kuharibiwa maisha yao kwa kufukuzwa shule!Ndio maana nikatoa mifano ya shule za sekondari za serikali!Its the same!Viongozi wake waliochaguliwa na serikali hawako pale kuyalinda maslahi ya wananfunzi..bali kutekeleza mission na propaganda na kuzima hali yoyote ile ya kui question serikali na namna inavyo deal na Ufisadi ambao ni UBEBERU/UNYONYAJI WA WENYEWE KWA WENYEWE!Kisaikolojia wengi wenu hapo mlimani mna mawazo ya kwenda na kuhodhi nafasi zinazoachwa bila ya kupigania mabadiliko ya katiba na pia uwajibishwaji wa mafisadi ili tuwaamini na nyie kuwa elimu munayopata ni kwa manufaa ya mwancnchi wa kawaida!Na ni lazima muonyeshe consistency na principle ili imani changa ya wananchi kwenu iweze kurudi na muwe chachu ya mabadiliko na mapinduzi ya taifa letu!Tunayahitaji kwa udi na uvumba..mabadiliko ya kweli..yaanzie hapo..na kwa ukweli hayawezi kuwa cheap!wengi wenu mtafungwa jela na kunyanyaswa!Msihofu kwani wananchi wako nanyi!Na eventually free people will emerge victorious!
 
Hii ni very biased statement.... kama haina maelezo mimi naiona kama imejengwa kwenye chuki tu.

Madai ya wanafunzi ni halali. Chuo na kada wa ccm chuoni mzee Mkandara wakome kuwaamulia wanafunzi kiongozi wao. Hii haiusiani kabisa na usomi wa wanachuo.

Haya mambo ya kuamuliwa nani awe kiongozi ndiyo yametupatia huyu Kikwete anayelea ufisadi day in day out! This gat stop!

naungana na hoja yako ya CCM kutokuwaamulia wanafunzi nani wa kuwaongoza,lakini kwa upande mwingine hao wanafunzi wamefika hapo kutokana kutokuwa makini na kujenga ushawishi wao kwa jamii

tofauti na zamani ambapo kuwa chuo kikuu jamii ilikuangalia kama hazina itakayokuja kutumika baadaye. hivi hushangai kwanini mtu anasomea mambo ya kilimo lakini hataki kwenda kuishi kwenye kilimo chenyewe yaaani kijijini?
 
Jamani mimi nadhani hawa wanafunzi sasa wawe serious. Jamani we are dealing with the CREAM OF THE NATION (WHATEVER THAT MEANS!) Ni watanzania wangapi ambao wamefika CHUO KIKUU CHA MLIMANI? jibu ni % ndogo sana. Sasa basi kama wasomi kama hao mpaka leo hawawezi kukaa chini na kujenga hoja, nina walakini na strategy zao. Mkulima atafanya nini?

Kifupi hapa tusiisingizie CCM, otherwise tunaendekeza uzembe wa kufikiri. Ni kweli CCM wanatumia mbinu chafu kufanikisha malengo yao, lakini je, hao wasomi wetu hilo hawalijui? kwa nini na wao wasikae chini wakaja na strategies mbadala? Jamani JF tunawatetea wakulima na wafanyakazi ambao majority ni no-class, la saba na form four, ambao kila siku CCM inawadhulumu haki zao kwa kutumia uelewa wao mdogo. Na wasomi wa Chuo Kikuu kweli? Hao wasomi ni tabaka ambalo taifa linawategemea liwasaidie na strategy za kupambana na mbinu chafu za CCM! hawawezi kukaa na kuanza kulia lia kama watoto wadogo eti Makamba na CCM wanawafanyia mbaya..thats known kwamba CCM ni mafias! Kama wasomi inabidi wakae waje na hoja, wamobilize wenzao kutafuta suluhu! Msomi inabidi awe mtu wa mwisho kutafuta shortcut ya jambo lolote!

Yes...Kudai haki si lelemama, lakini inavyokuja kwa watu kama mlimani..walimu ni wasomi na wanafunzi ni wasomi ni kushindanisha hoja! Sasa kama wanafunzi walio makini mnashindwa kupambana na akina Makamba FORM FOUR kwa HOJA mtapambana na Makamba mkishaingia street? acheni utani bana. Kwa hili, mnahitaji kuprove kwamba mko academically relevant! Otherwise, as a nation we are doomed kama nyinyi ndo wasomi ambao hamuwezi kuonyesha njia!

Harafu lazima muwe mnasimamia maslahi ya wananchi. Ni aibu kuona Chuo kama mlimani hakuna efforts zozote zinazofanywa na maintellectuals katika kutafuta muarobaini wa matatizo yetu! Zaidi ya kuvaa kofia na kuisifia CCM Diamond Jubilee! Mnaudhi sana kwa sababu mnakuwa wabinafsi kwa mambo yenu tuu....

Elimu ya Chuo Kikuu lazima iwabadilishe kimawazo na kifikra. Sio kukimbilia kugoma, thats should be the last resort. Na mind you mnadeal na watu rational walioenda shule. Naelewa fika mlimani bila mgomo haki inakuwa shida, lakini you should use all available means kuchallenge maamuzi ya watawala...kuna wanasheria hapo, maengineer, wahandisi etcs....please do us a fovour! Tunawategemea nyinyi..
 
