Hi.
mimi ninakuunga mkono sana ndugu yangu..
chuo kwa sasa imekuwa ni sehemu ya majaribio ya siasa,na kuendeleza kampeni ya chama tawala...
utawala tayari umeshafanya makosa makubwa ambayo yanaonekana kwa wazi ikiwemo kusimamisha uchaguzi lakini yote hayao wamefanya kwa makusudi ya kujari matakwa yaoo...
Prof Mukandala hawezi kukiendesha chuo kikuu na sio tu wanafunzi ndio wanao lalamika hadi baadhi ya watumishi wa utawala wanalala mika juu ya utawala wake na utoaji uamuzi wake..ni mtu ambaye anayeweka kisilani juu ya mataba fulani...
na kwa mtazamo wangu miaka yake hapo chuoni itakuwa ni ya shida sana mpaka atakapo achia ngazi....
mimi ninakuunga mkono sana ndugu yangu..
chuo kwa sasa imekuwa ni sehemu ya majaribio ya siasa,na kuendeleza kampeni ya chama tawala...
utawala tayari umeshafanya makosa makubwa ambayo yanaonekana kwa wazi ikiwemo kusimamisha uchaguzi lakini yote hayao wamefanya kwa makusudi ya kujari matakwa yaoo...
Prof Mukandala hawezi kukiendesha chuo kikuu na sio tu wanafunzi ndio wanao lalamika hadi baadhi ya watumishi wa utawala wanalala mika juu ya utawala wake na utoaji uamuzi wake..ni mtu ambaye anayeweka kisilani juu ya mataba fulani...
na kwa mtazamo wangu miaka yake hapo chuoni itakuwa ni ya shida sana mpaka atakapo achia ngazi....