P'SE STOP POSTING UNLESS UD STUDENTS CAN RESPOND

Kama hakuna wanafunzi wa UD wanaoweza kuleta habari, waungwana naomba tuachane na hii thread maana naona imeshaanza kuzua malumbano yasiyo na nywele. Angalia Mwafrika wa Kike vs Mama.
 
Jamani mimi nadhani hawa wanafunzi sasa wawe serious. Jamani we are dealing with the CREAM OF THE NATUIONS (WHATEVER THAT MEANS!) Ni watanzania wangapi ambao wamefika CHUO KUKUU CHA MLIMANI? jibu ni % ndogo sana. Sasa basi kama wasomi kama hao mpaka leo hawawezi kukaa chini na kujenga hoja, nina walakini na strategy zao. Mkulima atafanya nini?

Kifupi hapa tusiisingizie CCM, otherwise tunaendekeza uzembe wa kufikiri. Ni kweli CCM wanatumia mbinu chafu kufanikisha malengo yao, lakini je, hao wasomi wetu hilo hawalijui? kwa nini na wao wasikae chini wakaja na strategies mbadala? Jamani JF tunawatetea wakulima na wafanyakazi ambao majority ni no-class, la saba na form four, ambao kila siku CCM inawadhulumu haki zao kwa kutumia uelewa wao mdogo. Na wasomi wa Chuo Kikuu kweli? Hao wasomi ni tabaka ambalo taifa linawategemea liwasaidie na strategy za kupambana na mbinu chafu za CCM! hawawezi kukaa na kuanza kulia lia kama watoto wadogo eti Makamba na CCM wanawafanyia mbaya..thats known kwamba CCM ni mafias! Kama wasomi inabidi wakae waje na hoja, wamobilize wenzao kutafuta suluhu! Msomi inabidi awe mtu wa mwisho kutafuta shortcut ya jamabo lolote!

Yes...Kudai haki si lelemama, lakini inavyokuja kwa watu kama mlimani..walimu ni wasomi na wanafunzi ni wasomi ni kushindanisha hoja! Sasa kama wanafunzi walio makini mnashindwa kupambana na akina Makamba FORM FOUR kwa HOJA mtapambana na Makamba mkishaingia street? acheni utani bana. Kwa hili, mnahitaji kuprove kwamba mko academically relevant!

Harafu lazima muwe mnasimamia maslahi ya wananchi. Ni aibu kuona Chuo kama mlimani hakuna efforts zozote zinazofanywa na maintellectuals katika kutafuta muarobaini wa matatizo yetu! Zaidi ya kuvaa kofia na kuisifia CCM Diamond Jubilee! Mnaudhi sana kwa sababu mnakuwa wabinafsi kwa mambo yenu tuu....

Elimu ya Chuo Kikuu lazima iwabadilishe kimawazo na kifikra. Sio kukimbilia kugoma, thats should be the last resort. Na mind you mnadeal na watu rational walioenda shule. Naelewa fika mlimani bila mgomo haki inakuwa shida, lakini you should use all available means kuchallenge maamuzi ya watawala...kuna wanasheria hapo, maengineer, wahandisi etcs....please do us a fovour! Tunawategemea nyinyi..
Ni maneno mazito haya mkuu na wenye ukweli ndani yake!However hata mimi nimeshapitia unyanyasaji kama huo!Na sidhani kama hoja peke yake vitawasaidia kusikilizwa!Almost all the times wanafunzi wamekuwa na hoja za msingi lakini ni hoja kama hizo ambazo viongozi wanaona ni hatari kwa maslahi yao na ya wale waliowapa vyeo hivyo!Nashangaa kwenye taifa huru viongozi wanasema wananchi ni huru wakati ukweli ni kwamba haki yenyewe bado inabidi ipiganiwe licha ya kwamba ni haki ya kibinadamu kuwa na haki na kuwa na uhuru!So why do we have to fight for what is rightsously ours?Jibu ni clash of interests..na sad enough ni personal ones!Sio zenye kujenga bali kubomoa!Ndio maana mara nyingi tumekuwa tuki resort kwenye migomo!Trust me been there done that!Kwanza ukiwa na hoja ya nguvu unapewa u"ring leader" na hapo wanakuflag kuwa wewe ndiyo kichocheo cha vurugu...bila kujali kuwa una hoja za nguvu..wanakuharibia masomo na unaswekwa lupango!I know that Masanja!
 
P'SE STOP POSTING UNLESS UD STUDENTS CAN RESPOND

Kama hakuna wanafunzi wa UD wanaoweza kuleta habari, waungwana naomba tuachane na hii thread maana naona imeshaanza kuzua malumbano yasiyo na nywele. Angalia Mwafrika wa Kike vs Mama.
Kubwa jinga tulia ndioa mwanzo tu huu..then watasoma na kupitia maoni haya na wao wataweza kuposti yao!
 
Back
Top Bottom